Wewe changia ya Kurani, ya biblia utayajulia wapi?Yesu hajawahi kuwa na kanisa. Usimzulie.
Wewe unamjua Isa bin Mariam.Yesu nnamjuwa kuliko umjuwavyo wewe.
Kumbuka, mimi ni Muislam na huwezi kuwa Muislam kama humtambuwi Yesu kuwa ni mtume wa Mwenyezi Mungu.
Mwalimu utafukuzwa kazi ushindwe kulea wanao na wazee wako kijijini, siasa hizi waachie wenyewe.Sawa na ipitishwe japo waandishi wa miaka hii ni crazy, wanasahau tarehe.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere apitishwe tu kuwa Mtakatifu,
Hata kwa kuweza kulinda mali asili zetu inatosha kumpa Utakatifu.
Hata kwa kutokuuza bandari zetu na mbuga zetu, inatosha kabisa kumpa Mwalimu Nyerere kuwa Mtakatifu.
Nin utakatifu!!!!wampe na utume kabsaKatika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.
View attachment 2813930
HahahaDah mambo magumu sana leo nyerere awe mtakatifu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaskia baada ya miaka miwili na magu naye ni mtakatifu.
Ila nadhani labda wawe wakatafito sio watakatifu
Tena atakuwa nao tele!
Ni kweli. Na sio kwa Oscar Kambona tu.Kwa aliyoyafanya kwa Oscar Kambona yanatosha kutokutawazwa kuwa mtakatifu,sababu alifanya haya wazi kwa mkatoriki mwenzake.
Hata kama alitubu (which is unlikely),atakuwa "raia" wa kawaida katika ufalme wa Mungu, na sio mtakatifu.
Yapeleke kwenye Mahakama ya jimbo ili kuzuia.Kwa aliyoyafanya kwa Oscar Kambona yanatosha kutokutawazwa kuwa mtakatifu,sababu alifanya haya wazi kwa mkatoriki mwenzake.
Tuna maelfu ya watakatifu wanasiasa.Hakuna mwanasiasa yoyote anayeweza kuwa na sifa za kuwa Mwenye heri au Mtakatifu. Si JKN wala JPM.
A saint is not synonymous to an angel.A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, GOVERNMENTS USE LAW TO CLING/CONSOLIDATE (TO) POWER, SO IWEJE MTU ALIYEONGOZA INSTRUMENT OF OPPRESSION ATANGAZWE MTAKATIFU? NAOMBA KANISA LINIJIBU. ARCHBISHOP RUWAICHI, SOMA KITABU CHA MWIJAGE UONE ATROCITIES ALIZOZIFANYA NYERERE JULIUS
Law: instrument of oppression or tool of justice?
Fernanda Pirie, Professor of the Anthropology of Law
Laws can be harsh, exclusionary, and oppressive. Authoritarian rulers use them to entrench power and undermine human rights; and they manipulate courts and judges to support undemocratic and illegitimate activities. We only have to consider the Jim Crow laws in the US, which legalized racial segregation for decades, the legal regime of apartheid South Africa, and recent moves in Russian and eastern Europe to undermine the independent judiciary. So why do people continue to place faith in the rule of law? The UN declares it to be fundamental to international peace, economic progress, and the protection of fundamental freedoms; social movements take political battles to the courts; and human rights are enshrined in ever more ambitious legal conventions.
Is law fundamentally an instrument of oppression or a tool of justice? And how can it, in practice, be and do both? In my new book, The Rule of Laws, I go back to the origins of law in Babylon, India, and Rome to ask what history can teach us about this paradox. It turns out that laws have been and done contradictory things since they were first invented by the warlords who competed for power in the Fertile Crescent almost four thousand years ago.
NYERERE WAS GOOD, BUT NOT AN ANGEL TO BE DECLARED A SAINT
Hawa waabudu masanamu hawana akili kabisaKatika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.
View attachment 2813930
Peleka hizi tuhuma Mahakama ya JimboNi kweli. Na sio kwa Oscar Kambona tu.
Tuntemeke Sanga alipojaribu kuonesha usomi wake, na alivyostahili kuwa kiongozi wa taifa hili, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha cha nyumbani.
Aboud J. Mwinyi alipohoji kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha Mjimwema Dar.
Ktk operesheni vijiji vya ujamaa wananchi walihamishwa kwa nguvu kutoka makazi yao na kuwekwa sehemu ambazo hazikuwa na huduma muhimu za jamii kama nyumba, maji etc.
Via ya Uganda 1978/79 kwa sehemu kubwa ilisababishwa na Nyerere, akitaka kumrejesha madarakani rafiki yake Obote.
Nyerere aliunga mkono uasi katika Jimbo la Biafra huko Nigeria.
Hayo ni machache. Watu acheni unafiki. Nyerere alikuwa kiongozi katili, dikteta aliyetesa wapinzani wake wa kisiasa. Hakuwa mtu wa kusamehe.
Umedanganywa sana na ashkenazi, unaongelea yule mzungu tunaemuona kwenyue picha?Wewe unamjua Isa bin Mariam.
Humjui Yesu Messaih aliyetabiriwa na nabii Isaya ambaye alikufa msalabani kwaajili ya wenye dhambi, akayashinda mauti, akapaa mbinguni, aliyepewa mamlaka yote Duniani na mbinguni, atakayerudi kuyahukumu mataifa yote.
Nawewe mfia dini juzi nilikuuliza huko peponi utakuwa bikira wa nani kati wale 70?Umedanganywa sana na ashkenazi, unaongelea yule mzungu tunaemuona kwenyue picha?
UtuombeeMtakatifu kambarage...!!!!!!!!!!!!
Mtakatifu Pombe utuombee.Kwa upepo ulivyo nadhani Target ni Mwendazake kutangazwa mtakatifu siku zijazo