Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Rais wetu ni Magufuli, waambieni waliowatuma enyi wenye tamaa ya Madaraka

Uchaguzi 2020 Mwigulu Nchemba: Rais wetu ni Magufuli, waambieni waliowatuma enyi wenye tamaa ya Madaraka

Magu
Tunamsumbiri na Magu mwenyewe lazima aongee kesho akiapisha
Siyo level hiyo atazungumzia mambo ya kujenga nchi, ajenda za Magu ni SGR, JNHPP, Huduma za Afya. Haya mambo ya khanga pelekeni vijiweni.By the way unahabari kuwa jana kituo cha afya kule Buchosa kimefanikisha kufanya operation ya mama mjamzito na kumalizika salama, Kiumbe kinaendelea na maisha.Hizi ndiyo habari zinafaa Kushare na Jiwe siyo huu ushuzi wa Membe. Ni kweli ananuka tuu kama alivyojitabiria, eti niguse ninuke, hahahaàaaaaaaa great luzaaa
 
1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile.

2) Tanzania ni nchi HURU, Watanzania tunafanya kazi zote bila uangalizi wa mtu yeyote toka kwa mabeberu, Hatuhitaji KIRANJA kutoka popote awe mwangalizi au MCHOCHEZI aseme ndio kilichofanywa au kilichosemwa kiwe na UHALALI.
KIRANJA wetu ni Rais wetu.

3) Inaudhi Sana, wasio Watanzania waisimange nchi yetu, walioko mbali waisimange nchi yetu, na walioko ndani WATUMIKE kuisimanga nchi yetu, yaani hatuoni kazi zilizofanyika tunaona tu hatuna tume huru?????.

4) NCHI YETU HATUJAWAHI KUFANYA UCHAGUZI BILA TUME HURU YA UCHAGUZI, MIJITU MINGINE ILIKUWEPO NDANI TANGU UJANA WAO HADI SASA, LEO NDIO WAONE HATUNA TUME HURU?? MLISHAISHI MAISHA YENU TANGU ASUBUHI, JIONI YENU MNATAKA KUTUHARIBIA AMANI YA NCHI YETU, VIJANA TUKO MACHO, "HATUTATUMIKA" HATUTARUHUSU TAMAA ZENU ZA MADARAKA KUVUNJA AMANI YA NCHI YETU.

WALIOWATUMA WAPENI TAARIFA kwamba TANZANIA IPO IMARA, na ina KIONGOZI wa Nchi IMARA zaidi ya JANA.

Pia soma:

Elections 2020 - Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

PHD za kununua utazijua tu
Mabeberu ni wakina nani? Yaani maneno ya kishabiki! Waziri wa sheria asiyetaka uchaguzi huru 😂. Usikotulia utafukuzwa tena kwa kujipendekeza kwa kupitiliza
 
Hahahhhhhhh aisee Afrika tuna safari huyu mwandishi ni msomi Dr. Tena wa first class na Waziri wa Taifa kubwa la Afrika mashariki!!!!!!!!
Aisee Mungu atusaidie
 
Hii kitu Tume Huru inawatesa watu ila sijui kama wanafahamu Tume Huru ikoje. Nakumbuka upande wa Zanzibar walikubaliana na kuwa na kinachoitwa Tume Huru. Wajumbe wa Tume hii wakatoka CCM na CUF kwa idadi sawa. Mwenyekiti wa Tume ile alikuwa Mzee Jecha, sasa jana mzee Jecha kachukua form ya kugombea Urais kwa ticket ya CCM ghafla naona watu wanaibuka wanasema mnaona sasa tulisema Zanzibar hakuna Tume Huru hamkusikia Jecha kachukua form kwa ticket ya CCM. Wamesahau kwamba walikuwa na Tume Huru yenye wajumbe kutoka vyama viwili na hivyo Jecha alikuwa wa CCM lakini ndani ya Tume Huru anavyojitokeza kuchukua form, Tume inageuka kutokuwa Huru. Tume Huru ni ipi? Inatakiwa kuwaje? Labda wanataka Tume yenye wajumbe toka nje ya nchi
hivi mfano mtu akakutapeli humjui ila mwisho wa siku ukakuta huyo tapeli yupo na mtu wako wa karibu wanakula bata utahisi nn
 
Tukiwaambia ccm ya sasa wana akili za kushikiwa mtakataa?? Huyu eti ndiye Waziri wa Sheria na Katiba?? Tuna safari ndefu kama Taifa.

Yaani hawa ndiyo waliokwenda darasani na hirizi viunoni. Hata wakikaguliwa hivi sasa hamtaamini macho yenu. Yaani full ushirikina sababu ya Madaraka.
Mtu aliyesotea Phd yake hawezi kujianika kipuuzi namna hii.
 
kujikomba kunaendelea kumbe? Kule tweeter umeweka picha yake akiwa kavaa sare za jeshi. Ukichanganya picha hiyo na Ile aliyoshika mkoba wenye fomu ya kugombea kuongoza vyombo vya dola unapata jibu la kwanini unampigania na kuwaponda wazungu wanaokupeni misaada na mikopo kuwa wananchi wasahau uchaguzi huru na wa haki!
Tunajua ni kwanini tafrani ya covid-19 iliachwa ijiendee inavyotaka ili hao waangalizi wa kimataifa waogope Kuja nchini! Haiihitaji PhD Kama yako kuyabaini haya mnayompamba nayo huyo mteule wenu kwani wajanja tulishabaini mbinu zenu kitambo na tunawachora tu!
 
Hizi Phd za mlimani inabidi zikaguliwe kama veti feki

Ile ya Mkuu wa kaya tu ilithibitika kuwa ni Feki!!! Ndo maana waliohoji uhalali wake waliishia kupotezwa.
Kama mtu Unataka kufanya ulinganifu wa PhDs, Masters na Digrii za kawaida chukua Graduates wa UDSM uwapambanishe na wa Nairobi au Kenyatta universities ndipo utajua wapi wenye fake na genuine.....!!!!
 
1) Kwa Ushupavu wa Rais wetu, Watanzania tumeendelea na shughuli zetu zote, Hatuwazi Jambo moja tu la UCHAGUZI tuseme mazingira ya Corona, TANZANIA uchaguzi na kazi zote zinaendelea vilevile.

2) Tanzania ni nchi HURU, Watanzania tunafanya kazi zote bila uangalizi wa mtu yeyote toka kwa mabeberu, Hatuhitaji KIRANJA kutoka popote awe mwangalizi au MCHOCHEZI aseme ndio kilichofanywa au kilichosemwa kiwe na UHALALI.
KIRANJA wetu ni Rais wetu.

3) Inaudhi Sana, wasio Watanzania waisimange nchi yetu, walioko mbali waisimange nchi yetu, na walioko ndani WATUMIKE kuisimanga nchi yetu, yaani hatuoni kazi zilizofanyika tunaona tu hatuna tume huru?????.

4) NCHI YETU HATUJAWAHI KUFANYA UCHAGUZI BILA TUME HURU YA UCHAGUZI, MIJITU MINGINE ILIKUWEPO NDANI TANGU UJANA WAO HADI SASA, LEO NDIO WAONE HATUNA TUME HURU?? MLISHAISHI MAISHA YENU TANGU ASUBUHI, JIONI YENU MNATAKA KUTUHARIBIA AMANI YA NCHI YETU, VIJANA TUKO MACHO, "HATUTATUMIKA" HATUTARUHUSU TAMAA ZENU ZA MADARAKA KUVUNJA AMANI YA NCHI YETU.

WALIOWATUMA WAPENI TAARIFA kwamba TANZANIA IPO IMARA, na ina KIONGOZI wa Nchi IMARA zaidi ya JANA.

Pia soma:

Elections 2020 - Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

Wewe lazima umlambe MEKO miguu maana hadi J2 unatumia gari la serikali kuzungukia Mashamba yako Bagamoyo!!! Tumepishana leo Bagamoyo Road na Gari la Serikali W KS.
 
PHD za kununua utazijua tu
Mabeberu ni wakina nani? Yaani maneno ya kishabiki! Waziri wa sheria asiyetaka uchaguzi huru 😂. Usikotulia utafukuzwa tena kwa kujipendekeza kwa kupitiliza

Kwa hii akili mbovu ya Mwigulu a.k.a Madelu System kama Waziri wa Sheria basi Watanzania watasubiri sana kupata Tume Huru na Katiba Mpya......It's like Daddy like son(Magufuli na Mwigulu)!
 
]Nikueleze wazi Mwigulu, mwenye tamaa ya madaraka ni Magufuli pamoja na waganga njaa mnaomzunguka Kama wewe, lakini kila kitu kina mwisho, yuko wapi Nkurunzinza na tamaa zake?

Yuko wapi Mobutu na tamaa zake? Yuko wapi Omar Albashir na tamaa zake? Duniani tunapita, Mwigulu kazana sana kutenda maovu kabla hujaenda mbele za Mungu kujibu uovu wako, yaani unaanzisha mada isiyo na hekima kulazimisha watu eti "Magufuli ndo Rais hakuna mwingine "halafu mnajiita wana Demokrasia kumbe Madikteta, mpo tayari kuua watu kwa sababu ya madaraka.

Na mmejiandaa kuua watu kwa sababu ya madaraka, wewe ndo Waziri wa katiba na sheria unasema upumbavu huu. I'm convinced kifo cha Mahiga hakikuwa cha Mungu, nyie watu your day is coming up
 
Wewe lazima umlambe MEKO miguu maana hadi J2 unatumia gari la serikali kuzungukia Mashamba yako Bagamoyo!!! Tumepishana leo Bagamoyo Road na Gari la Serikali W KS.

Ile sheria ya magari ya Serikali kuwa yame Park maofisini baada ya saa za kaxi na siku za weekend jamaa kaibatilisha lini? Hebu WAPELEKE hiyo taarifa hao jamaa wa PCCB au PCCM.....!!!
 
Nakuheshimu sana Pascal ila kwa hili, nakushangaa. Hivi DED ambaye ni mteule wa Rais anaweza kutenda haki kweli ikiwa anaona jahazi la chama chake linazama?

Yaani mwanaCCM akizamishe chama chake hivihivi kweli? Hata mimi naweza kichagua kuwa royal kwa chama langu aisee! Something is wrong....
 
Back
Top Bottom