Kibuyu chake asali imeisha… Kikijazwa tena nae atarudi pangoni
Mbowe kawatoa pangoni jana safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe kawatoa pangoni jana safi sana
Wewe ni mjinga bahati mbaya sana siku hizi mpo wengiMpuuzi wewe, huyo mumeo kama hataki kusemwa ajihuzulu aache kuumiza wananchi huku wewe na yeye mnashinda kwenye V8 za umma bila huruma
Ila wabongo kwa umbea hatujambo. Watoto wa mwigulu hawasomi Tanganyika international bali wanasoma Feza school. Kwa mshahara wake tu wa ubunge na uwaziri hawezi shindwa kusomesha wanae Feza.Ile Tanganyika sijui nini ada per year ni milioni 50 lakini hapo ana watoto wa 4
Kwanini haongelei kupungua posho na mishahara ya wabunge?Hana ubunifu, raslimali tele zote hizi bado unatoza watu masikini kodi
As usual kilaza katika ubora wake....Mpe hi Niki....Kumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao...
To 4Tujikite kumpa ushauri badala ya kuendelea kumshambulia mhe waziri.
Na hili la mabasi mwenye ushahidi kiwa ni yake alulete hapa
Ada ni shs ngapi? Iramba hakuna shule? kwanini asichukue watoto wa Iramba wote nao wasome Feza?Ila wabongo kwa umbea hatujambo. Watoto wa mwigulu hawasomi Tanganyika international bali wanasoma Feza school. Kwa mshahara wake tu wa ubunge na uwaziri hawezi shindwa kusomesha wanae Feza.
Mwambie mumeo hizo tozo hatuzitaki, shame on youWewe ni mjinga bahati mbaya sana siku hizi mpo wengi
Ni mwizi mtupuBiashara za watumishi nyingi hazijiendeshi kwa hela ya biashara bali kodi zetu thus wakistaafu na biashara ustaafu. Unategemea kuendesha daladala kwa mafuta ya serikali
Kwa nini umpangie mtu maisha na pesa zake?Ada ni shs ngapi? Iramba hakuna shule? kwanini asichukue watoto wa Iramba wote nao wasome Feza?
Kwa nini asisomeshe kwenye shule za kata kama shule ya msingi mbagala?Ila wabongo kwa umbea hatujambo. Watoto wa mwigulu hawasomi Tanganyika international bali wanasoma Feza school. Kwa mshahara wake tu wa ubunge na uwaziri hawezi shindwa kusomesha wanae Feza.
Ni mtumishi wa umma lazima tumpangie, mbona MO au GSM hatuwasemi?Kwa nini umpangie mtu maisha na pesa zake?
Jana Samia ameprove mwenyewe Askari wake wanaiba mafuta ,huku kingai akikenua Meno mithili ya mambaNi mwizi mtupu
We nyamaza wewe, waache wajitetee wenyewe, we unao huo ushahidi hayo anayosema ni yakweli? Hao unaowaita viongozi hao ni washenzi tu wanaojali maalahi yao tu.Tuache kuwasingizia uongo hawa viongozi. Kama huna ushahidi ni bora ukakaa kimya.
Tunaomba mtufungulie hii code! Nimetoka kapa!!!Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara,