BURNA BOY AFUNGUA ROHO
Star wa Nigeria Burna Boy amesema kuwa hakulawitiwa na Diddy baada ya kuhudhuria karamu yake nchini Marekani.
Kulingana na Burna Boy,ijapokuwa kuna madai kuwa baadhi ya waaanii walioshiriki karamu hizo waliliwa kiboga yeye hakushiriki vitendo kama hivyo.
"Lazima mfahamu kuwa hata kama kuna watu walifanyiziwa mimi sikufanyiwa vitendo hivyo."Burna amesema.
Vile Vile,Burna ameshikilia kuwa yeye si shoga hivyo basi.
Kwa sasa picha ya Burna Boy akishiriki kitendo cha ushoga na Diddy inasambaa mitandao ya kijamii.
Kushoto picha ya Burna Boy akiwa amepakatwa na mama yake na kulia Burna Boy akitumbuiza 😉 ya kulia joke