Mwigulu Nchemba: Hakuna mwananchi atakayelipa mkopo, Serikali italipa

Mwigulu Nchemba: Hakuna mwananchi atakayelipa mkopo, Serikali italipa

Haya sio maneno yangu mkuu; ni maneno ya Mwigulu. Hebu msikilize kwenye klipu hapo juu.
Ohh ni kweli mkuu, nilidhani unashabikia kuwa wananchi hatushiriki kulipa madeni, samahani mkuu, nabadili kauli. Eti Mh. Mwigulu ana PhD ya uchumi anashindwa kuelewa kuwa hata Baba yake anachangia kulipa deni, yaani hata yeye Mwigulu anachangia kulipa deni kupitia PAYE
 
Waweza kuta baada ya kutoa kauli hiyo wale wahudhuriaji walipiga makofi mengi na vigelegele( mtoa mada nisaidie kujua kama hilo lilitokea maana utakuwa ulifuatilia mwanzo mwisho)
 
PHD ya jalalani hii, Serikali inatowa wapi hela Kama sio Kodi kutoka kwa mwananchi.
 
Waweza kuta baada ya kutoa kauli hiyo wale wahudhuriaji walipiga makofi mengi na vigelegele( mtoa mada nisaidie kujua kama hilo lilitokea maana utakuwa ulifuatilia mwanzo mwisho)
Kama vile ulikuwepo mkuu.......walimshangilia na nderemo na vifijo lakini kuna mkuu wa mkoa mmoja anaitwa Mh Anthony Mtaka, yeye alitikisa kichwa kwa masikitiko 😳 😳
 
Mh Mwigulu ni born again Christian. Katumia msahafu. Ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu mpeni Mungu. Kodi ni ya Kaisari. Labda hapo serikali ni wananchi ndipo kwenye kamgogoro.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr Mwigulu Lameck Nchemba (PhD) leo amewaondoa wasiwasi wananchi wanaolia kwa sababu ya ukubwa wa deni la taifa (Trilion 70+) kwamba hakuna mtanzania hata mmoja atakayegongewa mlango au kutakiwa kutoa mali zake binafsi ili kulipia deni la taifa. Amesema deni hilo litalipwa na serikali yenyewe kwa fedha zake bila mwananchi yeyote kutakiwa kutoa hata senti moja ili kulipia deni. Msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hii hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇​
View attachment 2068601
Dr Mwigulu alisema hayo wakati Rais Samia alipokuwa akihutubia Baraza la Mawaziri ikulu Jijini Dodoma ili kuweka mambo sawa baada ya Spika wa Bunge kuwa mbogo kuhusiana na ukubwa wa deni la taifa ambapo Spika alisema kuwa serikali ya Samia isipokuwa makini kwenye ukopaji, ipo siku nchi hii itauzwa ili zipatikane fedha za kulipia madeni.

MAONI YANGU
Nawaomba wananchi tutulie, tuache kupapalika bila sababu kwa kuwa sasa tumehakikishiwa kwamba hatutahusika hata chembe kwenye ulipaji wa deni la taifa. Nawashangaa sana watu wanaowapotosha wananchi kwa makusudi kuwa watahusika kwenye ulipaji wa deni la taifa huku wakijua fika kwamba serikali itajilipia yenyewe deni lake. Tuache upotoshaji ndugu watanzania. Kuna makundi ya watu wabaya wanaotumiwa na watu wasioitakia mema nchi hii kuifarakanisha serikali na wananchi wake. Tuwe makini! ✍️​
Serikali ina Shamba?
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dr Mwigulu Lameck Nchemba (PhD) leo amewaondoa wasiwasi wananchi wanaolia kwa sababu ya ukubwa wa deni la taifa (Trilion 70+) kwamba hakuna mtanzania hata mmoja atakayegongewa mlango au kutakiwa kutoa mali zake binafsi ili kulipia deni la taifa. Amesema deni hilo litalipwa na serikali yenyewe kwa fedha zake bila mwananchi yeyote kutakiwa kutoa hata senti moja ili kulipia deni. Msikilize wewe mwenyewe kwenye klipu hii hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇​
View attachment 2068601
Dr Mwigulu alisema hayo wakati Rais Samia alipokuwa akihutubia Baraza la Mawaziri ikulu Jijini Dodoma ili kuweka mambo sawa baada ya Spika wa Bunge kuwa mbogo kuhusiana na ukubwa wa deni la taifa ambapo Spika alisema kuwa serikali ya Samia isipokuwa makini kwenye ukopaji, ipo siku nchi hii itauzwa ili zipatikane fedha za kulipia madeni.

MAONI YANGU
Nawaomba wananchi tutulie, tuache kupapalika bila sababu kwa kuwa sasa tumehakikishiwa kwamba hatutahusika hata chembe kwenye ulipaji wa deni la taifa. Nawashangaa sana watu wanaowapotosha wananchi kwa makusudi kuwa watahusika kwenye ulipaji wa deni la taifa huku wakijua fika kwamba serikali itajilipia yenyewe deni lake. Tuache upotoshaji ndugu watanzania. Kuna makundi ya watu wabaya wanaotumiwa na watu wasioitakia mema nchi hii kuifarakanisha serikali na wananchi wake. Tuwe makini! ✍️​
Kama Waziri hafahamu mapato ya serikali yanatoka wapi na bado ni Waziri unafikiri mwenye tatizo hapo ni nani? Aibu kubwa sana hii.
 
"Hakuna siku Mtanzania mmojammoja atagongewa hodi mlangoni kwamba tunakudai Shillingi hizi kwasababu Nchi yako ilikopa, haipo Nchi hiyo, hivi ni vitu vya Kitaasisi na vinaangaliwa kutoka kwenye mapato ya Kiserikali"——— Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Nchemba
Vizuri, umemsikiliza.

Umemuelewa?
 
Hicho cha arusha au..
Serikali inafanya biashara au kojoa ulale shule zimekaribia kufunguliwa.
Serikali inakopa fedha kulipia madeni ya zamani iliyokopa; haimgongei mlango mwananchi yeyote kumuomba asaidie kulipa deni ✍️
 
Mkuu iamini serikali; hakuna mwananchi atakayeombwa fedha ya kulipa deni la taifa. Serikali italipa. Full stop.
unafikiri Kwa kutumia ubongo au matako wewe jamaa,una ujinga mkubwa sana
Narudia wewe ni hopeless na nafikiri wewe ndie huyo taahira mwenye PhD Madelu
Serikali italipa Kwa Pesa ilizochimba ardhini au?
Inaonesha jinsi Gani ulivyo juha hapa jamvini
Napendekeza mkeo awatafutie watoto baba mwenye akili timamu kuliko kua na mume mbumbumbu kama wewe
Shame!
 
Back
Top Bottom