whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Unatumia nguvu kuwaonyesha watu kuwa una nguvuana demostrate power, siyo ulimbukeni wala ushamba bali ni power aliyonayo, huyo wa uingereza ni waziri tu wa fedha can be fired muda wowote, mwigulu hufukuziki ni mhimili unaojitegemea …
Kwa hio Billion 15 USD ni zaidi ya Billion 1200 USD, kuna yule Mmarekani aliwachana akasema Hawa viongozi wa Africa wanatumia Pesa kula Bata sio kuwasaidia Wananchiana demostrate power, siyo ulimbukeni wala ushamba bali ni power aliyonayo, huyo wa uingereza ni waziri tu wa fedha can be fired muda wowote, mwigulu hufukuziki ni mhimili unaojitegemea …
Wanaboa hadi wanakeraa, [emoji53][emoji53]Viongozi wa Tanzania ni mashetani ktkt kivuli cha wanadamu
Hatuna jema.Hata angetembea kwa magoti barabara yote,bado angeambiwa anaigiza tu.Tutaacha yaliyomo kwenye bajeti tuanze kujadili uzungukaji wa matairi ya gari la waziri yanavyojizungusha kwa madaha.Unatumia nguvu kuwaonyesha watu kuwa una nguvu
Ndo msafara uwe mkubwa vile? Kwan angekuwa yeye na gari yake tyuuh, hiyo Bajeti isingefika bungeni na kusomwa?Dah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Tuachane na habari za idadi ya magari.Bajeti ikoje?Inaendana na uhalisia wa maisha?Inatimizika?Inatupeleka hatua za amani na imani mbele?Ndo msafara uwe mkubwa vile? Kwan angekuwa yeye na gari yake tyuuh, hiyo Bajeti isingefika bungeni na kusomwa?
Khaaaah
Sasa hayo unayosema kuhusu bajeti, na jinsi anavyofanya yeye Madelu ndo anazidii kuudhi raia na wanachi.Tuachane na habari za idadi ya magari.Bajeti ikoje?Inaendana na uhalisia wa maisha?Inatimizika?Inatupeleka hatua za amani na imani mbele?
Kumbe hasira si kwenye magari.Ni bajeti.Sasa hayo unayosema kuhusu bajeti, na jinsi anavyofanya yeye Madelu ndo anazidii kuudhi raia na wanachi.
Hebu soma vizuri,Kumbe hasira si kwenye magari.Ni bajeti.
Nimesoma.Kama ni gari/magari,viongozi huyatumia kila leo.Iweje iwe nongwa siku ya bajeti yakitumiwa?Kuna zaidi ya kutumia magari hayo.Si bure.Hebu soma vizuri,
Dah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Kama wahrnga walivyosema, hakika Mwigulu, baada ya kupata, matko yanalia mbwata.Yap sisi ni malimbukeni na washamba
Waliomsindikiza kwa mbwembwe ni wa kulaumiwa.Mwigulu amedhihirisha ni punguani. Hivi angepanda tu gari yake na kuelekea Bungeni, alikuwa anapungukiwa nini. Sasa kuandaa msafara na ving'ora ilikuwa kwaajili ya nini.
Hawa majambazi wa kupora majina ya watu, wote tabia zao ni za ajabu ajabu!! Mwigulu, Makonda, Kigwangala - wote ni watu wa kupenda sifa za kijinga.
Kwa hiyo unataka kutuaminisha huyo Waziri ametoka nyumbani kwake kwa mguu au hapo anaingia kwenye jengo la bunge?
Hatuna jema.Hata angetembea kwa magoti barabara yote,bado angeambiwa anaigiza tu.Tutaacha yaliyomo kwenye bajeti tuanze kujadili uzungukaji wa matairi ya gari la waziri yanavyojizungusha kwa madaha.
Tuichambue kwanza tuone ipoje.Siku njema huanza asubuhi. Kwa ujinga ule alioufanya Mwigulu, tangu kutokea nyumvani kwake, hakuna la maana litakalokuwemo kwenye bajeti hiyo.
Tuachane na habari za idadi ya magari.Bajeti ikoje?Inaendana na uhalisia wa maisha?Inatimizika?Inatupeleka hatua za amani na imani mbele?