Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

Waziri wa fedha Mhe. Mwigulu Nchemba amesema ameishi na kusoma kwenye mazingira magumu hivyo kama binadamu, yeye pia hapendi kutoza kodi kwa watu wengine...
Nitakuwa mpumbavu wa mwisho nikipoteza muda kuishauri Serikali ambayo imejipambanua kwamba ina akili kuliko sisi wenye nchi.

Wanafanya hivyo kivitendo hasa kwa kuwabinya na kuwamaliza wote wenye mawazo chanya mbadala yanayoweza kuisaidia nchi.

Tumewabana wapinzani tukidhani ndilo suluhisho maendeleo yetu.

Tumeshuhudia wapinzani wakidhibitiwa kama vile failed assassination ya Tundu Lissu na kadhalika.

Ushauri mwingi umetokewa na sasa kinachofanyika ni kuonesha hakuna ushauri ukiowahi kutolewa.
 
Kwahiyo kama hana biashara hata ya bajaji ndio anataka tozo ili aanzishe au?

Tozo na kodi zaidi ya mara moja kwa kipato hicho hicho, ni wizi!
 
Yaani kilaza
 

Attachments

  • 20220901_130328.jpg
    20220901_130328.jpg
    58 KB · Views: 7
Mara nyingi nakuambia huna akili hata kidogo. Mwigulu anaachaje kuzungumzia maskini ikiwa nchi yetu ni maskin? Au unataka aseme sisi matajiri donor country Kama alivyokuwa akisema Magufuli...
Nani kakwambia Tanzania ni maskini? Wewe ndo mjinga sasa
 
Tatizo mmetokea ukapukuni lakini mnamiliki mali nyingi sana za wizi ndio maana ownership mnaweka kwenye uficho.

Rais wa Zambia Hichilema ni Bilionea, kila mtu anafahamu hilo ni mfanya biashara mkubwa na hajifichi. Ni hustler ameshafungwa na kunyanyaswa na tawala sababu ya siasa zake za kisema kweli na zenye mlengo wa upinzani, Leo hii ni Rais na anajitahidi awezavyo serikali yake ibane matumizi ya pesa za walipa kodi.

Ila hawa viongozi wetu wao ni kama wamezifumania pesa za wajinga ni kuzibutua tu, kufuja, kuficha na kuongea maneno ya dharau na kejeli kwa walipa kodi, sababu pesa hawajazitafuta, wanajichotea tu kwa mafungu.
 
Mara nyingi nakuambia huna akili hata kidogo. Mwigulu anaachaje kuzungumzia maskini ikiwa nchi yetu ni maskin? ...
Una upumbavu hadi sio poa....nchi yetu sio maskini sema watu ndio maskini huku wanasiasa kama mwigulu kutumia hiyo kauli ya "wananchi maskini" kula na vipofu.
 
Hahaha....madelu mbona kama unajiuma uma bhanaa.......kwamba humiliki hata bajaji!
 
Lugha ya mwili inaashiria kuwa kuna ukweli, ameongea kiunyonge nafsi ikimsuta...atakuwa hata vibasi kadhaa...Mungu nisamehe ninawaza tu
Kuwa tajiri au kumiriki mali sio kosa na wala sio tatizo ni haki yake. Ila wanachemka pa dogo tu kuchanganya ofisi na biashara zao
 
Back
Top Bottom