Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Vipi kama ndiye yeye mwenyewe?Copy and paste.
Toa credit kwa mwenye uzi wake kule uliko utoa please.
KAZI ni kipimo cha UTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kama ndiye yeye mwenyewe?Copy and paste.
Toa credit kwa mwenye uzi wake kule uliko utoa please.
KAZI ni kipimo cha UTU
Huyo ni wa kuchinja kabisa hamna haja kutoa onyo.vinginevyo ye akivuta mibangi huko atakuja kuwagonga shabaKuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.
Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.
Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.
View attachment 2988477
Siyo 26, wanajiita namba 32 na 45.
Sisi wakongwe tunajua watu wa aina hii hawakosekani. Miaka ya nyuma walipokuwa wanazamia meli kuna wengi walikuwa wanarudi na suruali za jeans huku wananing'iniza kitambaa mfuko wa nyuma wa suruali na kujifanya kuongea ''whats up man'' nyingiingiila kuzamia dizonga ni vichekesho sana..... kuna dogo alikomba simu za wenzake akaamua kulisaka boda kila akiuliziwa watu wanasema jamaa kashafika sauzi anaanza kutobo baada ya kama miezi 5 hivi akarudi kachakaa kinoma kumbe mwamba aliishia malawi sjui pesa ikaisha aloo karudi kakonda anajidai anaongea kizulu kila nikimuangalia masikia kucheka tu
Anawashwa kijambio huyo achana naye.Vipi kama ndiye yeye mwenyewe?
Ila umetumia lugha kali kwake.Punguza hizo.Anawashwa kijambio huyo achana naye.
Subiri alete screenshort za Msangi hapa tuone nani hamnazo kichwani.
View attachment 2988591
Apunguze kiherehere na shobo, mimi ananijuwa?Ila umetumia lugha kali kwake.Punguza hizo.
Hawa naomba msituhusishe nao kabisa kama taifa, mnatudhalilisha kama taifa na jamii kwa ujumla. Matoto matukutu sisi hatulei watoto wetu namna hiyo.
Dr Matola PhD umesikia?Copy and paste.
Toa credit kwa mwenye uzi wake kule uliko utoa please.
KAZI ni kipimo cha UTU
🤣🤣🤣🤣wamalize kazi hukohukokwahiyo tuwarudishe waje watukabe huku au vipi...??
AiseeKuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.
Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.
Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.
View attachment 2988477
Hapo anajiona komando kipensi.Kuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja tu vitaanza kudondoshwa vichwa mfululizo tena siyo kuwasubili mpaka wafanye uhalifu wao.
Watanzania wanaojitambuwa ambao kitambo wapo South Africa kwa amani wanasema sasa imetosha, sasa habari ziwafikie Watanzania, kama una mwanao au ndugu yako aliyekimbia matukio yake ya uhalifu Tanzania na kukimbilia South Africa basi mjiandae kupokea masanduku ya maiti za ndugu zenu, watu hawataki tena ujinga, na utaratibu wa South Africa ni bunduki tu.
Huyu mtoto ni walking dead, kama unamfahamu mna last chance ya kumnusuru.
View attachment 2988477
Huwezi kumiliki kihalali kama huna residence permit au citizenship hawa ni vibaka tu na wanakaba kweli kweli ukibisha wabakuuaJe,kama anamiliki kihalali?
Sasa mjiandae kupokea maiti zao kwa gharama za familia zao, otherwise hakuna Mtanzania wa kuchanga pesa yake kurudisha Tanzania maiti za wapuuzi kama hawa.Hawa naomba msituhusishe nao kabisa kama taifa, mnatudhalilisha kama taifa na jamii kwa ujumla. Matoto matukutu sisi hatulei watoto wetu namna hiyo.