Yes, ki briefcase cha Jeremy Hunt kina sehemu ya msaada kwa TanzaniaWakati huo bajeti ya UK mkoba wa jerremy hunt una hela ya msaada kwa tanzania (mwiguluchembayamavi) aliyepanda gari ya milioni 600
Kulikua na umuhimu gani wa kutumia msafara mkubwa hivyo?Nimesoma.Kama ni gari/magari,viongozi huyatumia kila leo.Iweje iwe nongwa siku ya bajeti yakitumiwa?Kuna zaidi ya kutumia magari hayo.Si bure.
Usifananishe ushuzi na manukato.Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
nahisi mtoa mada anamaanisha kulikua na haja gani ya kuwa na msafara!angepanda gari lake mwenyewe tu kama siku zote anavyokuja bungeni kungekua na shida gani??why misafara ya magari mengi??huoni kama ni uharibifu wa hela usio na ulazima!!Dah!Kwa hiyo Mwigulu alitakiwa atembee kwa miguu kutoka wizarani hadi bungeni?Vitu vingine ni vidogo sana.Hasira zetu za maisha magumu tusimuhamishie jamaa.
Kazi kweli kweli...Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
WAPINZANI hawafai, watatufanya tujitegemee wakati kuna fedha nyingi tu za mabeberu tunakopeshwa na pia tuna mali nyingi za kuuza kwa wazungu na tukapata fedha.Alafu maderu alivyo kua mpumbavu na mkosa akili jana anasema eti wapinzani hawafai kabisa kana kwamba yeye anayofanya yanafaa zezeta kabisa lile
Wakati mwingine lazima ufikiri nje ya box. Mambo kama haya yaweza tokea huku Africa si UlayaMwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
UK ni kisiwa kama ilivyo Zanzibar, watakosaje bahari?UK hawana mbunga za wanyama, bahari, mito, madini, ardhi na mifugo lakini ni matajiri wa kutupwa sisi tuna viongozi wajinga haswa
Walikuwa na wao wanataka wauze sura tu.nahisi mtoa mada anamaanisha kulikua na haja gani ya kuwa na msafara!angepanda gari lake mwenyewe tu kama siku zote anavyokuja bungeni kungekua na shida gani??why misafara ya magari mengi??huoni kama ni uharibifu wa hela usio na ulazima!!
Ni ushamba wao kutaka kuuza sura tu.Mshamba hachekwi.Kulikua na umuhimu gani wa kutumia msafara mkubwa hivyo?
Halafu upande mwingine Kiongozi wa Upinzani anayejivunia familia yake kuishi Ulaya anachangiwa na wananchi walalahoi anunue gari! Ujinga mtupu.Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024.
Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024.
Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga.
View attachment 3016883
LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
Nishaipata email yake ya bungeni, nimemwomba afute huo msaada kwenye bajeti yake, ujumbe umefika.Wakati huo bajeti ya UK mkoba wa jerremy hunt una hela ya msaada kwa tanzania (mwiguluchembayamavi) aliyepanda gari ya milioni 600
Watalaumiwaje wakati ye ndio kawaamuru, hapo Madelu katumia pawa yake kuonesha mamlaka aliyonayo!Waliomsindikiza kwa mbwembwe ni wa kulaumiwa.
NB;Bajeti hakuandaa Mwigulu peke yake.Iliandaa ofisi/wizara zote.Wapunguze mbwembwe na madoido yasiyo na tija.
Kwani huyo jiwe alikuwa anasafiri/kutembea na misafara ya magari mangapi?Watalaumiwaje wakati ye ndio kawaamuru, hapo Madelu katumia pawa yake kuonesha mamlaka aliyonayo!
Jiwe pamoja na mapungufu yake asingeruhusu huu upuuzi, Waziri wa Fedha anapaswa kuwa kielelezo cha ubanaji matumizi yasio ya lazima serikalini...migari yenyewe inakunywa mafuta mengi!.