Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 1,059
- 3,504
usikute uyu ndio suzana mwenyew aliekua akiimbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona una Amani?Si msemaji wao na ninaongea nnachokijua, huwezi kuwa na amani wakati uko tofauti na wengine.
Ingekuwa ulaya huko sawa ila kibongo bongo amini nakwambia hao watu hawana amani.
Hii inatokea kwa wale wanaume wanaozichakata mbususu sana mwsho wa siku anaziona za kawaida,anaamua kutafuta utamu mwingine zaidYaani inakuaje Mwanaume unampenda mwanaume mwenzio asee, na unapata hisia za kusimamisha dyudyu mbele yake😡😡😡
Ndio nina amaniWewe mbona una Amani?
Pamoja na kuwa member, amani Tele sio?Ndio nina amani
Unanikosea adabu mkuu tafadhali sana tuheshimiane.Pamoja na kuwa member, amani Tele sio?
Ni hatua muhimu na bora sana kuishi ndani ya uhalisia wake.
Hongera sana chimao, piga kelele kwa chimao wake,weuweeeeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee[emoji15]
Ooh sorry. Pole Sana. Sio langu kukukosea adabu. By the way humu ni kufurahisha Baraza tu. Suala la kutoa nnya ni suala binafsiUnanikosea adabu mkuu tafadhali sana tuheshimiane.
Kuchangia hapa na kueleza nnachokijua haimaanishi mimi ni member
Yap ni binafsi mkuu, ndo maana sijapondea mtu. Pamoja sanaOoh sorry. Pole Sana. Sio langu kukukosea adabu. By the way humu ni kufurahisha Baraza tu. Suala la kutoa nnya ni suala binafsi
Sasa Hivi Anavaa Pon Pon Kuzuia Kubwa IsimwagikeMaskini mwendo ndio ameshaumaliza
Hivi hilo neno 'Koo' una maanisha nini?sijaelewaKoo huyu jamaa mwenye jinsia ya kiume anainamishwa daah noma sana.
Ni msiba mzito[emoji24]!Kwakweli uamuzi wa kijana wetu umezua maswali mengi
Haha Ka jinga flani hivi....Sasa ukipiga ban nyimbo zao inapunguza nini ? Nyimbo zenyewe unaiba una download bure. Show zao uhudhurii hela hunaa. Sasa una Faida gani kwao we piga ban tu utulieNapiga ban nyimbo za sauti sol kwanzia Leo hii, pumbaf kabisa hawa jamaa
Porojoo tu hizoo Kama porojo nyingineSasa Hivi Anavaa Pon Pon Kuzuia Kubwa Isimwagike
Laanakhum
Usilete ujuaji mwingi kumbe mtu mwenyewe ni empty box...Yaani mtu kwa starehe na amani zake mwenyewe alafu unaumia weweMwanaume anaonekana mbavu ndevu zimemjaa usoni lakini anathubutu kutoka hadharani tena kwenye media kukiri kwamba anausikilizia mpini [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]!!!
Siyo poa kabisa yani wanatudhalilisha sana wanaume hawa watu so called mashoga!sijui haya maji yana chemical gani maana mtu anaondokewa na ule ufahamu hata wa mambo ya kawaida kabisa.
Nahc n kweli kabsa Tena yule Tall naye nahc n bwabwa.Kuna sehem nliwah kuona km saut sol wote mapunga asee