Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wewe bwege na fedhuli hebu weka picha na majina ya ndugu zako waliouliwa.
Wakwepa kodi kukdhibitiwa ilikuwa kosa? Huna akili umebaki kuendekeza chuki tu
Acha kupanick, kundi lenu la watu wasiojulikana litakaa wazi tu. Mtajua Mungu hataniwi. Sidhani kama mlijaanda Magu kufariki,na haya yaliyomkuta Ndugai sasa. Mlifanya unyama wa wazi na tumesema sana. Haya yanatokea lazima yataing'oa hadi ccm na unyama wenu wote utakaa hadharani. Soma alama za nyakati.