YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Uongo wako kuwa.kuna shule.inatoza ada milioni 50 umeluumbua uongo wako.hakuna shule kama hiyo Tanzania !!!Mchumba ako kabanwa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo wako kuwa.kuna shule.inatoza ada milioni 50 umeluumbua uongo wako.hakuna shule kama hiyo Tanzania !!!Mchumba ako kabanwa mkuu
Kwa hiyo umekubali kuwa viongozi wa chadema walinunuliwa?
Benjamin Netanyahu hata hivyo yupo chini snUongo hakuna shule inatoza hiyoada Tanzania kwa mwaka
Nenda website.za shule kaangalie.Mwongo mkubwa wewe
Yeye sio msemaji wa TRA au bandari wako.wenyewe hukoYeye kama waziri wa Fedha lazima ajue kuna mabasi 60 yameingizwa .... hakuna haja ya kumtaja mwenye mbasi walau angekubali kuwa kweli kuna mtu kaagiza hayo mabasi na kiwango cha kodi kilicholipwa.
Utajua wapi unaishi kwenye tembe Iramba mjinga weweUongo wako kuwa.kuna shule.inatoza ada milioni 50 umeluumbua uongo wako.hakuna shule kama hiyo Tanzania !!!
Unayeishi nyumba ya maana hata hujui kuwa hakuna shule Tanzania inayotoza ada milioni 50 kwa mwaka.Ulivyo mjingaUtajua wapi unaishi kwenye tembe Iramba mjinga wewe
Mara ya mwisho,niliona mwanae kabebwa na yeye mwenyewe,huku kavalia tisheti iliyoandikwa,FEZA sijui nini huko,wanasiasa bhana.Mmh wanasoma wapi?
Kuishi kwenye tembe kumekufanya uwe mjinga haswaUnayeishi nyumba ya maana hata hujui kuwa hakuna shule Tanzania inayotoza ada milioni 50 kwa mwaka.Ulivyo mjinga
Kwani kosa kumiliki company ya magari au kuwa na hisaAnamiliki mabasi na timu ya bigstars huo uwongooooo unamwambia nani
Watoto. Wake Wanasoma Feza ada za Feza schools hizo hapoMara ya mwisho,niliona mwanae kabebwa na yeye mwenyewe,huku kavalia tisheti iliyoandikwa,FEZA sijui nini huko,wanasiasa bhana.
KaziIendelee acha kumchafua waziriMh. Waziri amesema kuwa yeye hana hata basi moja pia hamiliki hata kampuni yenye bajaji moja.
Wewe mjinga tu ziko hoteli za kitalii za tembe zimeezekwa makuti na nyasi ufukweni na mbugani wewe huwezi lala humo huna pesa hiyo ya kulala hata usiku mmoja.lofa wa mjini weweKuishi kwenye tembe kumekufanya uwe mjinga haswa
Huyu mumeo analala humo ndiyo maana katuongezea tozo kibao tuendele kuwalipia hotel?Wewe mjinga tu ziko hoteli za kitalii za tembe zimeezekwa makuti na nyasi ufukweni na mbugani wewe huwezi lala humo huna pesa hiyo ya kulala hata usiku mmoja.lofa wa mjini wewe
Feza. Ila ana haki ya kusomesha wanae shule nzuri.Watoto wake wanasoma wapi?
Lisemwalo lipo...kwann ang'ake suala la mabasi wakati suala la timu kakaa kimya??Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Umaskini wa nchi au utajiri wa nchi haupimwi na rasimali, Bali hupimwa kwa uzalishaji na vipato vya wstu. Kuna nchi hazina rasimali lakini ni tajiriTofautisha utajiri wa raslimali za nchi na utajiri wa mwananchi mmoja mmoja.