Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuitwa na TRA hiyo kawaida tuTaarifa nyingine inasema alipigiwa simu na wakala wake kuja kukagua mzigo wake uliomo kwenye Contena baada ya maafisa wa Tra kuona vitu suspicious!!
Inawezekana ikawa ajali.....Mkewe si alienda huko mochwari hakumkuta, wamekaa nae wameona ataoza bora wamtoe. Sisi siyo watoto kutugeuza geuza kwa uongo wenu.
Kuna zombie litasema kifo ni kifo tu!Inasikitisha sana
Kutekana na kupotezana imekuwa jambo la kawaida kama taifa inabidi tujitafakari ni nani yupo nyuma ya hivi vitendo vya kishetani na mwisho wake utakuwa lini
Nilichowaza kimetokeaWatasema alipata ajali ya pikipiki akaletwa hapo na hiyo pikipiki yenyewe😀
KamdomoHata wanywaji wa k vant ukiwastua wanastuka, huyu ni kama kapigwa nusu kaputi
Vipi?[emoji848][emoji848][emoji848]
WATUAMBIE HILO ROLI ALILOGONGANA NALO NI NAMBA GANI?
Haya sasa kumbe jamaa mwenyewe ni polisiKauwawa na Polisi kwa kushirikiana na TRA
Inasikitisha sana
Yaan aisee Tanzania sio salama tena