PointPwente ni nini mkuu?
Nimemuuliza unaweza kumkubali mtu ambaye humpendi? AjanijibuPoint
Mwamba ametutenga sana,alikua anafanya nicheke Kila nikisoma pigo zake.Kapoteza sana jukwa
kapotea sana jukwaani ,anapenda totoz na mada zake zote zinanifanyaga kutabasamu
Zero IQ
Mm ndo ninayekumbali sana , sikuuu utakuwa wapi nikukaribishe tunywe tule na marafiki
Jojo.
Naomba unitaje [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099]
Mkuu ungebalance na dada ,shangazi , wachumba na mabinti zetu .Habari wanajamvi?
Tukiwa tumebakiza siku takribani 15 kupindua mwaka, kuongeza thamani ya upendo miongoni mwa member JF.
Taja memba yoyote unayempenda mpe na sifa yake na cheo
Mimi naanza hapa[emoji116]
DR Mambo Jambo
Huyu mkuu namuheshimu sana kwa mabandiko yake ya DINI, ananifundisha vitu vingi sana ila posti zake za udaktari nazirudiaga mara 10 10, sio uislamu wala ukristo.
Nampa 5star kwenye masuala ya DINI.
Kiranga
Huyu jamaa namkubali sana kuanzia kupanga hoja na kupangua hoja, kila punch anayorusha inafika.
Maarifa anayomwaga nampa 5star masuala ya Logic (mantiki)
Ritz
Huyu jamaa namkubali sana kwenye kuleta taarifa za hamas masaa 24 hata kama aljazeera haijapata taarifa yeye anayo
Ni msemaji wa hamas ukanda wa afrika mashariki.
Robert Heriel Mtibeli
Taikon wa fasihi huwa anagusa nyanja zote, ananifurahisha sana nyuzi zake, inabidi utulize akili kuzisoma. Huyu ni Taikoni wa fasihi hapa nampa nyota5
Twende kazi( kumbuka hii ni kwa ajili ya ku appreciate na funny)[emoji116]weka list nyingine chini hapa.
Asante mpenzi, ubarikiwe sana๐Amehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
Mnaninyali sana ๐๐Me nakukubali wizo wangu mke halali wa kaka ๐๐๐
Nimewataja mkuu.Mkuu ungebalance na dada ,shangazi , wachumba na mabinti zetu .
Aaa wapi! ๐๐๐[emoji23] nimekutaja kimoyo moyo
asante mchuchuAmehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
AmiinAsante mpenzi, ubarikiwe sana๐
Hahahaa.....Alikugea kitumbua nini!?
That is the only reason uogope kumtaja
vipi mama