babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Saanaa,na swaumu alikua akiongea walisimama kabisa kuimba tuna imani nawe😥.Waweza kuta baada ya kutoa kauli hiyo wale wahudhuriaji walipiga makofi mengi na vigelegele( mtoa mada nisaidie kujua kama hilo lilitokea maana utakuwa ulifuatilia mwanzo mwisho)
Hii nchi hii