Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Kusema cha ukweli, nilikua namfuatilia sana huyu jamaa kwasababu ya Dada yangu mkubwa, ..anamkubali sana.

Niliwahi pia kuhudhuria semina zake pale Arusha uwanja wa pale kwenye reli.

Kiukweli , mafundisho yake...ngumu sana kumeza,...kwasisi ambao tumejikita katika kumeditate , kusali, kufunga na kuomba.

I mean, ..unapokula chakula chake..kisha ukarudi home..ukakicheua na kuanza kukimeng'enya UPYA ili ukimeze mazima..unajikuta unakitapika tu.

Kiufupi, Mimi huwa nawasikiliza wahubiri wote...lakini issue huwa inakuja pale kwenye kusinkisha madini yao ndani ya tumbo langu. Maana , kiukweli ninapokulaga chakula cha kweli, mwili wangu huwa unasisimka sana, unastawi na kunawili sana...nakua mtu mwenye Amani without doubts...na nakua namfurahia huyo mtu aliyenipa hicho chakula.

Mimi sio sampuli za wale waumini ambao wanapokua kwenye mafundisho ..huandika notes ..na baadae wakifika home wanazidamp kusubiri mkutano mwingine .... Mimi huwa lazima nianze kufuatilia UPYA kile nilichokisikia ( outer voice) , ni oanishe na sauti ya ndani ( inner voice). Naikubali sana sauti ya ndani
Hao huwa wanatumia tu concept ya kawaida ya kibinadamu , ila wanaingiza vifungu vya biblia vinavyorelate basi watu wanajaa , ila hamna chochote , mfano huyo mhubiri anakwambia afanyaye kazi kwa bidii atafanikiwa , huyo anaenda kusoma fungu la Mithali linalosema alimaye shamba lake atapata chakula tele bali afataye mambo ya upuuzi atapata umaskini wa kumtosha , anakupa na mfano wa mtu aliyefanikiwa pengine huyo mtu yupo hapo kwenye mkutano, na hapo atachota mindset za watu na watamuona mwamba .....

Ndo mana wamerely sana kwenye mafanikio ya mali , wakat kikawaida mtu anayefanya kaz kwa bidii ni rahs kutoboa hata kama hasali wala hana dini
 
Siwezi kuzungumzia usahihi wa Zumaridi kwakuwa simuamini, kwa sababu kadha wa kadha,hata hilo la kusema kaenda huko alichanganya mambo mengi mara kutaka kuolewa na Paulo,mara kuna nyimbo za msanii Fulani zinapigwa huko,wote tunajua Yesu alishasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.

Nilichosema ni kwamba kwenda mbinguni kwa mtu mwenye Ushirika na Mungu inawezekana,Sasa inategemea aliyeenda unamuamini vipi na alichosema kinaendana na maandiko au La.
Basi msiwashutumu wanaomkubali Zumaridi , mana huyo mwakasege wako tukianza kumchallenge hapa mbona hapatosha , Biblia ni hyo hyo ila hakuna mwenye tafsr sahihi , yeye kasema kaenda mbinguni , mwingine akisema kaenda mbinguni inakuwa kosa ....
 
Huwezi kupelekwa mbinguni ukiwa hai bhana!

Hata Yesu Kristo alipokua hai, aliwahi kwenda mlimani kusali na wafuasi kadhaa....ndipo mitume wakatoka mbinguni na kumfuata alipo ....mmoja wa wawafuasi akasema tujenge vibanda vitatu...
Wewe utakuwa ni mkatoliki..watu msiosoma biblia..nenda kasome kitabu cha danieli..nenda kasome ufunuo..hao wote walifika na kuoneshwaa maono mbalimbali..shida yenu hamuani katika uweza wa MUNGU..nyie mmekalia ekaristi tuu..na ishara za misalaba na masanamu yenu madhabahuni..unapsawa kujua nini maana ya maono..
 
Siwezi kuzungumzia usahihi wa Zumaridi kwakuwa simuamini, kwa sababu kadha wa kadha,hata hilo la kusema kaenda huko alichanganya mambo mengi mara kutaka kuolewa na Paulo,mara kuna nyimbo za msanii Fulani zinapigwa huko,wote tunajua Yesu alishasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.

Nilichosema ni kwamba kwenda mbinguni kwa mtu mwenye Ushirika na Mungu inawezekana,Sasa inategemea aliyeenda unamuamini vipi na alichosema kinaendana na maandiko au La.
spiritual discernment + spiritual awakening
 
Wewe utakuwa ni mkatoliki..watu msiosoma biblia..nenda kasome kitabu cha danieli..nenda kasome ufunuo..hao wote walifika na kuoneshwaa maono mbalimbali..shida yenu hamuani katika uweza wa MUNGU..nyie mmekalia ekaristi tuu..na ishara za misalaba na masanamu yenu madhabahuni..unapsawa kujua nini maana ya maono..
Yani mwakasege umfananishe na akina Daniel , utakuwa unaumwa ww
 
Basi msiwashutumu wanaomkubali Zumaridi , mana huyo mwakasege wako tukianza kumchallenge hapa mbona hapatosha , Biblia ni hyo hyo ila hakuna mwenye tafsr sahihi , yeye kasema kaenda mbinguni , mwingine akisema kaenda mbinguni inakuwa kosa ....
Unakubali kauli ya mtu kutokana na matendo yake.Kwa vitendo vya Zumaridi wewe unaona ni KWELI???
 
chini ukishaona CRDB, NMB, AIRTEL MONEY ,TIGO PESA, MPESA NA HALO PESA basi changanya na zako.
 
Wewe utakuwa ni mkatoliki..watu msiosoma biblia..nenda kasome kitabu cha danieli..nenda kasome ufunuo..hao wote walifika na kuoneshwaa maono mbalimbali..shida yenu hamuani katika uweza wa MUNGU..nyie mmekalia ekaristi tuu..na ishara za misalaba na masanamu yenu madhabahuni..unapsawa kujua nini maana ya maono..
Hata Mimi ni mkatoliki kindakindaki,lakini kwenye ukweli huwa nakubali.
Uliyoyasema ni KWELI.Wakatoliki hatusomi Biblia Sana,ZAIDI ya misale ya waumini.Ukimwambia afungue Waefeso kwa Mfano,utakesha.yaani hatujui Kama NI agano la kale au jipya.
 
Wewe utakuwa ni mkatoliki..watu msiosoma biblia..nenda kasome kitabu cha danieli..nenda kasome ufunuo..hao wote walifika na kuoneshwaa maono mbalimbali..shida yenu hamuani katika uweza wa MUNGU..nyie mmekalia ekaristi tuu..na ishara za misalaba na masanamu yenu madhabahuni..unapsawa kujua nini maana ya maono..
Huwezi kuwa na Maono pasipo kuwa na maarifa ya kweli katika imani fulani.

Kama wewe ni mtu wa Mungu lazima uwe na maarifa ya kimungu ambayo yamejikita kwenye imani ya kiMungu and the vice versa.

Nataka kusema, mtu mwenye Maono lazima awe mtu wa kumeditate sana, kwasababu..

Meditation brings revelations and revelations brings Manifestation of the Spirit.

Na ndio maana Mimi napingana sana na mtu ambae anasema kajawa na roho Mtakatifu au kajawa na Neno la Mungu au alishawahi kwenda Mbinguni na hapo hapo anashindwa kumanifest (kuwekea mikono wagonjwa na wakapona, kusema chochote na kikatokea)

Kuna watu waovu wanakwenda chini ya bahari, wanaporudi ...wanafanya vitu na vinatokea ...kwà lengo la kuwaumiza/kuwaangamiza watu wasiokua na maarifa au maono
 
Mi namwamini ushahidi WA watu kukutana na Yesu baada ya yeye kupaa mbinguni upo, sioni sababu ya yeye kudanganya
 
Kwani Daniel did alikuwa binadamu Kama Mwakaseg??Hata wewe unaweza kwenda mbinguni,ukitaka
WAllahu Wakubaru!!! Kumbe kwenda Mbinguni ni lazima. Kwamba mtu akitaka anaweza kwenda tu kwà mapenzi yake , na sio tena kwà mapenzi ya Mungu? Daah salalaaah Gulo weeee " Eeh Mungu tusaidie tue na mwisho mwema waja wako!!"
 
Back
Top Bottom