Asante sana b..., kwa kunipa hicho cheo. Kweli umenifanya nijione wa thamani zaidi kuliko nilivyodhani.Mbona mmecharuka hivi jamani? Huu mwaka kila mtu ana uzi wake...
Haya basi, Mdakuzi
Sifa zake ana akili nyingi sanaaaa, anajua mengi sana. Ni kampani kubwa kwangu ππ
Cheo utachagua mwenyewe b...
Leeyay49 na huyo rara ree wanaongoza kwa kumwaga like [emoji16],[emoji109][emoji109]
Unaweza kudhani anakutaka kumbe ni mtu wa ku show love tu JoanahKuna huyu joanah, ananipaka sana likes na kurepy qoutes zangu..
Nina zawadi yake ya kuku wa kienyeji akihitaji.
unaweza kumkubali mtu ambaye humpendi?Unampendaje dume mwenzio. Labda sema kumkubali.
Kuna wengine ukiwapa sifa tu wanaanza kukutukana na kukuumbua mpaka unajuta kumsifia, anakujibu umemsifia kinafiki
Habari wanajamvi?
Tukiwa tumebakiza siku takribani 15 kupindua mwaka, kuongeza thamani ya upendo miongoni mwa member JF.
Taja memba yoyote unayempenda mpe na sifa yake na cheo
Mimi naanza hapaπ
DR Mambo Jambo
Huyu mkuu namuheshimu sana kwa mabandiko yake ya DINI, ananifundisha vitu vingi sana ila posti zake za udaktari nazirudiaga mara 10 10, sio uislamu wala ukristo.
Nampa 5star kwenye masuala ya DINI.
Kiranga
Huyu jamaa namkubali sana kuanzia kupanga hoja na kupangua hoja, kila punch anayorusha inafika.
Maarifa anayomwaga nampa 5star masuala ya Logic (mantiki)
Ritz
Huyu jamaa namkubali sana kwenye kuleta taarifa za hamas masaa 24 hata kama aljazeera haijapata taarifa yeye anayo
Ni msemaji wa hamas ukanda wa afrika mashariki.
Robert Heriel Mtibeli
Taikon wa fasihi huwa anagusa nyanja zote, ananifurahisha sana nyuzi zake, inabidi utulize akili kuzisoma. Huyu ni Taikoni wa fasihi hapa nampa nyota5
Twende kazi( kumbuka hii ni kwa ajili ya ku appreciate na funny)πweka list nyingine chini hapa.
natakiwa nihakikishe je hajaoa? hana mpenzi hapa jukwaaani kablaa nifunguke
Sawasawa.. imeisha hiyoLeeyay49 na huyo rara ree wanaongoza kwa kumwaga like [emoji16],
Ukiwa tayari nikutoe dinner ule na unywe chochote unachotaka.
Thd yako inaruhusu kuwataja na memba wapumbavu wasiokua na akili timamu,wenye comment za kijinga jinga?
unanihakikishia usalama wangu πSisi waafrika ni ruhusa kuoa wake hata mia moja.
Nitaje tuu
Umetutukunana au?Msipo ni tag mim... wote makumazani....
Wala siyo mawazo yangu na sijawahi kuwaza hilo, na haitakuja kutokea nikawaza kuhusu hilo πUnaweza kudhani anakutaka kumbe ni mtu wa ku show love tu Joanah
Jojo.Mie nakupendaga sis
Najua unajua hata nisipokomenti
Mtibeli. Ndugu Robert heriet Mungu ampe nguvu zote. Nampa nyota π―π―π―π―π―