Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

Huyu MTU Hana akili......wakiendelea kumpanikisha basi ujue atabutua lingine...........dokta kutoka kinondoni Biafra..............
 
Lile fisadi la 'labda mambo yaharibike saana' lilipata GPA ya 2 bachelor's degree likaishia hapo na huyu bibi wa kisiwani form IV tu alifeli. Ila leo eti wote madokta! Madelu kaona isiwe tabu
 
Kwa sababu ya Musukuma, Nchemba kamponda bosi Wake mwenye udokita wa kupewa 😂😂

Nchemba angekuwa hasumbuliwi na Musukuma angekaa kimya tu.

Nchemba kalikoroga
Waswahili mshapata kiroja cha kumfitinisha mwigulu na mama, niwaambieni tu mwigulu yupo Sana tu na Samia sio mjinga amfukuze kisa dokita musukuma, hahahaha we musukuma nenda darasani
 
Madelu naye ana ushamba mwingi huo udaktari wake wa Mchongo angesomea Havard si ndio hata watu wasingeongea naye.?
Ushamba mzigo sana Tz ina PhD holders wangapi? Yeye ana uspesho gani?
 
Huna tofauti na mtu mwwnye degree moja so bora na wa kupewa unakuwa umefanya jambo la kuonekana
 
Kwa hiyo anachosema Mwigulu ni kwamba Ph.D yake ndiyo yenye maana na siyo ile ya Heshima kama aliyopewa SSH. Sasa yeye anafanyaje kazi chini ya mtu mwenye taaluma hafifu?
 
Ningekuwa na uwezo, ningemshauri mh achukue likizo ya mwezi mzima, (si ana naibu wake! Anaweza kumsaidia). Ukifanya kazi mfululizo bila kupumzika nayo sio afya...
Ataikataa likizo, ila jamaa anatumia nguvu nyingi kujibu hoja zake hivi kweli mawaziri wa fedha uingia kwenye marumbano na wananchi mara kwa mara.
 
Hajui kuwa tunajua kuwa aliununua kwa kuwahonga maprofesa? Si rahisi kupata udakatari wa kweli kwa njia alizopitia kilaza huyu aliyegushi kuanzia sekondari hadi chuo
 
Rubbish, Mwigulu weka publications zako from your thesis na pia weka thesis yako public watu/wasomi waione na kuidadavua. Iko wapi?
 
Huyu bwege anampiga kijembe Rais Samia,ama kweli ameota mapenbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…