Mzazi kama una kijana South Africa hasomeki, Tafadhali mama mkanye mwanao

Huyo ni wa kuchinja kabisa hamna haja kutoa onyo.vinginevyo ye akivuta mibangi huko atakuja kuwagonga shaba
 
Sisi wakongwe tunajua watu wa aina hii hawakosekani. Miaka ya nyuma walipokuwa wanazamia meli kuna wengi walikuwa wanarudi na suruali za jeans huku wananing'iniza kitambaa mfuko wa nyuma wa suruali na kujifanya kuongea ''whats up man'' nyingiingi
 
Aisee
 
Hapo anajiona komando kipensi.
 
Hawa naomba msituhusishe nao kabisa kama taifa, mnatudhalilisha kama taifa na jamii kwa ujumla. Matoto matukutu sisi hatulei watoto wetu namna hiyo.
Sasa mjiandae kupokea maiti zao kwa gharama za familia zao, otherwise hakuna Mtanzania wa kuchanga pesa yake kurudisha Tanzania maiti za wapuuzi kama hawa.

Kaburu utaratibu wake maiti isiyotambuliwa na kuchukuliwa na ndugu ni chakula cha mamba wa mto Limpopo.

Mama amkanye mwanae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…