Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao.
Mwigulu anasema hamiliki hata kampuni ya bajaji, ilaa anashangaa kuhusishwa na kumiliki kampuni ya mabasi.
Tuache kuwasingizia uongo hawa viongozi. Kama huna ushahidi ni bora ukakaa kimya.
Hawa wanaosema Waziri Mwigulu anamiliki mabasi ndio haohao walisema Lowassa anamiliki kampuni ya Richmond, Ila mwisho wa siku ndio haohao wakageuka na kuanza kumsafisha huku wakizungusha mikono
Ni hivi, Lowassa alikuwa mwizi, na alipewa nafasi ya kugombea na viongozi wa CDM kwa kuwahonga na sio kwamba alikuwa msafi. Huyo Mwigulu ni mwizi na asitegemee kukanusha ndio atakuwa sio mwizi. Kama yuko madarakani kwa wizi wa kura na anasema alishinda kwa kishindo, unaweza kumwamini kwa lolote?