Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Zele ndio kwanza anazidi kudunda hapo mjini Kiev. Na juzi hapa amemualika Kiongozi wa china Xi jiping
Nijambo jema azidi kusogea kuwaalika wamashariki wenzake, mwishoe watakaa wayazungumze. Maana hakuna namna tena kwakuwa wafadhiri wameanza kupunguza kasi ya kupeleka vifaa vyao.Hivyo siyo mbaya strategically akianza kukumbuka kuwa vita itamalizwa tu na wamashariki mwenyewe.
 
Mleta mada hivyo vifaru vitaendelea kuwepo vitani miaka zaidi ya 100 ijayo. Kama unataka kuondoa armour basi tuambie movement ya wanajeshi itakuwa supported na nini. Wanajeshi hawatoenda kama gwaride vitani, hayo mambo yaliishia World War 1 kipindi wanatumia human wave tactics zilivyoanza kutumika machine guns wakawa wanafyekwa.
Na Urusi ndio ina tabia ya human wave tactics ndio maana vifo vyake vinavyotokana na mapigano kwenye WW 2 ni vingi kuliko Marekani+ Uingereza+ Ufaransa. Hata hapa Ukraine kuna muda ilitaka ifanye hivyo. Japan ilishaacha mara moja huo ujinga wa kamikaze na kujitoa mhanga.
Kadri ya miaka inavyoenda ndio vifaru vinazidi kuwa salama. Best tankers wenye kills nyingi waliishia WW2 ndio ulikuwa unakuta jeshi lina vifaru 10,000 sasa hivi kama Ujerumani hata 500 havifiki.

Urusi inachotakiwa kuzingatia ni combined arms ambayo inahitaji budget kubwa na makamanda huru sio mambo ya kubebana na misafara mnaitafuta Kyiv, zile ni siasa jeshi huru hulipeleki vile. Jeshi unalipeleka vitani ila unalidanganya kwanza eti mnaenda kwenye mazoezi hata kujipanga vizuri wanashindwa.

Kwenye ndege, WW2 zilitengenezwa ndege maelfu na makumi elfu na ziliharibiwa nyingi ingawa hazikuwa za gharama kubwa kama leo hii. Hata fighter aces karibia wote tulionao ni wa WW2 wengi Wajerumani. Marekani pekee iliipa Urusi ndege zaidi ya 14,000 (elfu kumi na nne sijakosea) kwenye lend lease ili ipigane na Hitler. Sasa miaka hii utaona ambavyo airforces zina ndege chache na ndege zina survivability kubwa huku zikiwa ghali.

Urusi inapoteza ndege kwa matatizo yake yaleyale. Ukraine ndege zake ni outdated kwa level za Urusi, kina Mig-29 na Su-27 za miaka ya 1970 zisizo na upgrades. Wakati Urusi inazo Su-30 na upgrades zake Su-30MK2, inazo Mig-35, Su-35 zote hizi zinazidi ndege za Ukraine uwezo. Urusi ilitakiwa ifanye SEAD na iharibu airbases na runways za Ukraine lakini ndio hivyo tena precision weapons wanazidunduliza. Waulize Israel wanazuiaje ndege za adui zisiguse anga lao.

Kizazi hiki ni muda ambao fighter pilot ana survivability kubwa angani kuliko miaka ya nyuma. Kuna hata ejection seat na AEW. Kwenye helicopters uko ndio kidogo hazina maisha sana hiyo ndio suicide yenyewe. Ukipanda juu unakutana na AD systems ukija anga la wastani unakutana na MANPADS. Hapo anayesalimika ni aliyetengeneza helicopter yenye countermeasures nzuri zaidi kama flares, chaff na electronic meansView attachment 2574338

Na sasa drones zinazidi kuongezeka, kuanzia 2030s tutaanza kuwa na drones zikiwa integrated na manned fighter jets kwenye 6th generation fighter jets. Kwa sasa ndege kama F-35 zinatengenezewa drones rafiki ambazo zinabebwa na airlifter kama C-5 Galaxy zinaachiwa angani kisha datalink inaziunganizha na F-35 ya karibu iziongoze. Ziko expendable na zinatumika kama chambo. Picha ni rendering, project iko njianiView attachment 2574337

Manned fighter jets zitaendelea kuwepo
Niko impressed sana na ufafanuzi wako hongera
 
Anapiganaje na US wakati US hajapeleka hata kandege 1?
Mkuu atapelekaje ndege zake bila kuwa na uhakika kama zitarudi?
Hata kama hajapeleka ndege zake lakini amepeleka silaha zake nyingi tu hata wewe unajua.
 
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani.

Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.

Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.

Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.

Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
Urusi i anapigana na NATO.

Vyovyote vile iwavyo, vita hiyo URUSI NI LAZIMA ATOKE MSHINDI, iwe ni kijeshi au Makubaliano, ni lazima URUSI awe mshindi.
 
mrusi Anavuna alicho panda!
Halafu Mtz yeyeto anae ishabikia russia hajui kitu mbaya aliyotufanyia mrussi wakati iddi amin alipo tuvamia na kuzuka vita ya Kagera!
[emoji116][emoji116]
mrusi alimsaidia idi amini kwa kumuuzia ndege vita na kutupa masharti magumu tulipo muomba atuuzie heat seeking missiles ambazo zilituishia!
Kukosa Hekima ya nyerere Kuomba msaada wa Anti aircraft Missiles Msumbiji na Algeria na wao kutusaidia amini angeendelea kutamba mwanza na ndege zake!; vita ingekuwa endelevu na kuwa fursa kwa mrusi ili Iweze kuuza silaha zake [emoji56][emoji15]
Ukrain walitusaidia nn
 
Mleta mada hivyo vifaru vitaendelea kuwepo vitani miaka zaidi ya 100 ijayo. Kama unataka kuondoa armour basi tuambie movement ya wanajeshi itakuwa supported na nini. Wanajeshi hawatoenda kama gwaride vitani, hayo mambo yaliishia World War 1 kipindi wanatumia human wave tactics zilivyoanza kutumika machine guns wakawa wanafyekwa.
Na Urusi ndio ina tabia ya human wave tactics ndio maana vifo vyake vinavyotokana na mapigano kwenye WW 2 ni vingi kuliko Marekani+ Uingereza+ Ufaransa. Hata hapa Ukraine kuna muda ilitaka ifanye hivyo. Japan ilishaacha mara moja huo ujinga wa kamikaze na kujitoa mhanga.
Kadri ya miaka inavyoenda ndio vifaru vinazidi kuwa salama. Best tankers wenye kills nyingi waliishia WW2 ndio ulikuwa unakuta jeshi lina vifaru 10,000 sasa hivi kama Ujerumani hata 500 havifiki.

Urusi inachotakiwa kuzingatia ni combined arms ambayo inahitaji budget kubwa na makamanda huru sio mambo ya kubebana na misafara mnaitafuta Kyiv, zile ni siasa jeshi huru hulipeleki vile. Jeshi unalipeleka vitani ila unalidanganya kwanza eti mnaenda kwenye mazoezi hata kujipanga vizuri wanashindwa.

Kwenye ndege, WW2 zilitengenezwa ndege maelfu na makumi elfu na ziliharibiwa nyingi ingawa hazikuwa za gharama kubwa kama leo hii. Hata fighter aces karibia wote tulionao ni wa WW2 wengi Wajerumani. Marekani pekee iliipa Urusi ndege zaidi ya 14,000 (elfu kumi na nne sijakosea) kwenye lend lease ili ipigane na Hitler. Sasa miaka hii utaona ambavyo airforces zina ndege chache na ndege zina survivability kubwa huku zikiwa ghali.

Urusi inapoteza ndege kwa matatizo yake yaleyale. Ukraine ndege zake ni outdated kwa level za Urusi, kina Mig-29 na Su-27 za miaka ya 1970 zisizo na upgrades. Wakati Urusi inazo Su-30 na upgrades zake Su-30MK2, inazo Mig-35, Su-35 zote hizi zinazidi ndege za Ukraine uwezo. Urusi ilitakiwa ifanye SEAD na iharibu airbases na runways za Ukraine lakini ndio hivyo tena precision weapons wanazidunduliza. Waulize Israel wanazuiaje ndege za adui zisiguse anga lao.

Kizazi hiki ni muda ambao fighter pilot ana survivability kubwa angani kuliko miaka ya nyuma. Kuna hata ejection seat na AEW. Kwenye helicopters uko ndio kidogo hazina maisha sana hiyo ndio suicide yenyewe. Ukipanda juu unakutana na AD systems ukija anga la wastani unakutana na MANPADS. Hapo anayesalimika ni aliyetengeneza helicopter yenye countermeasures nzuri zaidi kama flares, chaff na electronic meansView attachment 2574338

Na sasa drones zinazidi kuongezeka, kuanzia 2030s tutaanza kuwa na drones zikiwa integrated na manned fighter jets kwenye 6th generation fighter jets. Kwa sasa ndege kama F-35 zinatengenezewa drones rafiki ambazo zinabebwa na airlifter kama C-5 Galaxy zinaachiwa angani kisha datalink inaziunganizha na F-35 ya karibu iziongoze. Ziko expendable na zinatumika kama chambo. Picha ni rendering, project iko njianiView attachment 2574337

Manned fighter jets zitaendelea kuwepo.
Su 35 inaweza shambulia precisely target iliyopo umbali wa km 300+ from ilipo..air defence nyingi zina limited range mfano nyingi utaambiwa target lazima iwe chini ya 100km..drones hasa kwenye vita hii zimekuwa upgraded sana, Urusi kwa sasa inatumia mannen drones ambazo zipo integrated na kamikaze drones..so Kuna drones ambazo Kazi yake ni kufanya reconnaissance na ilinkuonyesha target ilipo.then hizo taarifa zinatumika na kamikaze kufanya yake...the same to artillery..ambapo nowdays hakuna yake mambo ya kurusha mizinga kama mwehu...drone inachukua coordinates zinatumwa kwenye command ya artillery vitu binakuja..ndiyo maana vita ya sasa imekuwa chungu sana kill rates ni kubwa if hauna manpower ya kutosha na countermeasures nzuri unapotelea mbali.Sijui kama jwtz wanajua hili coz Hivi ndo vitu Rwanda wanawekeza kwa sasa technologia.
 
Pamoto Sana Hapa Hasa Masuala Ya Uwanja Wa Damu
 
Su 35 inaweza shambulia precisely target iliyopo umbali wa km 300+ from ilipo..air defence nyingi zina limited range mfano nyingi utaambiwa target lazima iwe chini ya 100km..drones hasa kwenye vita hii zimekuwa upgraded sana, Urusi kwa sasa inatumia mannen drones ambazo zipo integrated na kamikaze drones..so Kuna drones ambazo Kazi yake ni kufanya reconnaissance na ilinkuonyesha target ilipo.then hizo taarifa zinatumika na kamikaze kufanya yake...the same to artillery..ambapo nowdays hakuna yake mambo ya kurusha mizinga kama mwehu...drone inachukua coordinates zinatumwa kwenye command ya artillery vitu binakuja..ndiyo maana vita ya sasa imekuwa chungu sana kill rates ni kubwa if hauna manpower ya kutosha na countermeasures nzuri unapotelea mbali.Sijui kama jwtz wanajua hili coz Hivi ndo vitu Rwanda wanawekeza kwa sasa technologia.
Russia haina precision weapons nyingi kwani zina gharama kubwa, kitu chochote kikishakuwa cha gharama kubwa usitarajie Urusi ikipendelee. Wala precision missiles zake sio better, Israel ndio nchi inapenda zaidi na inajua vizuri precision.

Russia ina silaha kadhaa nzuri ila namba zinakataa. Su-35 hazifiki 200, kwa US multirole yake mpya F-35 zipo zaidi ya 400. Hapo hatutaji F-16 ambazo ni nyingi zaidi na ni level za Su-35.

Russia kwenye drones hawazidi US, China, Israel wala Turkey. Hao wanne ndio wanaanza na hakuna mpinzani wao soon, wanafuata kina Russia na Iran na wengineo.

Rwanda wanajipanga kwenye precision weapons na silaha za kisasa ukilinganisha na bajeti yao, population na ukubwa wa ardhi yao jeshi lao linajitahidi. Tanzania iko kivyake inaishi
 
Russia haina precision weapons nyingi kwani zina gharama kubwa, kitu chochote kikishakuwa cha gharama kubwa usitarajie Urusi ikipendelee. Wala precision missiles zake sio better, Israel ndio nchi inapenda zaidi na inajua vizuri precision.

Russia ina silaha kadhaa nzuri ila namba zinakataa. Su-35 hazifiki 200, kwa US multirole yake mpya F-35 zipo zaidi ya 400. Hapo hatutaji F-16 ambazo ni nyingi zaidi na ni level za Su-35.

Russia kwenye drones hawazidi US, China, Israel wala Turkey. Hao wanne ndio wanaanza na hakuna mpinzani wao soon, wanafuata kina Russia na Iran na wengineo.

Rwanda wanajipanga kwenye precision weapons na silaha za kisasa ukilinganisha na bajeti yao, population na ukubwa wa ardhi yao jeshi lao linajitahidi. Tanzania iko kivyake inaishi
Huna unalolijua...hizo ndege unazozisifia zimeprove failure kwenye medani ya vita..kwanza operation cost yake ni kubwa mno haieleweki..baadhi ya nchi ikiwemo Marekani imeacha kutumia hizo ndege badala yake wanatumia F22.. usichojua J 20 inauwezo SAwa au kuzidi hizo F35
 
Kupeleka silaha za kivita pia ni kuingilia. Putin alisema ataeingilia kwa njia yoyote ile.
Silaha pamoja na ushauri wa mataifa ya magharibi ndio imesababisha smo ya saa 72 kwenda mwaka na zaidi na bado russia hajafikia malengo
Na huko anakoelekea russia atatema ndoano.
 
Back
Top Bottom