Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano MarekaniUmaskini wa nchi au utajiri wa nchi haupimwi na rasimali, Bali hupimwa kwa uzalishaji na vipato vya wstu. Kuna nchi hazina rasimali lakini ni tajiri
Kwanini watoto wenu na Mwigulu wasiwe mfano kusoma za umma na wakati mazingira yameboreshwa?Anayependa kusomesha watoto huko
Asiyependa ndio maana private zipo
Umepewa uhuru peleka upendapo
Hivi unadhani una akili Sana na Wana jf ni wajinga Kwa kiasi unachofikiri? Hii nchi wanasiasa hawajawahi kusema ukweli popote na hiyo tume haina maana ya kuwepo kwani inachangia kuwaficha wanasiasa wabadhirifu wa Mali za umma walizoiba!Leta ushahidi wa Biashara anazomiliki. Kwani Ile fomu yake ya maadili kwa watumishi wa Umma imejazwa nini?
Imefika muda apumzike pembeni atuachie nchi yetu tuiendeleze.Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
John the baptist ndo engineer wa hii kitu mabasi ya EastherKumekuwa na uongo mwingi sana kwa viongozi wetu, na hapa Kuna watu huusika kuwachafua kwa maslahi yao.
Mwigulu anasema hamiliki hata kampuni ya bajaji, ilaa anashangaa kuhusishwa na kumiliki kampuni ya mabasi.
Tuache kuwasingizia uongo hawa viongozi. Kama huna ushahidi ni bora ukakaa kimya.
Hawa wanaosema Waziri Mwigulu anamiliki mabasi ndio haohao walisema Lowassa anamiliki kampuni ya Richmond, Ila mwisho wa siku ndio haohao wakageuka na kuanza kumsafisha huku wakizungusha mikono
Wa kwako wanatosha kuwa mfanoKwanini watoto wenu na Mwigulu wasiwe mfano kusoma za umma na wakati mazingira yameboreshwa?
Duh!Wa kwako wanatosha kuwa mfano
Lala dada angu EsterWa kwako wanatosha kuwa mfano
Hapo mwishoni siajaelewa mheshimiwa amesemaje "...utala phiya awafumu...??? Ndio kamaanishaje hapo? 🤔Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Wazeee wa matoke na vinyebwa na chikomandoooNa mwisho wake utakuwa kama Komsoon pale wananchi watakapoamka. Hiki kitabu kimenikumbusha mbali sana, nilifanyia Literature Form 6, Uganda miaka hiyo.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana.
Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther
=====
Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60 kwenye kampuni yake, mimi sina kampuni hata ya bajaj. Hivi unaweza ukatoka chuo tu ukawa na bweni la wasichana na wavulana la kusaidia halafu uwe na kampuni ya biashara, sina biashara hata ya bajaji.
Kisa tozo, hii ni dhamana tu, hatuna haja ya kuchafuana. Unahangaika kuchafua mtu.
Hatukatai lakini ushahidi muhimu ku attach kwa mtu anayetuhumuJf inanguvu hadi imemtowa waziri alikojificha.Hongereni na heri sana kwa jf.Tunamsubiri mh waziri wa kilimo aje atowe ufafanuzi wa yanayoendelea ktk kuandikisha wakulima.
Kwa hiyo na shule Nazo unataka uwachagulie watu kwa kwenda,Watoto wake wanasoma wapi?