Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

Ninkweli ni aibu kilichotokea uchaguzi huu, maana mpaka leo hata matokeo tume wanaogopa kuyabandika

Kwa kifupi ni mambonya aibu kwa kweli
Wanaogopa kubandika matokeo?! Kuna sehemu matokeo ya uchaguzi yayajajulikana katika Jamhuri hii?!
 
Jembe ni kitendea kazi.Ila la waitara linafaa kuchimbia na kufukia kinyesi tu.
 
Nimeshangaa mbona huu uzi wa kiboya una wachangiaji wengi sana, kumbe ni huyu kibuyu alieanzisha anajibu kila comment, jf imepatwa.
Ipo siku utajinyonga baada ya serikali kukamilisha mradi wa maendeleo kwa wananchi,una wivu wa kishamba sana. Badala ya kujadili mada,unanajadili upuuzi na wenye akili
 
Unazungumzia UCHAFUZI wa Oct 28?
 
Hana lolote juu ya chadema
 
Tena yesu mwenyewe wa kuchonga!
 
Ipo siku utajinyonga baada ya serikali kukamilisha mradi wa maendeleo kwa wananchi,una wivu wa kishamba sana. Badala ya kujadili mada,unanajadili upuuzi na wenye akili
Kumbe wewe ndio "genious" huko lumumba?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…