Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #81
Hao wamechoma mwizi wao na wewe kama unaona unaibiwa hayo mabilioni nenda kawachome kwani Kuna mtu kakukatazaHao wanaojichukulia sheria kumchoma mtu moto eti wanauchungu wa kuibiwa simu au wallet wanashangaza. Tukiwaambia kuna hawa wanaotuibia mabilioni tuwakemee eti wanaona hayawahusu na hawana uchungu wowote.
Hivi wangekuwa na uchungu wa kweli na kuibiwa hawa kina Madelu wanaokwapua mabilioni na kutuletea ugumu wa maisha si wangewachoma moto na kusubiri nyama I've na kutafuna minofu yao kwa hasira kabisa?
Hata wewe ukiiba unaweza ukauliwa. Acha kutetea weziKwanini wamuue
Kila anayekosea angekuwa anauliwa sidhani kama Dunia ingekuwa na aatu
Saaaana sanaNayo itengenezewe mazingira ipigwe kiberiti tu. Hiyo ndio inafanya hawa wa Kariakoo wawepo.
Hao wamechoma mwizi wao na wewe kama unaona unaibiwa hayo mabilioni nenda kawachome kwani Kuna mtu kakukataza
Ungethibitisha Suratul Atawrati ipo katika juzuu ya ngapi kwenye Quran ingekuwa bora zaidi kuliko kuleta porojo ambazo hazina maana.Mkuu, hata mjumbe wa mola mlezi mtume Muhammad S.A.W alitukumbusha ya kwamba tusibishane pasipo kuwa na elimu, na binafsi sipendi kubishania dini ambayo imeletwa na mwarabu pamoja na mzungu.
Pia elimu yako dini umesomea hapa hapa Tanzania, kwahiyo huwezi kubishana na mimi.
S.
Aisee. Una roho ngumu kiasi gani? Kuna video moja walipost X siku kama nne zilizopita nilipoiangalia siku yangu iliharabika kabisa. Very disturbing. Kweli kuna watu wenye roho mbaya. Mwizi alivyokuwa anaomba na kulia lakini bado wakamchoma!nitumie video pm
Mkiendelea kuiba mtachomwa sana moto. Hao kina madelu nenda kawachome wewe kama una ushahidiHao wanaojichukulia sheria kumchoma mtu moto eti wanauchungu wa kuibiwa simu au wallet wanashangaza. Tukiwaambia kuna hawa wanaotuibia mabilioni tuwakemee eti wanaona hayawahusu na hawana uchungu wowote.
Hivi wangekuwa na uchungu wa kweli na kuibiwa hawa kina Madelu wanaokwapua mabilioni na kutuletea ugumu wa maisha si wangewachoma moto na kusubiri nyama I've na kutafuna minofu yao kwa hasira kabisa?
Ilhali anajua fika kwamba mara nyingi kusanyiko la watu humwadhibu mwizi kwa kipigo na kumchoma moto.Sijui na yeye kwanini aibe
Wewe umesomea nchi gani ambao msahafu wao una sura inaitwa Suratul Al tawrat. Mimi nimesomea hapa Tanzania miji tafautitafauti na pia Cairo nchini Misri katika chuo Cha Al Azhar lakini huo msahafu uliosoma wewe Al Azhar hawana, sijui mwenzangu msahafu huo u eutoa nchi gani ? Au ni msahafu wa TELAVIV kwa Lwetanyahu?Mkuu, hata mjumbe wa mola mlezi mtume Muhammad S.A.W alitukumbusha ya kwamba tusibishane pasipo kuwa na elimu, na binafsi sipendi kubishania dini ambayo imeletwa na mwarabu pamoja na mzungu.
Pia elimu yako dini umesomea hapa hapa Tanzania, kwahiyo huwezi kubishana na mimi.
S.
Lini hiyoMwingina kabanikwa kule Makoka kwaMkua
Si ndio hapo mtu unajua kabisa raia wakinikamata wananiadhibukwa moto ila bado unaibaIlhali anajua fika kwamba mara nyingi kusanyiko la watu humwadhibu mwizi kwa kipigo na kumchoma moto.
Last weekLini hiyo
Wewe ndio hutumii akili unatumia mihemuko ,huwezi kuua kwa kila kosa unalofanyiwa hisia na hasira inapunguza uwezo wa kufikiri , wewe ndio hukoseagi? Be reasonable. Mtu yoyote anayeendekeza hasira hasira huyo akili kisodaJinga sana wewe inaonekana ni jizi yaani mtu afe kisa jizi limemuibia halafu useme udhaifu wa mtu shenzi asingemuibia angepata presha Kwa huo mda
HONGERA sana kwa hilo. Pia muombe Mungu awaongoze watoto na wajukuu zako wasijejiingiza katika tabia za wizi na udokozi.Kama mwizi ni wewe mkuu Mimi nimekulia maadali Bora sijawahi kuiba Cha mtu na wazazi wangu walikua wanajitosheleza vizuri sana kunihudumia
Kwa maswali yako dhaifu unauliza basi ni dhahiri wewe ni mwislam jina na mola mlezi hakutambui.Ungethibitisha Suratul Atawrati ipo katika juzuu ya ngapi kwenye Quran ingekuwa bora zaidi kuliko kuleta porojo ambazo hazina maana.
Madai yako pia kuwa mimi nimesoma TZ ni madai ya kufikirika ila sio ya kusadikika kwa sababu hunijui! Pia madai yako kuwa dini zimeletwa na waarabu na wazungu ni dalili kuwa wewe ni mpagani usiyeamini uislamu wala unaswara.