PhD amepata awamu ya 5 kabla hajaingia mgogoro na Maaskofu wa KKKTElimu ya Mwigulu Nchemba inatia mashaka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD amepata awamu ya 5 kabla hajaingia mgogoro na Maaskofu wa KKKTElimu ya Mwigulu Nchemba inatia mashaka sana.
Burundi ni nchi ya umwagaji damu mara kwa mara, nahisi nae kuna 'damu zinamlilia'Sasa kwa nini kaitaja Burundi jamani
Watanzania ni wanyonge kama alivyokuwa akisema Magufuli, sababu kubwa ni kwamba wengi wao hawawezi kujitetea na hata wakiamua kujitetea kwa namna yoyote ile bado wenye mamlaka ndo wenye maamzi ya kufanya au kutofanya, hilo lipo wazi atakaebisha abishe kwa vitendo na sio kwa propaganda za nyuma ya keyboard.Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
SSH naye ni mtanzania,ameambiwa ahamie BurundiJeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
Anataka chuki ijae ndani mwetu kwa awamu hii, ili SSH aone kuwa awamu ijayo imemkalia vibaya na asichukue fomu ili yeye na timu yake wapata nafasi!! yupo kimkakati zaidi.Moja ya makosa makubwa sana ya mama SSH kufanya ktk baraza la mawaziri ni kumpa huyu mtu uwaziri.
lazima atamuangusha tu mama SSH, amejaa kiburi, dharau na kujisikia kupindukia na watu wa namna hii ni wanafiki mno.
Mzee Malecela aliwahi kutoa kauli kama hii,na wagogo hawakumpa tena 'kula' ikabidi aishi kwa kubebwa mpaka Mwl naye akaweka Mguu wake, the rest ni history.Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
Itungwe sheria ya kuzuia washamba kupewa madaraka. Haya tumeyaona kwa mwendazake na mwigulu ni walewaleJeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
Wanasiasa wetu wanatuangusha sana!Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
But inaelekea ana nyota ya kupendwa na mamlaka ya uteuzi...how can he survive in such hostile environment?...yaani iko wazi kwamba kuna hate kubwa Sana Kati ya wananchi na huyu Waziri...KAZI ya hivi anaifurahia kweli!?Mwigulu hana nyota na Watanzania
Kila akitajwa kuwa waziri Fulani huwa anaandamwa sana.
This is Tanzania😢Jeuri ya namna hii huwa wanakuwa nayo Wanasiasa wa Tanzania tu. Sababu wanajua Wananchi wa Tanzania wanaowalipa mishahara na posho. hawana la kuwafanya.
Ni kauli iliyojaa dharau, kebehi, kiburi, ujivuni, ubazazi, ubaradhuli na ulaanatullah. Huyu amejikinai. Hawajali wananchi maskini wa Tanzania. Na watanzania sababu ni wapole sana nadhani hatuna la kufanya.
Tumpongeze anaupiga mwingi sana.
Including kufoji elimuNi vigumu sana kumtofautisha Mwigulu na Mwendazake. mwigulu ana character zote za Magufuli
Koma kabisa kumlinganisha JPM na kina Nchemba!Ni vigumu sana kumtofautisha Mwigulu na Mwendazake. mwigulu ana character zote za Magufuli
Duh...hawa wataalamu wa wanasiasa wawe wanawasaidia ata kwenye Majukumu Yao, sio wanawasaidia kupata vyeo halafu wanaachana nao..au utaalamu hauwezi kuwa extended!?Ana mganga wake mzee mmoja hivi wanasema ni mzuri sana yule Mganga. Na anajua kujipendekeza sana Mwigulu.
Seems alipita kwa Dr Mwandulami au alipokuwa Lumumba alikuwa ana ratibu zile shughuli za maji kwa akina Mangula.Akiwa pembeni ya mfumo atasema niguse ninuke haaaaaaa.Eee Mungu tusaidieBut inaelekea ana nyota ya kupendwa na mamlaka ya uteuzi...how can he survive in such hostile environment?...yaani iko wazi kwamba kuna hate kubwa Sana Kati ya wananchi na huyu Waziri...KAZI ya hivi anaifurahia kweli!?
Walizeeka kwanza ndi wakaja kuwa vijana , namuona hapo na Kailima Ramadhani aka mchawi wa wachawi