Wewe bwege na fedhuli hebu weka picha na majina ya ndugu zako waliouliwa.
Wakwepa kodi kukdhibitiwa ilikuwa kosa? Huna akili umebaki kuendekeza chuki tu
Sounds like stupidity.Acha kupanick, kundi lenu la watu wasiojulikana litakaa wazi tu. Mtajua Mungu hataniwi. Sidhani kama mlijaanda Magu kufariki,na haya yaliyomkuta Ndugai sasa. Mlifanya unyama wa wazi na tumesema sana. Haya yanatokea lazima yataing'oa hadi ccm na unyama wenu wote utakaa hadharani. Soma alama za nyakati.
Mkuu agiza chochote ulipo nitalipa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[/QUOTE
Kwa shutuma alizotoa bila ushahidi lazima ataagiza bangi.
Tulia Mzee Mwanakijiji mwache Mungu asafishe hii laana ya Sukuma Gang. Hawa walifanya state capture mpaka wakawa wanajijengea Airport vijijini kwao na kukatisha haki za kuishi za watanzania wengine.Duh sasa mwenzetu unashikiri vikao vya mbinguni? Nani amehakikishiwa yaliyo nbele yake? Huwezi kujua hata wanaotakasa wenzao na wao wanaweza kujikuta wanatakaswa...na wanaoshangilia nao wakatakaswa...
Acha kuwa mtu unayeishi kwa hearsay na hisia.
Wasamehe Mkuuu, ukiona mtu yeyote anafurahia anguko la mwenzake au kuharibikiwa mwenzake jua kuwa huyo anasumbuliwa na Ufukara na UCHAWI na kama siyo mchawi basi amekosa vitendea kazi kaa naye mbali ni shetani. Vitabu Vitakatifu vimeatuasa kutakiana heri, kusameheana na Amri kuu iwe Upendo baina yetu!Acha kuwa mtu unayeishi kwa hearsay na hisia.
Hizo enzi zimepita .Huu upuuzi wako utakusaidia nini wewe pimbi? Ingia mitaani ueleze huu upuuzi wako uone
Anzory GwandaWewe bwege na fedhuli hebu weka picha na majina ya ndugu zako waliouliwa.
Wakwepa kodi kukdhibitiwa ilikuwa kosa? Huna akili umebaki kuendekeza chuki tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugai kimemkuta kipi?Acha kupanick, kundi lenu la watu wasiojulikana litakaa wazi tu. Mtajua Mungu hataniwi. Sidhani kama mlijaanda Magu kufariki,na haya yaliyomkuta Ndugai sasa. Mlifanya unyama wa wazi na tumesema sana. Haya yanatokea lazima yataing'oa hadi ccm na unyama wenu wote utakaa hadharani. Soma alama za nyakati.
Kwani unaona hiyo adhabu ni ndogo? Mtu ambaye wakati Magufuli anakufa, inner circle ya Mwendazake ilikuwa ina conspire kuwa Samia asipewe kama Katiba inavyotaka Rais akifa. Instead aseme siwezi halafu Ndugai kama Spika ndiyo achukue kwa kipindi cha transition.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugai kimemkuta kipi?
Kukosa kiti cha uspika?
Hiyo ndio adhabu mnayosema?
Mnachekesha
Mungu ana njia nyingi sana za kufikia kile alichokikusudia sio lazima atumie njia hiyo unayoijua wewe!!!hata kama ameamua kuiondoa ccm madarakani hawezi akafanya kesho mkute mi Ccm yote ni machizi!!au yamekufa!!!Mungu sio mjinga aisafishe Tanzania kwa kuiacha CCM madarakani. Mungu huwa haifanyi kazi yake nusu, kazi yake ni timilifu, kama vile alivyowakomboa wana wa Israel toka utumwani.
Ila marehemu alkuwa anawapenda sana Bashite na Sabaya. OverWewe bwege na fedhuli hebu weka picha na majina ya ndugu zako waliouliwa.
Wakwepa kodi kukdhibitiwa ilikuwa kosa? Huna akili umebaki kuendekeza chuki tu
Hilo siyo shida mimi kufa nitakufa ikifika siku yangu lakini Sina roho zinazonidai kama Magufuli. Imagine jamaa limeiba uchaguzi white wa Serikali za Mitaa na uchaguzi Mkuu white wa 2020. Na alitaka Bunge aliloweka wabunge wake limfanye Rais wa maisha.Duh sasa mwenzetu unashikiri vikao vya mbinguni? Nani amehakikishiwa yaliyo nbele yake? Huwezi kujua hata wanaotakasa wenzao na wao wanaweza kujikuta wanatakaswa...na wanaoshangilia nao wakatakaswa...
Huo siyo unafikj bali ndiyo kuwa objective. Unakosoa inapostahili bila kuangalia ushabikiKwa unafiki na chuki uliyonayo hata Lissu akichukua nchi utamnanga tu
Kwani sisi hatuishi mitaani?Huu upuuzi wako utakusaidia nini wewe pimbi? Ingia mitaani ueleze huu upuuzi wako uone
Kwani kuna mwenye akili kwenye hilo gang?Wewe Nyankurungu2020 ina maana ulikuwa unaishi nje ya Tanzania? Mauaji ya Ben Saanane na Azory Gwanda unadhani ni nani alifanya?
Unajitoa akili kwamba hujui kuwa Magufuli ndiye aliyeagiza Tundu Lissu auliwe na kikosi cha WASIOJULIKANA cha Makonda?
Mnaumbuka mmoja mmoja, bado zamu yako Sukuma Gang asiye na akili