Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Unaandika upumbavu sana. Hivi nani alikudanganya kila jambo la kitaifa linakuwa na sababu za kisiasa. Mambo ya Jeshi yako nje ya uwezo wako wa kufikiri. Baki kwenye siasa za CDM na CCM.

Suala hilo la kihuni halitapita bure bila kujibiwa vikali.
Dah,wewe naona ndo hujui unachokiandika aise. Pole
 
Ndo wauawe kijinga,acha uongo. Tumepiga hizo kazi Kwa nyakati fulani
 
Huna akili,huyo magufuli wako alijenga kwa pesa zake mwenyewe au? Nyie simnasema marehemu wenu aache kutajwa kashakufa,sasa wanini tena unamtaja.
 
Ukienda mission kama hizo ambazo zinakuwa chini ya mwamvuli wa shirika au jumuiya fulani unabii utii masharti fulani ya kidiplomasia kuepusha migogoro zaidi ya kivita.

Hao walienda kama walinda amani Congo na sio kupigana vita na Rwanda, japo Rwanda kaonyesha chokochoko kutokana na maslahi anayoyapata kutokana na mgogoro wa DRC hivyo hao TPDF hawahusiki ndio maana wamepitia Rwanda na kukaguliwa kama exit point ila kama ingekuwa ni kinyume na hapo na wangekuwa ndani ya Rwanda wanapigana hapo hilo zoezi lisingewezekana bali sasa Rwanda angekuwa anashikilia askari wa TPDF kama mateka wa kivita.
 
Lakini wewe mwenyewe hujatuonyesha chochote kuwa siyo "mpumbavu" zaidi ya huyo unaye msema hapa.
Kwa maandishi uliyo weka, ni wazi wewe ni mpumbavu zaidi!
Kama unakubaliana na huyo jamaa kwamba suala linalojadiliwa ni matokeo ya Jeshi kuwa kibaraka wa ccm basi wote ninyi ni wapumbavu. Hata rais angekuwa kutoka CDM bado Jeshi lingekuwepo Congo. Huko ccm kuna nani anayefahamu kinachoendelea Congo zaidi ya Jeshi linavyofahamu?
 
Acha kututetea. Tumefukuzwa,tumeondolewa,tumekimbizwa,tumedhalilishwa,tumefedheheshwa, tumekaguliwa na tumenyang'anywa Kila kitu. Kagame anajambo lake ambalo tusipoonyesha ukubwa wetu,tutaendelea kufedheheshwa sana.
Hahaaaa no its not like that, ukishakuwa under un umbrela lazima u comply with their rule
 
Acha kututetea. Tumefukuzwa,tumeondolewa,tumekimbizwa,tumedhalilishwa,tumefedheheshwa, tumekaguliwa na tumenyang'anywa Kila kitu. Kagame anajambo lake ambalo tusipoonyesha ukubwa wetu,tutaendelea kufedheheshwa sana.
Dah! Inasikitisha kama hizi picha ni za kweli na hao nikweli katika askari wetu, kkagame ni wakumuua kabisa
 
Mkuu humu Kuna wajinga wengi sana wasiojua chochote kile. M23 ni takataka fulani hivi ambayo inajua haiwezi kuifanya chochote TPDF.
 
Hakuna cha ubish hapa.
South Africa is believed to have around 3,000 troops deployed in Congo,
Nimekupa chanzo bado unaleta ubishi south Africa haina wanajeshi wakufika hata 500, endelea kufikiri umeipiga South Africa , hapo ni sawa na tone ndani ya bahari, endelea kuwasumbua wakongo ambao wana ruhusu wajinga wajinga kama M23 kukalia nchi yao
 
Hakuna cha ubish hapa.
South Africa is believed to have around 3,000 troops deployed in Congo,
Aiseee wewe mtu ni mbishi yaani pamoja na kupewa source bado unaleta masuala ya imani (believed)
Nawe tuwekeee source inayoonyesha hayo unayoyasema
 
Pole ya Nini wakati wamevuna walichopanda?

Wameungana na Watawala wasio na maono ya kuona mbali, haya ndio mavuno yao.
Mavuno gani?. Mbona unaropoka Kama jw ilienda na vifaa vya kijeshi congo?. Jw ikisimama vita na m23 hakuna takataka ya m23 itabaki hapo goma
 
Duh,
Tatizo lilianzia kwa yule mama asiyejua hata kutumia binoculars kuwa waziri wa ulinzi!!

Kagame asije tu akaigeuza Tz kubwa jinga kama alivyoifanya DRC.
Sasa kama Wanajeshi wenu siku hizi wanategemea kupokea maelekezo ya Wanasiasa wa CCM sijui fanyeni usafi au mazoezi kuwatisha wananchi wasiandamane unafikiri wanaweza kuwa na akili ya kupambana na kumzidi Kagame na timu yake?

Kagame huko ana invest kwenye research, elimu na maarifa nyie mna invest kwenye uchawa na kuwaabudu wajinga wa CCM alafu msidharirike?

TISS huko ndo zimejaa maiti tu intelligence wanayojua ni ya CHADEMA tu mnategemea msitepeshwe?
 
Naona taabu sana kuendeleza mjadala huu na wewe; lakini nakuona kuwa wewe hata sifa ya upumbavu ni nafuu zaidi.
Kwanza maelezo yenyewe unayotoa ni kama hata hujui unaongelea kitu gani.

Kwa mfano:
Hata rais angekuwa kutoka CDM bado Jeshi lingekuwepo Congo
Sijui unalenga kuzungumzia kitu gani hapa?
Wewe unadhani hizo serikali zitafanya maamuzi nje ya sera za vyama vyao? Hujui serikali imeundwa na nani?
Au unafikiri jeshi linafanya maamuzi yake nje ya serikali?
Congo. Huko ccm kuna nani anayefahamu kinachoendelea Congo zaidi ya Jeshi linavyofahamu?
Angalia unavyo jidhalilisha. Wewe unadhani jeshi linajiamria lenyewe wapi liende?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…