John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Kwa kifupi ni kwamba Jeshi la Tz limevuliwa nguo na M23.Acha kututetea. Tumefukuzwa,tumeondolewa,tumekimbizwa,tumedhalilishwa,tumefedheheshwa, tumekaguliwa na tumenyang'anywa Kila kitu. Kagame anajambo lake ambalo tusipoonyesha ukubwa wetu,tutaendelea kufedheheshwa sana.