johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nabii na Mtume T B Joshua ametenda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua maana ya taaluma kweli?Wizara ya fedha ni nyeti inahitaji mtu mwenye taaluma hiyo, Mwigulu hana taaluma hiyo
Matakwa kikatibaVipi ule waraka wa CHADEMA kuwa Rais anatakiwa kuvunja Baraza? Katibu aliwaingiza Chaka?
Aiseee !Aya sasa ashindwe yeye tu kuchota na kwenda kuwalipa watu wachore tena mawe kama kipnd cha nyuma
Vipi ule waraka wa CHADEMA kuwa Rais anatakiwa kuvunja Baraza? Katibu aliwaingiza Chaka?
Mwigulu Nchemba tunakusagia kunguni mchana kweupeeee
Kwani kwa kufanya uteuzi mpya, sio kuvunjwa lile la zamani? Au sijaelewa “kuvunja” kwako ilimaanisha wale wote waondolewe na kuwekwa wapya??
Kwahiyo mwigulu ni nyoka
Hahah hahah hahah kumekuwa kwa moto☢️ kunatoa mionzi hatarishiSiku hizi haingii huku na hiyo ID, naye anatumia ID Fake.
Sawa alifeli darasa la saba lakini sasa ana PHD na ni Waziri wa Fedha na Mipango! Pole sana kwa stress!Hapa kwa Lameck kweli amekosea. Alafu kuna tetesi alifeli darasa la saba...
Unamjua Mwigulu mkuu? Huyu mtu hana busara wala ubinadamu hata kidogo!Wenye wivu kesheni mkiomba hata wakitolewa utateuliwa wewe au mmeo?
Mafisadi mtanyooka tu.