Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Chadema ni sawa na Alshabaab tu.
Viongozi wao wanatumia maisha ya watu kama mtaji wa siasa
Ni siasa za hatari sana hizi wamefanya watu kuwa walemavu.
Aliipeleka hiyo midoli yake kule A town, wananchi wa huko walizipuuza propaganda zake na wananchi wakaamua kuwaadhibu magamba kwa kuwapa ushindi CDM kwa ushindi wa goli 4 kwa bila!Kila sehemu anakokanyaga huyu jamaa CCM inabwagwa - hivi hawajajifunza tu!! maana siasa za huyu jamaa ni za vita vita tu.
Kalenga - i can't wait to count CDM winning!!
kumbe bado anatembea na mdoli wake????
Kwa kweli mwigulu nchemba ameongea kweli hawa chadema wanataka tuwe kama wasomalia kila siku vita,tunashukuru watanzania wanaelewa umuhimu wa aman yetu na hawapo tayari kuiingiza nchi kwenye dimbwi la damu.Tunatamani upinzani ila sio chagadema.
Hii inamfurahisha mama yako nasikia anapenda sana kunanihii na walemavuDr slaa ex padri hii inakufurahisha?
Chadema ni wauwaji wakubwa
Inawezekana hakuna sheria ya kumshitaki savimbiSiasa ni mchezo wa ajabu sana, naona hao wahanga hapo hiyo ni sehemu yao ya kujipatia chochote, kama inatamkwa wazi kuwa ni Dr.Slaa na watu wake wanahusika, Je, vyombo vya dola viko wapi? na hapo utajua kwamba siasa chafu inayoendeshwa na Mwigulu Nchemba na CCM yake.
Pia najiuliza kwanini haya yanafanyika wazi hivi na CDM wanakaa kimya huku wakijua huu ni uwongo, kwanini hawachukui hatua ya kumshtaki Mwigulu na hao vijana wake.
Kweli njaa na umaskini hatari sana! mwanamume mzima unakalishwa chini na ccm unatobolewa macho na kuzungushwa mitaani kwa vijisenti vya ccm.? Hatari sana.
Sasa simuwakamate au mnawaogopa??
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akizungumza na Wananchi wa kata ya Ifakara wakati wa Mkutano wa Kufungua Kampeni uliofanyika Jana Tar.27/02/2014.Hapa akiwa na Wahanga wa siasa chafu zinazodaiwa Kufanywa na Chadema kupitia Vijana wake wa Redbrigade.Mwenye T-shirt ya Njano ni Mzee Alphonce John ambaye alitopolewa Macho kwa dispisi wakati wa Uchaguzi wa Udiwani huko Kahama Mwezi uliopita.
Mwigine mwenye Shati la Kijana ni Kijana Musa Tesha ambaye alimwagiwa Tindikali na Vijana wanaodaiwa Kuwa wa Chadema huko Igunga wakati wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo.Mh:Mwigulu Nchemba jana amesisitiza Wananchi wa Kalenga kuwa makini na siasa Chafu za Chadema zinazofanywa sehemu mbalimbali hasa kwenye nyakati kama hizi za Uchaguzi.Amesisitiza kuwa kwenye Chaguzi zozote Vyama vya siasa vinashindanisha Sera na hoja kuhusu Maendeleo ya Wananchi wa eleo hilo,Mkataba wa CCM na Wananchi ni Maendeleo katika Taifa hili,Umoja na Mshikamano ndio ngao ya MwanaCCM yeyote.
Mwigulu Nchemba amesema dhambi ya Mauaji na Unyama unaoendelea kwenye mikutano ya siasa na maeneo mbalimbali haitamwacha Dr.slaa Salama kutokana na yeye kuwa kiongozi anayebariki Siasa chafu hizo.
Chanzo:Kalenga