Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Wakuu naomba kutangaza kwamba ninayo maslahi kwenye suala hili maana mimi ni mfanyabiashara wa ndani na nje ya nchi , ni mlipa kodi

Kwa takribani miaka sita sasa Sisi wafanyabiashara wa nchi hii tunahenya , makadirio ya kodi kubwa , vitendea kazi tunavyoagiza kutoka nje ya nchi zikiwemo matirio za kutengenzea bidhaa kodi tunayotwangwa kwenye bandari ya Dar es Salaam haina urafiki wowote ule , kwa ujumla Wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo ambao ndio walipa kodi wa kutegemewa kwenye nchi hii Wamegeuzwa kuwa maadui , hakuna asiyeelewa hiki ninachoandika hapa , hela zetu zimeng'olewa kwenye akaunti za benki bila hata maelezo yoyote .

Kwa mtu katiri na mwenye mihemko na visasi kama Mwigulu kupewa Wizara hii ni pigo kubwa kwa wafanyabiashara , wenye viwanda , wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa nchini , kuna hatari ya vyuma kukaza zaidi .

Wizara hii muhimu ilihitaji Waziri msikivu asiyejikweza kwa kiburi cha madaraka , inahitaji waziri atakayekaa na wafanyabiashara na anayeamini katika majadiliano , ingekuwa vema Waziri wa fedha atokane na Walipa kodi wanaofahamu ugumu na umuhimu wa kulipa kodi , huyu Mwigulu hajui lolote kuhusu mambo haya , ataleta shida zaidi .

Itaendelea ........
Kwa miaka ya hivi karibuni, Mgimwa ndie aliyeimudu vizuri hii Wizara.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona karata za mama ni kumpa mwigulu wizara ya fedha kwamba atashindwa tu, afu amchomoe, ameona si vyema kwa miezi michache aliyohudumu wizara ya katiba na Sheria kumchomoa, ambapo ameshaonyesha udhaifu tayari
 
Mnalalama nini mama anatumia mawaziri walewale waliominika na huyo shujaa wenu wa Africa.. Mbona alivyokuwa anateuliwa na jiwe ktk wizara mbalimbali mlinyamaza kimyaa... Sahiz ndio mnaona mwigulu hafai... Kweli wadanganyika hamjielewi mnacho simamia...
 
Wakuu naomba kutangaza kwamba ninayo maslahi kwenye suala hili maana mimi ni mfanyabiashara wa ndani na nje ya nchi , ni mlipa kodi

Kwa takribani miaka sita sasa Sisi wafanyabiashara wa nchi hii tunahenya , makadirio ya kodi kubwa , vitendea kazi tunavyoagiza kutoka nje ya nchi zikiwemo matirio za kutengenzea bidhaa kodi tunayotwangwa kwenye bandari ya Dar es Salaam haina urafiki wowote ule , kwa ujumla Wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo ambao ndio walipa kodi wa kutegemewa kwenye nchi hii Wamegeuzwa kuwa maadui , hakuna asiyeelewa hiki ninachoandika hapa , hela zetu zimeng'olewa kwenye akaunti za benki bila hata maelezo yoyote .

Kwa mtu katiri na mwenye mihemko na visasi kama Mwigulu kupewa Wizara hii ni pigo kubwa kwa wafanyabiashara , wenye viwanda , wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa nchini , kuna hatari ya vyuma kukaza zaidi .

Wizara hii muhimu ilihitaji Waziri msikivu asiyejikweza kwa kiburi cha madaraka , inahitaji waziri atakayekaa na wafanyabiashara na anayeamini katika majadiliano , ingekuwa vema Waziri wa fedha atokane na Walipa kodi wanaofahamu ugumu na umuhimu wa kulipa kodi , huyu Mwigulu hajui lolote kuhusu mambo haya , ataleta shida zaidi .

Itaendelea ........
MNYIRAMBA huyu anajiandaa na uraisi 2025, Samia kachemka sana hapa, lakini ni mtu mwenye kauli chafu zisizo endana utu wema wa Rais wetu samia.
 
Tunaenda kukusanya kodi kwa kutumia vikosi kazi vya kuteka na kuua, ukikadiriwa ukazingua kulipa unatekwa na kuuwawa.
 
IMG-20210401-WA0028.jpg
 
Wakuu naomba kutangaza kwamba ninayo maslahi kwenye suala hili maana mimi ni mfanyabiashara wa ndani na nje ya nchi , ni mlipa kodi

Kwa takribani miaka sita sasa Sisi wafanyabiashara wa nchi hii tunahenya , makadirio ya kodi kubwa , vitendea kazi tunavyoagiza kutoka nje ya nchi zikiwemo matirio za kutengenzea bidhaa kodi tunayotwangwa kwenye bandari ya Dar es Salaam haina urafiki wowote ule , kwa ujumla Wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo ambao ndio walipa kodi wa kutegemewa kwenye nchi hii Wamegeuzwa kuwa maadui , hakuna asiyeelewa hiki ninachoandika hapa , hela zetu zimeng'olewa kwenye akaunti za benki bila hata maelezo yoyote .

Kwa mtu katiri na mwenye mihemko na visasi kama Mwigulu kupewa Wizara hii ni pigo kubwa kwa wafanyabiashara , wenye viwanda , wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa nchini , kuna hatari ya vyuma kukaza zaidi .

Wizara hii muhimu ilihitaji Waziri msikivu asiyejikweza kwa kiburi cha madaraka , inahitaji waziri atakayekaa na wafanyabiashara na anayeamini katika majadiliano , ingekuwa vema Waziri wa fedha atokane na Walipa kodi wanaofahamu ugumu na umuhimu wa kulipa kodi , huyu Mwigulu hajui lolote kuhusu mambo haya , ataleta shida zaidi .

Itaendelea ........
Nani anafaa Sasa???
 
Back
Top Bottom