Hii tozo ya mshikamano naona ikienda kuagiza mabasi mapya ya mchumi daraja la kwanza........wale wenye connection andaeni sandarusi siku ya mgao itakapofika.Yeye kwa sababu anamiliki kampuni za mabus kwa siku uhakika wa kupata upo hivyo ufikiri KILA mtza anamiliki mabus pesa sio tatizo.
Tz viongozi wengi wa umma walipata unyafuzi ktk makuzi yaoWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Basi endelea kudemka! Mama anaupiga mwingiKuruhusu Wawekezeji..halafu sikiliza usinichonganishe na Mama.
Nasema tena usinichonganishe na Samia Suluhu.Basi endelea kudemka! Mama anaupiga mwingi
Mi 10 tena kwa mama! Maana anaupiga mwingi! Au nasema uongo ndugu yangu?Nasema tena usinichonganishe na Samia Suluhu.
Mwigulu ana upungufu kichwani+roho mbayaWaziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema wananchi wasiwaze kuhusu gharama za miamala ya simu kwa kuwa mzunguko wa fedha utaongezeka
Akiongea katika kipindi cha Aridhio, TBC amesema gharama za miamala hazina maana kwa kuwa watakuwa wanapata fedha zaidi katika kipindi hichi
Amesema serikali imejipanga kulipa madeni ili wananchi wawe na fedha
Mkuu sisi watanzani ni wapumbavu+,siyo wapoleHawa watu wamelewa madaraka na wamebaki kukebehi watu. Wanaona kila mtu asiyekuwa kiongozi ni mjinga na unaweza kumdanganya kadiri unavyotaka. Kwa nini wasisubiri kwanza wananchi wapate hizo fedha ili waanze makato? Upole na woga wa watanzania umefanya viongozi wafanye wanavyotaka!
Mnafikiri kwa kutumia nini mkuu?Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo
MATAGA na Sukuma Gang wanakomeshwa🤣🤣🤣Hiyo dharau.
Na wewe acha utahira, deni nilipwe Mimi hela ihamie kwako!!Mkuu kwani si mlikuwa mnasema mama anafungua nchi na kurudisha hela mtaani ili muwe mnaziokota?
Sasa kwanini unapinga mawazo ya mwigulu?
Kuna watu mna akili sijui ziko makalioni?!! Sasa jitu kama wewe hapa umeongea nini?MATAGA na Sukuma Gang wanakomeshwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama anapiga mwingi sana!Na wewe acha utahira, deni nilipwe Mimi hela ihamie kwako!!
Tungeanza na kujadili kwanza kama tunaridhika na matumizi ya pesa zilizopo kwanza, na kama haturidhiki, basi wapi tupunguze matumizi yasiyo na ulazima, hatuwezi lalamika kuwa hatuna pesa ya kutosha, na tukawa na matumizi yanayoongezeka kila siku? Nadhani tuanzie hapo.Ila watanzania pia tujaribu kushauri ..je ingefanyika kitu gani ili serikali ipate fedha za kugharimia vitu kama barabara za lami vijijini..shuke zilizobireka vijijin..na kutoa ahira za walimu na watu wa afya..Naomba tutoe mawazo