Mwizi maarufu wa Kawe/Mbezi Beach 'Minyembe' auawa na Wananchi

Kwa Kawe hawezi kuvunja record ya jamaa alikuwa anaitwa Mbuzi yake Kamba RIP
 
Majuzi madogo wa mtaani wamenichukulia tv na saboofer sasa najiuliza hivi vitoto vinazaliwa naviona nikisema nikavichukue hatua taviumiza au nisamehee tu hio vitu
ukisamehe anaenda kuumiza na mwingine
 

Leo Pdidy umeandika vizuri sana au kuna mtu amekuandikia? Maana nyuzi zako lugha huwa ngumu kuelewa😀😀🤣🤣🤣
 
umeandika kama unakimbizwa wewe mwana utopolo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…