Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwa hiyo objective imebadilika juu kwa juu, na wale wanaotoa msaada wa silaha kwa Ukraine wanaanza kushikishwa adabu lini ?Tunapeleka operation polepole ili kuua chumi za mabeberu.
Tukimaliza mapema hawataandamana
Naona umeona hakuna sehemu na kutoa udaku wako umekuja kuutoa uku unajua watu 500 kufa kwa siku saivi wangekuwa wangapiBila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
hiz takwimu zingekuwa za kwel bas vita ingekuwa nyepes sana , Urusi hajui stregth ya adui yake ila wewe unajua , Mkiitwa majina ya ajab mnalalamikaPamoja na kuimport wanajeshi baso waliopo ni elf 20 tu wengine wote waligeuzwa ndafu
Mwafrika ukipagana naye vita vya uchambuzi au vya kuwashindanisha Urusi na USA anaweza kukushinda mapema sana.kwa muonekano Russia kakutana na chuma ya pua aliingia kichwa kichwa , waafrika tujifunze kisaidiana kama ulaya sio wachambuz uchwara wa siasa za ulaya wakati jiran drc anawaka moto ila tupo kimya mpk USA awape ela ndo mkasaidie maiiran
Ukraine alivamia na hii sio mara ya kwanza kuvamiwa , 1945 , 2014 na 2022 waafrika sio wanyumbulifu ni watu wa kumezeshwa habari tuWar is not a rigged game [emoji23][emoji23] mabeberu huwaingizi kwenye vita kizembe watashiriki kwa mlango wa nyuma sehemu ambayo haina maslahi ya kitaifa watatumia mercenaries hayapendi hasara yameshajifunza.
urusi huvamia majiran zake na hii sio mara ya kwanza , hata ukraine alivamiwa 1945 pia wakataka ivamia 1990s pia 2014 na 2022 Sio kila kitu cha kulaumu mabeberuIshu ni kwamba urusi na ukraine wanajuana kua ni ndugu 1 na anaewapiganisha ni beberu toka nje kupitia kibaraka wake,,, hii vita itaenda kipropaganda sana, mrusi akiweka undugu pembeni anaweza akaichakaza ukraine ndani ya muda mfupi tu shida atafyeka hadi wasio na hatia ndo kitu asichotaka,, acha tuone huu mziki ukihamia Finland itakuaje maana ubabe halisi unaweza ukaonyeshwa kule
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani. Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.
Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.
Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.
Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
Ungemjibu kwa logic tu ili ajione bado mwanafunziNaona umeona hakuna sehemu na kutoa udaku wako umekuja kuutoa uku unajua watu 500 kufa kwa siku saivi wangekuwa wangapi
Kwa sasa mbinu endelevu ktk medani ni Kitengo cha upelelezi KIWE UPDATE...Vita inabadilika kutokana na mahitaji ya wakati huo, it has become difficult to find the edge in modern warfare as the stalled case of Russia invasion. Russia kila njia kufanya encircling with full battalion tactical group lakini ukraine walijichomoa kutoka kwenye mtego mpata adui akafanya tactical withdrawal baadhi ya maeneo. Kinachoonekana vita imehamia kwenye drone na portable weapon. Ukija kwenye accuracy rate ya mizinga imebaki kupiga target ambazo ni stationary maana watu wanabadilisha mbinu kila wakati.
Mleta mada hivyo vifaru vitaendelea kuwepo vitani miaka zaidi ya 100 ijayo. Kama unataka kuondoa armour basi tuambie movement ya wanajeshi itakuwa supported na nini. Wanajeshi hawatoenda kama gwaride vitani, hayo mambo yaliishia World War 1 kipindi wanatumia human wave tactics zilivyoanza kutumika machine guns wakawa wanafyekwa.
mrusi Anavuna alicho panda!Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
Zikirudi kushambuli uwanja ukilipuliwa zitatua wapi??[emoji101][emoji101]Supersonic fighter jet hazishambuliwi na kitu. Kuna ndege zina speed kuliko mabomu yenyewe. Na zina presicion kubwa kushambulia
Hakunaga anti aircraft missile ambayo ni subsonic, zote ni supersonic tena Mach 3 na ziada hadi 4. Interceptors zinazidi ndege kwa speed na hakuna ndege inaweza outrun the missile ukiachana na SR-71 Blackbird ya Marekani inayoenda sustainable flight ya Mach 3 na point ila wanasema zimestaafishwa (ziko in good shape, anytime wanaweza zitumia).Supersonic fighter jet hazishambuliwi na kitu. Kuna ndege zina speed kuliko mabomu yenyewe. Na zina presicion kubwa kushambulia
Waafrika tutakapa acha wizi,ufisadi ikiwa ni matokeo ya tamaa,ulafi,na upungufu wa uelewa wa nini tunacho hitaji kama mtu mmoja mmoja,jamii au taifa.Ndio tutaweza kuona upo umuhimu wa kufanya mambo kama ya kitaifa na sio kama mtu mmoja mmoja 🤔kwa muonekano Russia kakutana na chuma ya pua aliingia kichwa kichwa , waafrika tujifunze kisaidiana kama ulaya sio wachambuz uchwara wa siasa za ulaya wakati jiran drc anawaka moto ila tupo kimya mpk USA awape ela ndo mkasaidie maiiran
Mrusi haendi kupigana, anachukua miji na kuijenga upya kwa manufaa ya waukrain na warusi waishio ukrainSubiri warusi wanakuja
Nimecheka sana!wameshindwa kumpiga Joti?🤣
Vipi kuhusu marekani huko libya na iraq hayo ya juzi tu hapo......urusi huvamia majiran zake na hii sio mara ya kwanza , hata ukraine alivamiwa 1945 pia wakataka ivamia 1990s pia 2014 na 2022 Sio kila kitu cha kulaumu mabeberu