Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala

Believe me, hakuna mtaalamu wa uchumi ambaye anaweza kuweka tozo na kodi 7,250/- kwenye mwamala wa elf 50........chukulia mfano makato kwenye ATM shilingi 500, na hapo ume withdraw milioni moja cash.......eti mtaalamu mwenzangu!
ATM ya kwenu huko ndio inatoza 500? Hizo ATM unatumia mwenyewe? Kwa mfano CRDB na NMB hazina makato ya jero zako hizo.

Pili pesa ikienda huko ndio afya ya mabenki sasa lakini unfortunately ATM ni chache kuliko network ya mitandao ya simu na mawakala kwa hiyo huwezi kwepa kirahisi ku transacts unless uwe kwenye shorter distance
 
Ahaaa 7,000 hakuna shida, vipi ikiwa 500 kuna shida gani, ndugu mtaalamu wa uchumi...
 
Rais akiibatilisha tozo na yeye atahamia Burundi?

Anaelewa kwamba kwa kuitaja Burundi kama nchi ya Watanzania kukimbilia anaweza kuanzisha mgogoro wa kidiplomasia wa kimataifa?
 
Kwakweli sijui Mwigulu angekuwa Baba yangu ningepitaje mtaani.

Yaani anajua kabisa wananchi wana stress alafu yeye kama kiongozi mwenye dhamana anaamua kuongezea machungu kwa kauli za kukebehi namna ile!?!

Amezingua
 
Hata kama ATM ni 2,500 kwa kutoa milioni moja, huoni kuna unafuu zaidi ya mara 50 ukilinganisha na wizi mnaotaka kufanya kwenye miamala ya wanyonge....
 
Hata kama ATM ni 2,500 kwa kutoa milioni moja, huoni kuna unafuu zaidi ya mara 50 ukilinganisha na wizi mnaotaka kufanya kwenye miamala ya wanyonge....
Haipo hiyo wewe usikute hata acc.huna..ATM ya baba yako ndio utatozwa 2,500 kwa milioni moja?

Hujui kitu unahemka na sikujibu tena
 
Tutapata lini 1.6 Tilioni kulipia miradi iloyopo na mipya? Mda wa kufanya mark time umepitwa na wakati
Mark time kwa mtazamo wa nani, mbona umetumia miaka 20 kuchunga ng'ombe kijijini kwenu hujasema ni mark time...
 
Haipo hiyo wewe usikute hata acc.huna..ATM ya baba yako ndio utatozwa 2,500 kwa milioni moja?

Hujui kitu unahemka na sikujibu tena
Kama withdrawal moja ya laki nne makato ya ATM si zaidi ya buku, zidisha mara tatu hapo kutoa milioni halafu ujione ulivyo zwazwa kukata 7,250/- kwenye elf 50......huwezi kuendelea kunjibu maana huna hiyo akili na PhD yako ya kwenye chibuku...
 
Service charge na wale wenye matumizi chini ya 75 units ya umeme ilikuwepo kabla ya magufuri cc tuliojenga zamani tunajua pia magufuri aliongeza tozo ktk bank ilikuwa kabla yake ukienda na check unakatwa si zaidi ya 2,600/ alipoingia yy akapandisha Hadi elf 6 na points lakini pia akaweka na Kodi nyingine ktk bank.
 
Rais akiibatilisha tozo na yeye atahamia Burundi?

Anaelewa kwamba kwa kuitaja Burundi kama nchi ya Watanzania kukimbilia anaweza kuanzisha mgogoro wa kidiplomasia wa kimataifa?
Ana kauli za maudhi kama alivyokuwa Deputy Secretary (CCM) enzi za JK..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
We chawa wa jiwe.
 
Kwenye nchi zenye press iliyoenda shule sawa sawa, hapo mwandishi asingemwacha kiongozi atoe kauli ya kibaladhuli namna hiyo halafu apete...

I can imagine mwandishi kama wa BBC World angejibiwa hivyo angemtemesha nyongo na ma follow up questions na kuhakikisha skendo la kufa mtu linaanzia hapo hapo studio....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…