Tanzania hatuna jeshi , na ccmu wamjisahau sana , wanakula kodi zetu vby hawajengi jeshi , endelea kuleta ushabiki wa kitoto , siku wakitua Tz ndo utaelewaVita hivyo mnavyoendesha congo kwa waliosalitiana unajisifia navyo? Na una sema tunabeba mbwa?. Waambie hao wanaume zenu watie mguu Tanzania Kama alivyofanya iddi amini dada. Alafu uone Kama wanabeba mbwa au kimbau mbau ajatafute pa kwenda uamishoni. Ushoga wenu pelekeni uko uko kwa wasiliti wa kikongo siyo Tanzania. Mtakuja kuvaa magaoni mjigmfanye wanawake msiguswe. Lopoka tu
Waislam siku hz mmetiwa uchiz na nan ? watu wa kagera wakikusikia bas watakutoa linda , hizi dini mliletewa ila zimewafanya wehuSi tunaona kila siku maiti za Tz zinarudishwa kwenye masanduku toka congo, Iddi amini hakuondolewa ni jeshi la Tanganyika ni jeshi la Zanzibar ndio lilitumiliwa na mchonga meno kumuondoa ndugu yao muislamu madarakani, Iddi amini alikuwa kiongozi mzuri sema zilikuwa chuki za julius nyerere kwa waislam, na tanzania vita ile walipata msaada kedekede toka nje dhidi ya kuupiga vita uislam Africa mashariki na kusimamisha kanisa.
Tz haina hata ndege 1 ya kisasa yakivita labda hao mbwa mnaobeba mgongoni na mabegi mazito mgongoni.
Wewe ulitakaje Sasa? Utalazimisha kuvuka mpaka? Walienda huko DRC kufanya nini?
Hivi wajuvi wa mambo aya ebu nisadieni ,hakuna namna au kutafuta sasababu yoyote ya kuifuta Rwanda iwe moja ya sehema za nchi za Afrika mashariki , naona kama msubufu , shida nini kwamba ana nini cha juu kuliko nchi nyingine ndani ya Afrika mashariki?
Rwanda Huwa wanaidogosha tu lakini ni Nchi ambayo inajeshi Bora na la kisasa.Mfano mwaka 2013/2014 alipotaka kutuchapa watanzania alikuwa anasilaha za kisasa kama ndege zisizo na rubani na silaha za balistiki ambazo zinaweza kufyatuliwa kutoka Kigali Hadi feri magogoni Dar es salaam
Ukweli mchungu kwa ma-ccm na Jeshi letu.JWTZ ijiweke kando na siasa na wanasiasa wa CCM. Wanakoelekea siko.
Rwanda ni nchi ndogo lakini rais wake ana akili-kubwa. Kushinda vita huwa inahitajika akili-kubwa kama za Kagame au M23 siyo propaganda kama propaganda za ma-ccm.Nchi gani imewahi kushinda vita kwa kutumia drones?
Umeambiwa TZ haina ballistic missiles?
kuipiga TZ ni ndoto za mchana. Kikubwa hapa ni unyonge wa TZ sababu mmefundishwa unyonge na serikali yenu. Mbongo hata kazi hawezi kuomba akisikia anashinda na mtu yeyote wa nje anajua tayari kashindwa, hamjui lugha, hamna confidence, hamna maarifa.
Mna viongozi dhaifu sasa katafanyake? Wacha kawapelekeshe!Kanchi kadogo ka Rwanda kanazichezesha singeli Nchi zote za Maziwa Makuu na ukanda wa SADC aibu kubwa hii.
Rwanda ni nchi ndogo lakini rais wake ana akili-kubwa. Kushinda vita huwa inahitajika akili-kubwa kama za Kagame au M23 siyo propaganda kama propaganda za ma-ccm.
Nyie nao mmesoma mpaka level gani za elimu. Analysis ya uimara wa jeshi unafanyia JF?... Mnapenda ushabiki sana ni rahisi kurubunika na propaganda.Jeshi letu saiv dhaifu. Pesa nyingi imewekezwa kwenye kununua magoli ya Yanga na Simba
Binafsi nakiri kuwa tuna ombwe la uongozi Afrika Mashariki, natamani Mwalimu angekuwa Rais anashuhudia haya, bila shakha mpaka sasa kwa kizazi cha kina Nyerere Rwanda isingekuwa na haki ya kupisha chochote katika anga letu au bandari yetu.M23 wameshinda vita?
Lini Congo imewahi kutulia?
Binafsi nakiri kuwa tuna ombwe la uongozi Afrika Mashariki, natamani Mwalimu angekuwa Rais anashuhudia haya, bila shakha mpaka sasa kwa kizazi cha kina Nyerere Rwanda isingekuwa na haki ya kupisha chochote katika anga letu au bandari yetu.
Muda wote huo ndio nini? Huwezi specify?..Mama Abduli hana uwezo wa kutekeleza majukumu ya Amiri Jeshi Mkuu.
..haiwezekani miili ya vijana wetu, na majeruhi, washinde kurejeshwa muda wote huu.
..huu sasa ni ufala.
Binafsi nakiri kuwa tuna ombwe la uongozi Afrika Mashariki, natamani Mwalimu angekuwa Rais anashuhudia haya, bila shakha mpaka sasa kwa kizazi cha kina Nyerere Rwanda isingekuwa na haki ya kupisha chochote katika anga letu au bandari yetu.
Muda wote huo ndio nini? Huwezi specify?
Wewe unaweza?