Mwisho wa Kariakoo huu hapa: Serikali yapitisha gulio la Wachina Kurasini

Mwisho wa Kariakoo huu hapa: Serikali yapitisha gulio la Wachina Kurasini

Hawa wapuuz huko serikalini huwa hivyo vichwa vimejaa usaha ,
Dunia hii ya leo kila nchi ina linda maslahi ya kiuchumi kwa mzawa kwanza ,nchi hii ya wapumbavu wapuuz wanakuja wanauza vyombo kama mamachinga ,wanafanya biashara ambazo zilitakiwa kuwa reserved Kwa wazawa ukizingatia uchumi ulivyo mdogo na wafanyabishara wazawa ni wadogo na wasio na mitaji mikubwa ,una create unequal playing field ,unaua prospect za wafanyabiashara wadogo wa ndani kukua kibiashara na kutengeneza mafukara ambao at the end of the day ni burden Kwa nchi .

Mtu mweusi hana akili ,watu wanaokuja kuwekeza humu Tanzania waje kama investors in real tangible assets kama viwanda ambazo zina create ajira na fursa kwa wazawa moja kwa moja na si hizo za kushindana kuipmort fake ass Chinese products ambazo kwanza zinaua maendeleo ya viwanda vya ndani na pia zina create harmful competition Kwa wafanyabiashara wazawa wa ndani .
Kama wanataka kupanua wigo wa soko na kuifanya Dar kuwa soko kubwa la bidhaa kwa nchi za Afrika mashariki na kati ,hilo lingeweza kufanyika kirahisi tu kwa serikali kutoa mikopo au kupunguza kodi kwa wafanyabishara wazawa hasa ambao wamekuwa kwenye biashara hizo kwa muda mrefu ili waweze kutanua biashara zao na kuwavutia wanunuzi toka nchi jirani kuja zaidi na hivyo kuvuna zaidi kwa kodi kutokana na wanunuzi kuongezeka hapa na hata biashara ndogo ndogo za ndani kama guest houses na hotels kuchangamka kutokana na ongezeko la wageni toka nchi jirani kununua bidhaa hapa kwetu ,

Mimi sijasoma hata masuala ya uchumi ila naweza tu kutumia common sense na kuona vitu kwa mapana yake ,hao wapumbavu humo serikalini sijui huwa wanafanya nini .
Mzawa tapeli unamlinda Kwa maslahi ya nani na Kodi anakwepa?
 
We ndiyo mjinga serikali ina akili biashara ushindani. Hakuna wafanyabiashara wezi km wa kariakoo, wanaibia serikali wanaibia wateja. Huwezi jua bei halali hata siku moja wame-collude hakuna ushindani. Halafu wamejaa wachaga wanabebana na wana siri kubwa sana. Tena serikali if any haraka
Mbumbumbu kama huyo kesho atakuja tena ooh tusijenge Sgr itaua biashara ya malori na mabasi
 
Ni kweli,Ila upande wa kulipa Kodi mchina nae hajambo kwa kukwepa. Maana hata sasa wale wachina wa kkoo bado wanakwepa Sana Kodi.
Akili ya kukwepa kodi huwa haina tabaka, hata mzungu ukizubaa tu unapigwa, toka dhana ya mfanyabiashara duniani ni kupata faida kubwa kadri iwezekanavyo toka zamani nyakati za yesu, wakwepa kodi walikuwepo!
 
Tuache mihemko, Duniani kote kwenye nchi zilizoendelea magulio yapo kila kitongoji.

Tusikariri maisha kwamba lazima watu wote wajazane Kkoo..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Shida sio uwepo wa magulio , shida ni nani anafanya hayo magulio na mikataba ipi
Wachina ni watu wa shortcuts sana na wezi plus roho mbaya , na michezo michafu mingi wanaijua na kuifanya ,
 
Sisi wananchi tunachotaka ni bidhaa kwa bei ya chini nyie madalali mtajijua dunia ni soko huria ,kariakoo walijaa Wachagga wezi wezi tu kuibia WATU wasiojua bei acha wachina wawavunde tena serikali iwahi haraka

USSR
Nyani hushangilia kifo cha mwenye shamba ,wakiamini kuwa watakuwa huru kutafuna mahindi bila bugdha , wasichojua kuwa mwaka unaofuata hakuna wa kulilima hilo shamba.
Kuna siku tutakuja kuona umuhimu wa hawa wafanyabiashara wa ndani , mchina hana la maana analotaka kutunufaisha zaidi ya kujichukulia pesa.
 
Na hafahamu nini maana ya biashara.
😂😂😂 Aseee na analalamika KWA kujiamini kabisa kiatu icho icho anaagiza china mpaka anakivaa KWA elfu30 kuna watu wengine tuache tu kuwajibu huenda yupo igunga anahadithiwa basi akalibeba hivo hivo
 
Ulinde raia matapeli Kwa maslahi ya nani? Kwani wachina wanakuja Bure? Wataingiza pesa nyingi kuliko viduka vyenu hivyo,tafuteni kazi za kufanya mapema
Viongozi wanatokana na jamii wanayoishi.

Kuwaita raia matapeli ni kuwakosea.

Raia kuwa matapeli ni kushindwa kwa majukumu ya msingi ya Serikali.

Ukiona utapeli unazidi basi jua serikali imefeli pakubwa.

Raia matapeli viongozi nao watakua matapeli tu.
 
Maisha ni ushindani na sio kubebwa.
Maisha sio mazoea thus ukipata usiweke kituo ongeza vyanzo vingine.
Waache wauze
 
Hao wachina wasijae kariakoo tu waruhusiwe wajenge masoko yao KILA mkoa Ili tupate bidhaa bei chini.
Hata hizo bidhaa za kariakoo zimetoka China
 
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.

Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakuwa na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.

Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.
tatizo watanzania tunapenda urahisi sana, kama wachina hawana ujanja ujanja katika kulipa kodi wapewe. Hamna haja ya kumwacha mtanzania asiyelipa kodi kariakoo
 
Imepitishwa lini?

Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania ilipinga hili
Waambie biashara ni upinzani,pili hata wachina wajae nchi nzima,hawatokosa kuuza kila mmoja na riziki zake
 
Tuache mihemko, Duniani kote kwenye nchi zilizoendelea magulio yapo kila kitongoji.

Tusikariri maisha kwamba lazima watu wote wajazane Kkoo..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app


Nchi nyingi Duniani kuna China Town masoko ya Wachina na local Markets Masoko ya wazawa

Hakuna cha kushangaza hapo ni vitu vipo Duniani
 
Wanaibia wanunuzi na serikali kwa ujumla kwa tamaa ya faida kubwa isiyoendana na huduma (bidhaa). Mfano kiatu anauza 50,000 apate faida ya 15,000 nje ya kodi. Kiatu hichohicho nikiagiza China kinagharimu 30,000 kila kitu hadi nakivaa
China hakuna kiatu cha elf 30 ni 15 kushuka chini
 
Kati ya vitu vya kijinga serikali inaenda kufanya kwa watu wake ni kuua soko la Kariakoo kwa kuruhusu gulio la Wachina Kurasini ili wauze bidhaa zao bila kodi na kodi ikusanywe pale tu bidhaa inapotoka.

Hizi akili itakuwa kazitoa Mwigulu lakini ikitokea hili limefanikiwa basi Kariakoo haitakuwa na watu tena. Wachina tunawajua wanauza mpaka miwa wale na bei yao hutaweza kushindana nao kwa sababu wanapewa backup kubwa na Serikali yao.

Tuwe tunafikiria kwa kutumia kichwa.

Hacha ushamba wewe sio kila kitu mnapinga pinga na kupiga kelele Tembelea Nchi zilizoendelea ukaone China Town
 
Back
Top Bottom