Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen...Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
Mkuu Rabbon nina swali,Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
Huyu Zumaridi wa Mwanza mkuu ndiyo nifuatilie uzaliwa wake. Kama hutajali naomba nipate stori zake za kuzaliwa.Zuma riidi ni Pepo katika form ya mwanadamu,
Fuatilia hata Kuzaliwa kwake, kulikuwa tofauti mamaye ameeleza vyema,
Kuhusu majengo marefu hata kuzimu kavu, yapo.
Lakini pia Mbingu ni halisi IPO.
halafu haya mambo ya imani mkuu inabidi uwe mjinga na mpuuziMtume wenu alidai alienda mbingu ya kwanza mpaka mbingu ya saba kukutana na manabii mbalimbali. Kwa hiyo kama ni upuuzi, bila shaka yeye anahusika moja kwa moja na huu upuuzi. Unless hujui hata dini yako imeandika nini.
Pia, Je, si mtume wenu alijifanya kupaa kwa farasi usiku kwenda Al Aqsa kuswali na kurudi usiku huo huo.
Unahitaji kuwa mjinga tu, ili kuamini na kutetea upuuzi kama huo.
Ingia U-tube,Huyu Zumaridi wa Mwanza mkuu ndiyo nifuatilie uzaliwa wake. Kama hutajali naomba nipate stori zake za kuzaliwa.
Nawewe pia utakuwa wa 4 ku quote ya walioenda mbinguni..Kwahiyo Tz hii mliofika mbinguni ni wewe, mwl Mwakasege na Zumaridi....au sio?
Mkuu fanya km unafanya assignment ya Maths unafanya huku unaongea ongea. Nina maana km unaweza andika km huwezi anzisha uzi tuelewe.Ingia U-tube,
IPO video mamaye akielezea Kuzaliwa kwake.
Swali no 3.Mkuu Rabbon nina swali,
1. Hivi mbingu zipo gapi?
2. Mtu/ binadamu akifa na kama ameenda mbinguni je huwa wanakuwa mbingu ya gapi?
2. Mtu/binadamu akifa na ikiwa amepata neema ya kuingia mbinguni kabla ya ufufuo je huko mbinguni roho za wanadamu huwa zinapewa mwili tofauti na huu wa duniani au huwa zipo katika mwonekano upi?
3. Yesu Kristo aliwahi kusema, watu watakapofufuliwa wale watakao kuwa mkono wa kuume watakuwa kama malaika, maana malaika hawaoi wala kula huko nk nk, kwa nini tena kwenye ufunuo wa Yohana kuna sehemu inasema watakaoingia mbinguni watakula karamu na mwana kondoo, je inawezekanaje mbinguni kula wakati watakuwa Km malaika, kuna kula tena mbinguni?
Na huyu naye ameanza kutoa kauli za kina Zumaridi?Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
Ni kweli wapo watakaookolewa kwenye dhiki kuu na ni wengi ila kama maandiko yanavyoonyesha kwenye kitabu cha ufunuo kuokoka kipindi hicho itakuwa ni kwa shida sana maana imagine huwezi kuuza wala kununua ina maana hakutokuwa na ajira kwa urahisi kwa watakaokoka hasa ile miaka 3.5 ya mwisho then hata kama ukitaka kufanya biashara si rahisi maana haupo linked na global antichrist digital financila system.(Ufunuo 7:13-14)
13:Akamjibu mmoja wa wale wazee akiniambia, Je! Watu Hawa waliovikwa mavazi mweupe ni akina nani? Na wametoka wapi?
14: Nikamwambia , Bwana wangu wajua wewe. Akaniambia, hao ndio wanatoka katika dhiki Ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi Yao na kuyafanya mweupe katika Damu ya mwana- kondoo.
... Mwisho wa kunukuu....
Neno linasema, wapo wataookolewa baada ya Unyakuo katika dhiki kuu,
Si Rahisi kuokolewa wakati huo kama sasa, ni Rahisi sana kuliko kusubiri mito yote na Ziwa na bahari vikauke pasiwepo maji, jua lisogezwe, mimea yote ikauke, uweze kuvumilia mateso hayo.
Mungu atusaidie.
Pima kupitia BIBLIA neno la Mungu,Hebu leta ushahidi kuwa huko ulikoenda wewe ndiko mbinguni alipoenda Mwakasege
AamenNi kweli wapo watakaookolewa kwenye dhiki kuu na ni wengi ila kama maandiko yanavyoonyesha kwenye kitabu cha ufunuo kuokoka kipindi hicho itakuwa ni kwa shida sana maana imagine huwezi kuuza wala kununua ina maana hakutokuwa na ajira kwa urahisi kwa watakaokoka hasa ile miaka 3.5 ya mwisho then hata kama ukitaka kufanya biashara si rahisi maana haupo linked na global antichrist digital financila system.
Halafu heri ni wale watakaokuwa wamenyakuliwa na ndio ambao wataingia karamuni mwa Yesu miaka 7, wanarudi duniani na miili ya utukufu kumpiga vibaya sana mpinga kristo na majeshi yake na kutawala dunia na miili hiyo ya utukufu.
Ndiyo maana ni vizuri sana kwa mwamini kukesha kwa maana ya kuwa tayari wakati wowote maana aliyeokoka na akaukosa unyakuo ni hatari sana kwake.
Ukristo sio dini.Salaam, Shalom!!
Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.
Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?
Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.
..... Mwisho wa kunukuu....
Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,
Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.
Ndipo tujue yafuatayo.
1. Mbingu ni halisi Si hadithi.
2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.
3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.
Mungu awabariki.
IPO U-tube,Amen...
Ungeambatanisha na clip ingekuwa vyema sana.
Kuna Mahali nimeandika ukristo ni dini?Ukristo sio dini.