Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti na Janja ya CCECC

Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo! Bajeti na Janja ya CCECC

Kama hiyo taarifa haina ukweli, si angejitokeza hadharani kutolea ufafanuzi! Tena kwa mbwembwe, kejeli na dharau nyingi? Ukiona amekaa kimya, basi ujue kuna ukweli.
 
Tukubali kwamba tuna bahati mbaya sana!! Hizi ni nzchi ambazo rais ni mwizi, anaingiza watendaji wezi, n.k. Tangu Samia aingie madarakani hakuna hatua yoyote kali iliyochukuliwa kwa wezi kama huyu waziri. Tangu wale m,aafisa wa Hazina waliopiga mamilioni kwa siku moja na kufokewa na PM, hakuna lolote!!

Mwigulu wakati wa Magufuli hakuwa na lolote la maana. Kila wizara aliyowekwa hakuonesha ufahamu wowote wa nchi. Eti leo hii ni waziri wa fedha!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo!

Bajeti kuu ya serikali, hotuba yako, ukurasa wa 44, unasema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni (Sh4.89 trillioni). Wakati tunajua umewapa kandarasi CCECC....
Duh...!.
P
 
Back
Top Bottom