Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sisi raia hatuna haki hiyo?Feza. Ila ana haki ya kusomesha wanae shule nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi raia hatuna haki hiyo?Feza. Ila ana haki ya kusomesha wanae shule nzuri.
Ni kosa kupata utajiri kupitia fedha za umma.Kwani kosa kumiliki company ya magari au kuwa na hisa
Timu nayo biashara?Lisemwalo lipo...kwann ang'ake suala la mabasi wakati suala la timu kakaa kimya??
Ninhakinyako ni hela yako tuSisi raia hatuna haki hiyo?
Jf inanguvu hadi imemtowa waziri alikojificha.Hongereni na heri sana kwa jf.Tunamsubiri mh waziri wa kilimo aje atowe ufafanuzi wa yanayoendelea ktk kuandikisha wakulima.Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Ndio ilivyo kwa watanzania wengi mtu akifanikiwa anashambuliwa
Kwani akiwasomesha huko kwingine kuna shida gani?Tujue ada, kwanini wasisome shule hizi za bure? Si elimu imeboreshwa kuna shida gani kuwa mfano watoto wao wasome hizi changanyikeni?
Wewe hupangiwi wanao usomeshe wapi huwezi mpangia mwingine asomeshe wapiKwa nini asisomeshe kwenye shule za kata kama shule ya msingi mbagala?
Kwani mshahara wake kwa mwaka hautoshi kulipia M 200 kwa watoto aliozalisha mwenyewe....!!! Ukichanganya na tozooo!????[emoji849][emoji849][emoji849]Ile Tanganyika sijui nini ada per year ni milioni 50 lakini hapo ana watoto wa 4
Kweli kwa maana anatafuta pesa kuhudumia Familia yake. Nadhani watoto na Familia yake ni wahanga wa kulambishwa asali wasiyojua malino yakeWapi imeandikwa kuhusu watoto wa mawaziri wasome shule fulani? Hizo ni roho cha kichawi na umaskini.
Hapa sio mahakamaniDocuments zote zinasomeka Ester. Aweke cheti cha ndoa hapa muone miujiza.
Ni mara chache sana mwenye kosa la jinai kukiri kosa mbele ya vyombo alivoalika mwenyewe!Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Anayependa kusomesha watoto hukoHizo za umma nani asome?
Unamsemea bro, waache wafu wazike wafu wao. Au Na wewe unafaida tozo? Issue hapa ni hizi tozo hazina mashiko hata chembe ni uonevu wa wananchi.Kumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao.
Mwigulu anasema hamiliki hata kampuni ya bajaji, ilaa anashangaa kuhusishwa na kumiliki kampuni ya mabasi.
Tuache kuwasingizia uongo hawa viongozi. Kama huna ushahidi ni bora ukakaa kimya.
Hawa wanaosema Waziri Mwigulu anamiliki mabasi ndio haohao walisema Lowassa anamiliki kampuni ya Richmond, Ila mwisho wa siku ndio haohao wakageuka na kuanza kumsafisha huku wakizungusha mikono
Weka ushahidi acha kubwekaTunajua sana wanajificha kwenye biashara na majina ya wengine!
Wanaume tukiwa tunaongea mambo ya msingi wewe kama binti mtiifu wa ccm unatakiwa ukate vitunguuTimu nayo biashara?
Wewe punda miye sibweki! Anayetakiwa awajibike kuthibitisha ni huyo anayekuibia tozo kwa milango yote ya mwili wako!Weka ushahidi acha kubweka
Tumekubaliana kuwa wanaume tunapojadili mambo yetu wadada na wamama mtupishe sawa?Anayependa kusomesha watoto huko
Asiyependa ndio maana private zipo
Umepewa uhuru peleka upendapo