My week end is super crazy

My week end is super crazy

Hizo TV za HITACHI ya chogo za zamani zinadumu sana. Kuna moja nakumbuka ilikuwepo home tuliangalia Olympics za 1988 mpaka miaka ya 2000s ilikuwepo. Ina kimeza chake fulani kina matairi hivi 😂😂😂.
Eeeheeee hiyo hiyo sisi tulìkuwa nayo early 90 nikiwa bado katoto lakini hadi nimefika secondary tunayo...Ila za siku hizi sasa!
 
Hao madogo wape manual activities na unapokuwa na muda unakuwa karibu kama kuchora, afundishe michezo tofauti ambayo hawaijui, asubuh wakiamka unafanya nao usafi, mpaka wazazi warudi wameshabadilika. Hao Kuna v trick vidogo vidogo.
Asante kwa ushauri mkuu.
Leo mimi na huyu wa kike tumeshinda tunashona😀.
Kuna gauni langu halinitoshi na yeye kalipenda ndo tumelikata liwe sketi na blauzi.Tatizo mimi na yeye wote hatujui kushona ila mwenyewe kapenda nguo zake😀😀
 
Eeeheeee hiyo hiyo sisi tulìkuwa nayo early 90 nikiwa bado katoto lakini hadi nimefika secondary tunayo...Ila za siku hizi sasa!
Wanafanya makusudi zisidumu, zikidumu sana utakuwa hununui tena.

Halafu wanakuwekea vikolombwezo vipya mara 4k, sasa hivi utaambiwa TV za 4K ni za kizamani, kuna 8K.

Ilimradi ununue mpya wachukue hela zako tu.
 
🤣🤣🤣🤣Yaani ningehakikisha hiyo Sumsung ya mwanao naimwagia super glue sehemu yeyote yenye upenyo kabla sijaondoka hapo kwako....tena gud enough your boy kanirahishia hapo alivyotupatupa vitu nimeiona super glue
😀😀😀😀😀
I know i know I know😀
Na ukitoka hapo simu kwa ndugu zenu wote kuwaeleza vile mke wa kaka anatesa watoto wa kaka yenu😀😀

vile anataka kuwapofua macho😀
 
Yani mpaka leo ipo chumba cha wageni huwa naiangalia nasema "Wewe Mkorea una roho ngumu sana" 😂😂😂
😀😀
Ingekua hizi wanatuletea isingepona.
Hizi unatizama vizuri unazima haina shida badae unawasha haiwaki na haijaguswa na mtu😀
 
🤣🤣🤣Wewe naona unatakq kuua urafiki na hao nduguzo wakitoka huko majuu wakute unawatazamisha kina junya solarmax

Nimeingia chumban kwa mwanangu nikakumbuka hii comment yako japo ni utani ila nikajisemea sometimes mama wa kambo wanaonewa😀.

Hivi imagine wewe na Lamomy ndo mngekua mawifi zangu hlf mnakuja mnakuta mwanangu nilokutwa nae ana TV ya Samsung room kwake halafu damu za kaka yenu zinaangalia Solarmax aka umiza macho si mngenila nyama nyie?😀😀

View attachment 3109640View attachment 3109647Na hapo ukute nimenunua kwa upendo tena na hela zangu ila ndo hivyo ukiwa mama wa kambo lazima uonekane umependelea wa kwako😀
Ungejuta kutufahamu mbona 😂😂😂
Yani mwanao umumwekee Samsung wa mke mwenzio umuwekee solarmax ili apate shida ya macho?!! Ungepewa talaka nginjanginja na kaka 😹
 
Ungejuta kutufahamu mbona 😂😂😂
Yani mwanao umumwekee Samsung wa mke mwenzio umuwekee solarmax ili apate shida ya macho?!! Ungepewa talaka nginjanginja na kaka 😹
Na unaachika hivi hivi ukijiona maana mashangazi lazima waongeze na chumvi hadi kaka yao aamini kaoa jini😀😀

Nikiwa mama wa kambo nitakagua kila kitu mara mbilimbili nikijua mawifi wanakuja😀
 
😀😀
Ingekua hizi wanatuletea isingepona.
Hizi unatizama vizuri unazima haina shida badae unawasha haiwaki na haijaguswa na mtu😀
Hizo za Mchina labda.

Tena zile walizoziweka maalum za kupelekwa Africa.
 
Miye wangu ni watu wazkma wale, wakoharibu kitu wenyewe wanachanga yonyikowa.
 
Hizo za Mchina labda.

Tena zile walizoziweka maalum za kupelekwa Africa.
Hizo hizo yaani.

Mchina kafanya Afrila jalala la vitu vibovu kiasi kwamba kuna watu wengi hapa Tz ukimwambia kuwa kuna made in China za ubora wa hali ya juu hawaamini.
 
Screenshot_20240929-112902.jpg

OUT OF TOPIC WAKUU🙏

Kuna hii sms nimetumiwa juzi nikaogopa ila kila ninayemuuliza hajui.
Eti wakuu hawa si ndio wa mikopo ya online wanaodhalilishaga watu?
Hapo wanaposema "UMEKUA MMOJA WA WAPOKEAJI WA MKOPO WETU"
wanamaanisha nini?Pananiogopesha!☹️

Namba zangu wamepata wapi ikiwa sijawahi hata kuwaza ku apply hiyo mikopo?
Au ni matapeli?

Hivi inawezekana mtu ku apply hiyo mikopo kwa jina langu?

Half american mshamba_hachekwi Pendaelli
Atoto
Elsa Marie
Evelyn Salt
Equation x
The Monk
cocastic
 
Hizo hizo yaani.

Mchina kafanya Afrila jalala la vitu vibovu kiasi kwamba kuna watu wengi hapa Tz ukimwambia kuwa kuna made in China za ubora wa hali ya juu hawaamini.
Unanikumbusha kuna dogo alikuja kunitembelea huku US kutoka Tanzania. Alikuwa jirani yetu wa zamani tumekua pamoja, nikafurahi sana kuonana naye kaja kwangu kunitembelea.

Akawa anaangalia viatu fulani hivi kwangu, anasema viatu vikali sana.

Nikamwambia hivyo vya kawaida tu, tena vya Mchina hivyo. Alikuwa kama anavitaka, mimi nilikuwa kama namtahadharisha kuwa vinaweza kum disappoint.

Akaniambia hata kama vya Mchina, vya Mchina vinavyoletwa huku US na vinavyoletwa Africa ni tofauti kabisa.

Nikasema si utani.
 
View attachment 3110083
OUT OF TOPIC WAKUU🙏

Kuna hii sms nimetumiwa juzi nikaogopa ila kila ninayemuuliza hajui.
Eti wakuu hawa si ndio wa mikopo ya online wanaodhalilishaga watu?
Hapo wanaposema "UMEKUA MMOJA WA WAPOKEAJI WA MKOPO WETU"
wanamaanisha nini?Pananiogopesha!☹️

Namba zangu wamepata wapi ikiwa sijawahi hata kuwaza ku apply hiyo mikopo?
Au ni matapeli?

Hivi inawezekana mtu ku apply hiyo mikopo kwa jina langu?

Half american mshamba_hachekwi Pendaelli
Atoto
Elsa Marie
Evelyn Salt
Equation x
The Monk
cocastic
Hiyo namba umekuwa nayo kwa muda gani?

Haiwezekani kuwa mtu aliyekuwa na namba hiyo aliwahi kuchukua mkopo kwao?
 
Badala uwanunulie watoto vitabu wajisomee unawapa kila mtu TV yake kuna taifa la kijinga sana linakuja huko mbele kama hatua stahiki zisipo chukuliwa kuna dogo nyumbani ilikuwa anapenda katuni mama yake ana mdekeza ilikuwa nikija namuuliza swali la shule akishindwa anaenda ndani kujisomea siku imeisha nikimkuta kwenye TV ni halali yangu labda niwe sipo nyumbani.
 
Unanikumbusha kuna dogo alikuja kunitembelea huku US kutoka Tanzania. Alikuwa jirani yetu wa zamani tumekua pamoja, nikafurahi sana kuonana naye kaja kwangu kunitembelea.

Akawa anaangalia viatu fulani hivi kwangu, anasema viatu vikali sana.

Nikamwambia hivyo vya kawaida tu, tena vya Mchina hivyo. Alikuwa kama anavitaka, mimi nilikuwa kama namtahadharisha kuwa vinaweza kum disappoint.

Akaniambia hata kama vya Mchina, vya Mchina vinavyoletwa huku US na vinavyoletwa Africa ni tofauti kabisa.

Nikasema si utani.
Hajakosea.
Mchina uwezo anao.
Huko mambele anawaletea vitu vizuri sbb pia uwezo wa kumlipa vizuri mnao.
Kuna simu za majina makubwa baadhi ya vitu kama betri ni made in China na vitu vingine vingi bora huko duniani ni mchina anatengeneza
 
Back
Top Bottom