Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Mzazi alomfikisha Mahakaman Mwl Madrasa Kwa kosa la kuchapa watoto, akemewe popote pale anapoonekana na ikiwezekana Jamii imchukulie hatua

Kwa taarifa yako, kiswahili chenyewe kina maneno mengi sana ya kiarabu. Je na wewe unajifunzwla mambo ya waarabu? Acha udini
 
Kwa taarifa yako, kiswahili chenyewe kina maneno mengi sana ya kiarabu. Je na wewe unajifunzwla mambo ya waarabu? Acha udini

Hakuna aya yoyote kwenye quran imeitaja lugha ya kiswahili

Ila kuna aya nyingi zimeitaja kabisa lugha ya kiarabu.

Ingekuwa ni yetu quran ingeandika nimeteremshwa kwa lugha yenu ya kiswahili kwa ajili ya waswahili wote
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Kajamaa kanaweza kuvunja hata vidole vya hao watoto. Acha kanyee ndoo kidogo.
 
Hii tafsiri ipo kwenye Quran zote zilizotafsiriwa kiswahili.. kama unabisha leta screen shot ya hii aya kutoka kwenye quran yoyote ya kiswahili tuone kama hakuna neno lugha yenu ya kiarabu

View attachment 3242141
Hayo uliyosoma wewe ni maelezo ya mtu binafsi na tafsiri sahihi ya aya hiyo hapo juu ndio unayopaswa kuizingatia na si hayo maandishi madogo yaliyotolewa na mtu binafsi
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Mzazi mjinga na mpuuzi.Inashangaza kuna taasisi za kiislamu zimemuunga mkono.Huyo mzazi kama ametumika kutaka kudhalilisha madrasa za kiislamu.
Mwalimu hajapiga kama ngombe kama alivyodai.
Mahakama imuwachie mara moja,
 
Madrasa sehemu ya kufundishana imani why wew ostadhi umchape mtoto kiasi cha mzazi kukuchukulia hatua ukiona hivyo ostadhi amevuka mipaka mzazi anapokaa kimya kwenye matukio kama haya Badae madhara yanapokuja kuwa makubwa mnageuka tena huyo mzazi amewakilisha wengi na ukitaka kujua hilo mtoto mmoja mmoja aitwe ahojiwe unaweza kusikia mengi zaidi
 
Nimeshtuka sana mkuu, nilidhani unatetea viboko vya madurasa.

Mleta mada anasumbuliwa na ujinga tu. Viboko siyo njia pekee ya kumlea mtoto.

Viboko ni adhabu ya kipumbavu isiyo na faida yeyote kwa mtoto

Sirjeff Denis, al maarufu ONTARIO ana msemo wake anapenda kuuliza,
''Ni mnyama gani, ukitoa Muafrika, huwa anamuadhibu mtoto wake kwa viboko?''

Mimi sijui, labda Mwarabu na Muhindi, lakini Ulaya hakunaga viboko kwa watoto.
Hata huko ulaya kuna watoto wengi hawana maadili
Haya njooni na njia sahihi namna ya kuwafundisha watoto
Ila kwa upande wangu wala sioni sababu ya mtu kuhangaika na watoto wa watu eti uwafundishe
Nidhamu,...ni kuachana naooo watajijua wao na wazazi wao
Mitoto yenyewe sahv ishakata kamba ....mitoto midg milayyy tu

Ova
 
Mzazi mjinga na mpuuzi.Inashangaza kuna taasisi za kiislamu zimemuunga mkono.Huyo mzazi kama ametumika kutaka kudhalilisha madrasa za kiislamu.
Mwalimu hajapiga kama ngombe kama alivyodai.
Mahakama imuwachie mara moja,
Dawa ni kuachana na watoto wa watu....mitoto yenyewe sahv ukiipiga inaweza kufia
Mitoto yenyewe ukisema uwalimishe au wachimba kashimo wanaweza kuzimia
Mitoto ya kizaz hiki ni kuiacha tu

Ova
 
Dawa ni kuachana na watoto wa watu....mitoto yenyewe sahv ukiipiga inaweza kufia
Mitoto yenyewe ukisema uwalimishe au wachimba kashimo wanaweza kuzimia
Mitoto ya kizaz hiki ni kuiacha tu

Ova
Sio kuiacha tu bali ni kupambana na wajinga wanaotaka kutuletea upuuzi wa wazungu.Yule mzazi kama ana mtoto wake basi ndio apewe mwenyewe akaangalie nae michezo ya kuigiza kwenye tv halafu aone kitakachomkuta huko mbele.
 
Hayo uliyosoma wewe ni maelezo ya mtu binafsi na tafsiri sahihi ya aya hiyo hapo juu ndio unayopaswa kuizingatia na si hayo maandishi madogo yaliyotolewa na mtu binafsi

kama unabisha leta screen shot ya hii aya ama piga picha ya aya hii kutoka kwenye quran yoyote ya kiswahili tuone kama hakuna neno lugha yenu ya kiarabu
 
Kweli Tz Ina LAANA unaacha kumpeleka mwanao tuitions au kujifunza mambo ya IT eti unampeleka Madrasa mwisho alawi........ ni unshenzi
 
Ndio mana waislamu wengi wamejaa jazba na hasira,kumbe ni kwasababu ya bakora wanazo tandikwa tangu wakiwa watoto wadogo huko madrasa,wakikaririshwa juzuu hata bila kuelewa.
 
Umeshindwa kumshikisha Mtoto wako Juzuu , umempeleka Madrasa, Elimu haimuingii mwanadam Kwa njia ya kufundishwa tu, Kuna vitu vingi vinavyochochea Elimu kumkaa MTU kichwani, Elimu inataka Nidhamu Kwa aina yake , Kwa mzazi wa namna hii, jambo la msingi Ilikua ni kuchukua mtoto wake na Kumtoa Kwa Mwalimu Mussa na kumpeleka pengine wasipochapa, au amtafutie Mwalimu wa kumfundishia nyumbani.

Mbona mashuleni fimbo zinatembea kama kawaida ?.

Haya mambo Hayati Magufuli aliyakemea kwelikweli , na aliamuru watoto wachapwe fimbo , ikiwezekana wafukuzwe.


Ni Imani yangu, Hakimu wa Kesi hiyo, atatumia Busara .


Kumchapa Mtoto Kwa lengo la Kumuonya na Kumfanya Abadilike ni sahihi na lazima wachapwe.


Mnaacha mitoto yenu inaangalia michezo ya TV isofaa, mitoto inabadilika Akili kuanzia ikiwa na miaka miwili, Mitoto inalelewa na ubebi ubebi mwingiii linazidi kukua likiamin nili falme au limalikia, Kiburi, jeuri , isowajibika, ndezindezi, mivivu na mizembe kama baba yao, midokozi, Lia Lia , Mitoto Hasara, alafu mnaipeleka shule Kwa Walimu, ambao wamekabidhiwa majukumu kuanzia Kufundishwa Hadi kurekebisha Nidhamu.


Wito wangu Kwa Walimu... KESI KAMA HIZI, ZIWAFANYE MPUUZE MITOTO YAO , MSIHANGAIKE NA MITABIA YA MITOTO YA WATU , INGIENI DARASAN, FUNDISHENI ,SAHIHISHA , USIJISUMBUE NA LITOTO LA MTU.


View: https://youtu.be/8H_q63_Ivas?si=2QcXDM5CliFmNJu5

Shida sio kuchapwa ilikuaje mwalimu akajirekodi na kumlekodi mtoto kipindi anatoa hyo adhabu ya viboko unahisi mwalimu alitumia ustarabu na hekima katika kurekod au unaleta mihemko ushawaza kawaumiza watoto wangapi kiakili juu ya hilo tukio la kurekodi na maneno aliyokua anatowa kipindi cha adhabu hyo acha kutetea ujinga unataka mtoto aone kusoma dini ni adhabu au?
 
Mbona uliyoleta wewe haina

Soma tena aya nzima hapo imeandikwa kwa kiswahili kabisa
Screenshot_20250219-214324_1.jpg
 
Nimekwambie tafsiri sahihi ya aya ni hiyo juu iliyoandikwa kwa herufi bolded
Halafu hayo chini ni maelezo ya mtu binafsi wewe huoni kuwa yameongezwa maelezo mengi?

Bolded ni heading tu. Ila aya yenyewe iliyopo kwenye quran zote za kiswahili ni hiyo ya chini ambayo haijawa bolded.

Fungua quran yako ya kiswahili kisha linganisha uone ukweli wangu
 
Back
Top Bottom