Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Mwl Mwakasege: Niliwahi kutoka nje ya mwili wangu nikaenda Mbinguni na kukutana na Nabii mkubwa, nikamtambua

Kwahiyo huko mbinguni usafiri ni wa farasi tu au kuna usafiri mwingine?
Hao wanakuwa wamezagaa ulitaka kusafiri unapanda farasi yoyote au kila mtu na farasi wake?
Farasi wote wa huko ni weupe au kuna rangi nyingine ie; nyeusi?
Tusiopenda usafiri wa farasi tunaweza kupatiwa aina tofauti ya usafiri huko mbinguni?
Malaika uliwaona na mabawa au wako vipi?(rangi/maumbile/urefu/jinsia).
Huko mbinguni mnatumia lugha gani kuwasiliana? Lugha ya huko mnajifunza au automatically ukifika unakuwa mahiri katika lugha inayotumika huko?
Vipi Buddhists/Hindu/Bohra/Jews nao wanafika na kupokelewa huko mbinguni?
Huko mnawaona new comers wanapowasili kutoka duniani?
Ndugu mkikutana mnakumbukana?
Mkiwa huko Mungu mnamuona na anawaongelesha?
Je kumechangamka au kumepooza?
Nitajibu kuhusu lugha,

Lugha za duniani ni za huku, Mbinguni kuna lugha yake.

Roho Haina limit katika utambuzi, inajua yote.

Ukienda Mbinguni, hutafundishwa lugha chuoni, utaelewa na kuongea automatically.
 
Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.
Amina Amina
 
Www Ukiwa USINGIZI ukatoka ndani ya MWILI na kuona uyaonayo usiku,

Huwa unapiga picha na kumwonyesha mkeo au nduguzo?
Uko usingizini sasa unatokaje ndani ya mwili? Ni astral travel au ni kitu gani? Sijawahi kutoka ndani ya mwili nikiwa usingizini, ndio maana hiyo habari naona kama iko nusu nusu…
 
Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.
aione Kiranga
 
Nawe aliyekwambia walitoka kaburini ni nani?

Hakuna nabii wa Mungu afaya na kusubiri kaburini.

Utakuwa mchanga kiroho ndugu yangu.

Kaburini inakaa Mizimu, wafu waliokufa katika dhambi, mapepo , wachawi, misukule nk nk.

Ikiwa Huwa unaenda kaburini ukiamini wapendwa wako waliokufa zamani wamo humo unajidanganya, na ukipiga magoti kuomba kaburini ndio kabisa unafanya Ibada ya wafu.
Kwani nimesema walitoka kaburini?Roho zao zipo mahali ili siyo Mbinguni. Mpaka ufufuo ndipo watakwenda Mbinguni na miili mipya.

Usiwe na haraka twende polepole.
 
Kwahiyo Tz hii mliofika mbinguni ni wewe, mwl Mwakasege na Zumaridi....au sio?
Ile ya zumaridi ilikuwa kali zaidi. Manake yeye aliokuwa anaenda na kurudi Kila siku hadi anaelezea muundo wa maghorofa ya mbinguni yalivyo huko. Tena yeye aliokuwa anaenda live sio katika roho kama hao wengine
 
Salaam, Shalom!!

Akifundisha katika semina jijini Mbeya Jana tarehe 26 January,Mwalimu Christopher Mwakasege amerudia kauli aliyowahi kuitoa kabla.

Amesema, asubuhi, walipokuwa katika bible study ya familia asubuhi ya jumapili hiyo, Mkewe alimuuliza swali kuwa ikitokea ametokewa na YESU atamtambuaje?

Mwalimu Christopher Mwakasege akamjibu Kwa kumkumbusha juu ya siku aliyotoka ndani ya MWILI wake na kwenda Mbinguni, alipofika Mbinguni, alikutana na Nabii Musa yule Nabii wa kale, na alimtambua, akaongeza kusema, Ukiwa katika mwili wa kiroho, huhitaji kutambulishwa sababu Roho inajua yote na kutambua yote yajayo na yaliyokwisha pita.

..... Mwisho wa kunukuu....

Naungana na Mwalimu Christopher Mwakasege juu ya UKWELI wa jambo hili, mbingu IPO na ni halisi, Mimi pia nimewahi kwenda Nchi nzuri sana, mfano wa uzuri wa Nchi Ile hauelezeki, mji huo hakuna jua Wala mwezi, IPO Nuru nzuri sana ambayo macho hayachoki kuitazama,

Nimewahi kuandika pia juu kupewa taarifa juu ya ujio wa Yesu kulinyakua Kanisa Kwa kumwona Yesu akiwa na jeshi la Malaika, amepanda farasi mweupe wakienda Kwa Kasi mawinguni.

Ndipo tujue yafuatayo.

1. Mbingu ni halisi Si hadithi.

2. WATAKATIFU wote wapo Mbinguni, wakifa hawakai kaburini.

3. Mungu yupo na ni MMOJA, na Jina la Mungu huyo mmoja tulilopewa WANADAMU liwezalo kuokoa ni Yesu Kristo/YESHUA HAMASHIACH.

Mungu awabariki.
Amen
 
Kweli Tanzania tuna bahati

Mfalme Zumaridi amewahi kwenda mbinguni

Nabii Mkuu GeoDavid naye amewahi kwenda mbinguni

Mzee wa Upako naye amewahi kwenda mbinguni

Sasa mchungaji Mwakasege naye ameenda na kurudi

Ajabu huu ni Mwaka wa 2025 tunamsubiri Yesu arudi wakati hao wenzetu wameenda na kurudi Kwa kipindi kifupi tu 🙌

Maajabu hayawezi kuisha 🤗
Hawajawahi kukutana huko mbinguni .. ila sababu zumaridi anaenda mara kwa mara awaulize wenzie kama washafika huko ..
 
Back
Top Bottom