Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Naona mnaendelea kujifariji kwa maneno matupu.Tumewekeza nguvu kwenye magari, pesa, na wizi wa kura uchaguzi mkuu.
Hayo mengine hayana sana Nafasi!!!
Kagame anajifarijivkwa muda siku watu wakiamua, situation ikiwa worse Kagame na ka land locked π county kake anapigwa vizuri sana
We waache tu. Wanalifdharau jeshi halafu wakishughulikiwa wanaolalamika eti jeshi limetumia nguvu kubwa! Kwani maana ya Jeshi ni nini?Halafu ukitekwa unasema wewe ni mwanaharakati huru, kumbe umbea tu!
Kuna kitu nimeanza jifunza mkuu tokana hoja yako ila hujafunguka vizuri.Haya wameyataka wenyewe.
Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.
"Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)
Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.
All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.
Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
Si tunaona kila siku maiti za Tz zinarudishwa kwenye masanduku toka congo, Iddi amini hakuondolewa ni jeshi la Tanganyika ni jeshi la Zanzibar ndio lilitumiliwa na mchonga meno kumuondoa ndugu yao muislamu madarakani, Iddi amini alikuwa kiongozi mzuri sema zilikuwa chuki za julius nyerere kwa waislam, na tanzania vita ile walipata msaada kedekede toka nje dhidi ya kuupiga vita uislam Africa mashariki na kusimamisha kanisa.Vita hivyo mnavyoendesha congo kwa waliosalitiana unajisifia navyo? Na una sema tunabeba mbwa?. Waambie hao wanaume zenu watie mguu Tanzania Kama alivyofanya iddi amini dada. Alafu uone Kama wanabeba mbwa au kimbau mbau ajatafute pa kwenda uamishoni. Ushoga wenu pelekeni uko uko kwa wasiliti wa kikongo siyo Tanzania. Mtakuja kuvaa magaoni mjigmfanye wanawake msiguswe. Lopoka tu
Acha ujinga wako..Si tunaona kila siku maiti za Tz zinarudishwa kwenye masanduku toka congo, Iddi amini hakuondolewa ni jeshi la Tanganyika ni jeshi la Zanzibar ndio lilitumiliwa na mchonga meno kumuondoa ndugu yao muislamu madarakani, Iddi amini alikuwa kiongozi mzuri sema zilikuwa chuki za julius nyerere kwa waislam, na tanzania vita ile walipata msaada kedekede toka nje dhidi ya kuupiga vita uislam Africa mashariki na kusimamisha kanisa.
Tz haina hata ndege 1 ya kisasa yakivita labda hao mbwa mnaobeba mgongoni na mabegi mazito mgongoni.
Natamani irudi miaka ile kanda ya ziwa tulipomuambia Idd Amin dada, toka,,, akatorokea mpakani mbarara. Leo tunachezewa na wapumbavu wanyarwanda wasiotahiriwa, Mura Mura, Mura.Mkuu hakuna Cha dharau. Waleta mada wanajifurahisha tu
Ona mwehu huyu. Unathubutu kumsifia Amin, wakati Bukoba kuna makaburi ya raia na mkuu Hans Pope wa mkoa akikamatwa na kuuwawa Uganda.Si tunaona kila siku maiti za Tz zinarudishwa kwenye masanduku toka congo, Iddi amini hakuondolewa ni jeshi la Tanganyika ni jeshi la Zanzibar ndio lilitumiliwa na mchonga meno kumuondoa ndugu yao muislamu madarakani, Iddi amini alikuwa kiongozi mzuri sema zilikuwa chuki za julius nyerere kwa waislam, na tanzania vita ile walipata msaada kedekede toka nje dhidi ya kuupiga vita uislam Africa mashariki na kusimamisha kanisa.
Tz haina hata ndege 1 ya kisasa yakivita labda hao mbwa mnaobeba mgongoni na mabegi mazito mgongoni.
We mleta mada jichunge sana sana utakalia ya mafuta ya moto sanaHawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.
Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.
Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?
Source: BBC Swahili news.
Nchi inapokuwa na viongozi wapumbavu kila kitu kinakuwa cha kipumbavuHawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.
Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.
Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?
Source: BBC Swahili news.
UN ndo mfadhiri wa haya yoteHawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.
Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.
Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?
Source: BBC Swahili news.
UN ndo mfadhiri wa haya yoteHilo haliwezekani maana huwezi kuwafanyia wanajeshi walio chini ya umoja wa mataifa kitu kama hicho hutakuwa hujipendi kabisa..
Alafu thread yako inaonyesha uelewa wako wa mambo baro upo chini.