Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Kama ulijua mkuu.Utashangaa huo ufafanuzi atakaotoa ndio utakaozidisha utata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ulijua mkuu.Utashangaa huo ufafanuzi atakaotoa ndio utakaozidisha utata!
Hii cartoon in ujumbe mzito sana
Hamna alichokisema zaidi ya kutetea, na kudai kwamba bado wanaendelea kulifanyia kazi watatoa tamko siku sijazo. Mwelekeo inaonyesha kwamba serikali haiko tayari kupunguza wanaongea na kampuni za simu wapunguze taarif zao.Anasemaje?
Haishuki, mkuu wanajadiliana na makampuni ya simu washushe tozo zao za miamala.Inashuka au ndo inapanda Tena?
Crap
Wamesha nogewa! Watarekebisha kweli?Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi cha wiki nne Serikali imekusanya Sh 48.4 bilioni kutokana na tozo za miamala ya simu, na zaidi ya Sh22 bilioni zimepelekwa katika vituo vya afya zaidi ya vituo 90.
Haishuki, mkuu wanajadiliana na makampuni ya simu washushe tozo zao za miamala.
Zis iz wot am toking abaut..
Mbona anafanya uhuni, labda hawa Wanyiramba wanatuona sisi wajinga, hizo fedha za kwenye Zutu zilikuwa zinakatwa tokea kipindi cha Awamu ya tano ndio maana wakaachana na Motor Vehicle Licence.amesema kwa kipindi cha mwezi mmoja Serikali imekusanya Sh 24 bilioni, kutokana na tozo za mafuta ambazo ni mahususi kwa ajili ya kujenga barabara.
Mwigulu nchemba waziri wa Fedha na uchumi! Ukifikiria vizuri unagundua kuna shida sehemu! He does not deserve the post at all!Huyo jamaa Sio creative no one wants to listen to him