Habari ndugu Mwigulu.
Wananchi wa Mbeya tunakuomba uje ufute maandishi yako uliyoweka kwenye mitaro na madaraja mbalimbali hapa Mbeya kwamba wewe ni Rais 2015.
Kutokana na jina lako kuondolewa mapema bila maelezo huko Dodoma wananchi wa Mbeya tunahitaji uje usafishe mji wetu haraka iwezekanavyo.
Nawasilisha ndugu Mwigulu Nchemba.
Sidhan kama hata ubunge atapata..
Awe mpole tu maana alifanya siasa chafu sana hapo nyuma bila kujua taswira yake mbele ya jamii inafifia japo hivi karibuni ameonesha kubadilika lakini its too late. Kama ipo ipo tu hata baada ya miaka 30. Hili ni funzo kwa vijana msikubali kutumika vibaya siku zote muwe waadirifu, wenye kujitahidi kutumia hekima na busara. Tanzania 2015 kwa mapenzi ya Mungu atatuongoza kuchagua Rais wetu.
Tanzania tunatafuta kodi kuendesha nchi na ilhali rahisi kuzipata ? Anatakiwa alipie kila toleo tuingize Rea
Tena mengine yameandikwa kwa mkaa.........akafute haraka...........
Ni nchi nzima kachafua
Hata huku tanga kunani pia..nadhani alikodi vijana kwa ajili ya hiyo kazi maalum..