Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe

Pole sana mkuu...
 

...well noted Mkuu
 
....Mkuu Usiogope Mungu yupo pamoja nawe... yaweke kwa maanufa ya vizazi vyetu vijavyo!!!

.....Leo hachomoki mtu hapa...tumechoka!!!!

Mkuu roho inaniuma sana kwani nilishiriki kikao cha kukiujumu chadema nikijua namteketeza Lema na wana Chadema, ila cha ajabu nimempoteza mtoto wangu mpendwa.

Nilifanya kosa ila naapa kutorudia kosa, najua huko roho ya mwanangu ilipo inashuudia jinsi gani baba yake alivyoshirikiana na adui katika kukatisha maisha yake akiwa na umri mdogo kiasi kile. Naomba unisameee mwanangu baba yako nilifanya yote kwa sajili yako ili ule,usome,uvae vizuri kumbe ilikuwa kinyume badala yake makofi niliompigia Mwigulu kila mwisho wa sentensi yake kumbe nilikuwa nasogeza kifo karibu yako.
Nisameee mwanangu, Mwigulu naapa sitonyamaza kamwe.
 
dah , huna haya eti mnawanaga wachaga kwa kuwaita wakamba....viongozi hovyooooooooooooooo, nchi sijui ikoje hiii
 
Haya sasa, hii ni mipango na hapa waheshimiwa walikuwa wakibadilishana mawazo juu ya tukio mojawapo la Soweto, Arusha. Sina uhakika kama ni 'law of nature' lakini mmoja wa hao ndio hivyo kesha step down!
 

Pole kwa yote ila kumbuka wema hauozi
 
Ni asubuhi moja, huku kukiwa na manyunyu ukiwa unatoa morning speech katika shule ya mazengo "kwa sasa chuo st.john" ukiwa kama hp.

Speech ilijaa uzalendo sio tu na shule bali taifa kwa ujumla, nikiwa kama kijana wa kidato cha pili haikuwa rahisi kuelewa maneno kama patriotism, desire, selfishness, tafsiri yake kwasasa ipo vizuri sana.

Na hasa ukiangalia historia yako, hasa kifamilia kweli wewe wa 1999 umekua hivi. 50% ni juhudi zako 50% ni fursa ambazo watu wengine waliziweka mpaka wewe umezikuta na sasa unadhamana lakini unayo yafanya unanikumbusha mwanafunzi wa yesu yuda eskariotI.

Trust me, you will leave to regret...you couldn't do what you family, education , and opportunity wanted you to do.

"whats comes around goes around"
 
Mwigulu Mungu yupo na atatetea wary wake tu nyie kwa vile ni wanasiasa msidhani ndo mmebeba kIla kitu. Bora mseme ukweli kuweni na siasa zenu Ila uzalendo ni wa muhimu sana.
 
Mwigulu Mungu yupo na atatetea watu wake tu nyie kwa vile ni wanasiasa msidhani ndo mmebeba kIla kitu. Bora mseme ukweli kuweni na siasa zenu Ila uzalendo ni wa muhimu sana.
 
Tanzania tumejaliwa kuwa na wasanii katika kila fani ikiwemo siasa!
 

Lakini hakuna kesi iso na mwenyewe, tupe wasifu wa elimuyo
 
Kuna wakati Najiuliza,Hivi wewe Mwigulu uko kwa ajili ya Waliokuchagua au uko kwa ajili ya Maslai Binafc,au kwa ajili ya Chama!?
Cjawahi kukusikia Bungeni ukitoa Mada igusayo jamii zaifi.ya Kuuponda na Kuusakama Upinzani,kiasi nashindwa kukuelewa,Unadhani nilipigwa na jua ili uende Kupambana na CDM?
 
Asante kwa kukiri kuwa uliwasiliana na nchimbi na zitto kabla hujazaliwa.
 
Mwigulu ana kuja na hoja za kichekechea, JF ina watu werevu, Ben amejipambanuwa vizuri na ww umezidi kujivuwa nguo, ni dhahiri hila zako tumezitambuwa..
polen wote milio patwa na dhuruba bale SOWETO.
r.i.p dr Mvungi.
 


اللّهـمَّ أَنْتَ رَبِّـي لا إلهَ إلاّ أَنْتَ ، خَلَقْتَنـي وَأَنا عَبْـدُك ، وَأَنا عَلـى عَهْـدِكَ وَوَعْـدِكَ ما اسْتَـطَعْـت ، أَعـوذُبِكَ مِنْ شَـرِّ ما صَنَـعْت ، أَبـوءُ لَـكَ بِنِعْـمَتِـكَ عَلَـيَّ وَأَبـوءُ بِذَنْـبي فَاغْفـِرْ لي فَإِنَّـهُ لا يَغْـفِرُ الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْتَ .
‘Allaahumma Anta Rabiiy laa Ilaaha illa Anta Khalaqtaniy wa ana ‘Abduka wa ana ‘alaa ‘Ahdika wa Wa'dika mastatwa'tu, A'uudhu Bika min sharri maa Swana'tu, abu-u Laka Bini'matika ‘alayya wa abu-u bidhanbiy, Faghfir-liy fainnahu laa yaghfirudh-dhunuuba illa Anta'
Ee Allaah! Wewe ni Mola wangu, hapana mola Apasaye kuabudiwa kwa haki ila Wewe, Umeniumba mimi na mimi ni mja Wako, nami niko juu ya ahadi Yako, na agano Lako, kiasi cha uwezo wangu, najilinda Kwako kutokana na shari ya nilichokifanya, nakiri Kwako kwa Kunineemesha, na nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba Unisamehe kwani hasamehe madhambi ila Wewe"


اللّهُـمَّ إِنِّـي ظَلَـمْتُ نَفْسـي ظُلْمـاً كَثـيراً وَلا يَغْـفِرُ الذُّنـوبَ إِلاّ أَنْت ، فَاغْـفِر لي مَغْـفِرَةً مِنْ عِنْـدِك وَارْحَمْـني، إِنَّكَ أَنْتَ الغَـفورُ الرَّحـيم
Allaahuuma inniy dhwalamtu nafsiy dhwulman-kathiyran wa laa yaghfirudh-dhunuuba illa Anta. Faghfir-liy maghfiratam-min ‘Indika War-Hamniy, Innaka Antal-Ghafuurur-Rahiym.
‘Ee Allaah hakika mimi nimejidhulumu nafsi yangu, dhulma kubwa, na hasamehe madhambi ila Wewe, basi nisamehe msamaha kutoka Kwako, na Unirehemu, hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.
 

sad indeed...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…