Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Watoto wake wanasoma wapi? FezaWangejua biashara ya uwakala ilovyotetereka hata wasingejinasibu kiasi ivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wake wanasoma wapi? FezaWangejua biashara ya uwakala ilovyotetereka hata wasingejinasibu kiasi ivo
Jitahidi kusoma na kuelewa..Acha ujinga, nani kasema anataka kukatwa. Tunataka kukatwa kodi halali, siyo hii y kisenge
Angekulenga na mshale kabisaHivi na yeye kipindi hiki angeambiwa akatwe tozo kama hizi za sasa hivi, angekubali kweli???View attachment 1899463
Kipanya huenda ana taarifa kidogo kuliko wewe ulizonazo.Hapa nimejifunza kitu kimoja kuwa kipanya ni mtu wa ndani anayejua mipango yote huko ndani ndio maana katuni zake zinafikirisha sana ila ziko wazi sana kutoa ujumbe sahihi.
Ona hiyo juu imetoka leo msela anasepa na maburungutu ya mapato ya serikali. Madelu kaja kuuthibitishia umma wa watanzania kuwa imekusanywa 48.4 Bilioni na wamepeleka 22Bilioni kwenye miradi hivyo 26.4Bililioni imeyeyuka ila kipanya katuonesha kuwa kuna kigogo kasepa nayo home.
Daah[emoji36][emoji36][emoji36]Watoto wake wanasoma wapi? Feza
The Tanzanian Government intends to invest around $14.2bn over the next five years to construct a 2,561km standard-gauge railway network, which will connect its Indian Ocean port of Dar es Salaam to the other regions within the country. Source : Turkey's Yapi Merkezi wins $1.92bn Tanzania railway contractMAONI YA MLIPA KODI MWANANCHI : MRADI WA RELI SGR MPYA NI UFUJAJI WA FEDHA USIOLINGANA NA MATOKEO CHANYA YA KIUCHUMI
Jina la shule tu lenyewe ni feza, $9000 kwa mwaka na wapo 6Daah[emoji36][emoji36][emoji36]
Ina maana TRA wanakusanya zinafanya nini?Mh Mwigullu ni vema ungetaja kabisa hivyo vituo ili wananchi waamini kuwa haupigi porojo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acha tuIna maana TRA wanakusanya zinafanya nini?
Nchi ya viwanda hii ndiyo viwanda vyenyewe
TozoHivi na yeye kipindi hiki angeambiwa akatwe tozo kama hizi za sasa hivi, angekubali kweli?
View attachment 1899463
MAONI YANGU:
Andika barua ya kujiuzulu, hufai kuwa Waziri Wa Fedha.
Tozo bado ipo juu mnatuumiza wananchi wanyonge. Pia hatuna hakika na nyie, wengi wenu bado mafisadi sana, mnanuka rushwa. Tunaomba jeshi lisimamie mapato yote ya tozo na miamala iwe kwe clear guysHivi na yeye kipindi hiki angeambiwa akatwe tozo kama hizi za sasa hivi, angekubali kweli?
View attachment 1899463
MAONI YANGU:
Andika barua ya kujiuzulu, hufai kuwa Waziri Wa Fedha.