Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Wewe ulikuwa kwenye maji maji tuu ya manii then Mungu akakupa nafasi ya kuwa mtu,kwenye tumbo la mama yako miezi Tisa,Ni Jambo la ajabu ,Hilo tuu linatosha kukujuza kuwa Mungu yupo na Ni kwa nini hukuzaliwa kima ama Bata ingekuwa afadhali kuliko kuzaliwa huku ukimkana mola wako
 
Kadigrii kako ndio kanakufanya ujione exceptional,special,much know.
Sasa mama yako unamuona yuko brainwashed.
Enyi watoto watiini wazazi wenu, mpate kuishi siku nyingi.
Fuata mafundisho mema ya wazazi wako na yatakusaidia kwa vizazi vyako.
Au labda wewe watoto wako utawafundisha nini?!
I am not exceptional, special or much know.
Infact I dont know anything.
Kipindi naamini dini nilidhani I know everything.
Lakini the more I got to know about the way the universe works the more I knew I had known nothing.
Hata wewe sasa unadhani unajua kila kitu na Mungu yupo hakuna zaidi ya hapo.

Lakini siku ukiiweka hiyo ego ya dini yako chini ukaanza kusikiliza pande zote za shilingi, iwe uislam unasemaje, ubudha, uhindu nk. Utagundua kuwa ulikuwa hujui chochote na ukristo wako.

Watoto wangu nitawafundisha kutafuta knowledge na kuelewa jinsi ulimwemgu unafanya kazi.
Sio kwa story za kuhadithiwa sijui Musa alisema hivi, lakini kwa vitu ambavyo tayari ni provable with experiments.
 
Niko na mzee, ila mzee hana time na haya mambo,...mama ndio anashupalia.

Vitabu ni vingi sana, kwasababu nilipokuwa form 2 nilikuwa na passion sana na dini. Yani ile tunaenda prepo wenzangu wanasoma physics mimi nilikuwa nasoma dini kila siku, so asilimia 80+ ya prepo zangu from form 2 to form 5 nilikuwa nasoma dini tu.
Vichache ni kama
Old & New testament
Heaven is for real-Todd turpo
The case for christ-Lee strobel
The attributes of God-Arthur Pink
Systematic theology-Wayne Grudem
The desire of Ages, The great controversy-Elen G. white
Catechism of the catholic church-
Roman catholic Encyclopedia karibia zote nilizisoma maana zilikuwa library shuleni
Here I stand-Maisha ya Martin Luther
Faragha ya kiroho, ukuaji wa kiroho-somebody Meinard Mtitu
Za wachungaji wa kibongo ndio usiseme
Vya kina mwakasege, Deo Njeni, na wengine wengi ambao hata sasa sivikumbuki majina

Vile vya ushuhuda kama nililala nikaamka usiku Yesu akanichukua akanipeleka kuzimu na mbinguni, nilishasoma vingi mno.
Then u simply concluded hakuna Mungu na ibada sio muhimu?
 
Dah umeniharibia siku. Sikutegemea kusoma uzi wa kipumbavu kama huu. Miaka 24 ni mdogo na ubaya zaidi bado unaishi kwenu. Unajisikiaje unavyoona mama yako ananung'unika kwama hamfuati maelekezo yake? Wengi wetu huku town hatuendi kanisani ila tukifika nyumbani ili kumfurahisha mama ile siku ya ibada unabeba na biblia kabisa. Baada ya ibada lazima umsubiri asalimiane na watu wake kisha mrudi wote nyumbani. Mama akikunung'unikia ni mwanzo wa kujitafutia matatizo yasiyo ya lazima. Uache upumbavu wewe. Kama hutaki usumbufu hama hapo kajitegemee.
 
Cheers, ila sasa kasheshe ni hii ya kwenda kila jumapili saa 2 hadi saa 8.
Inaboa kinoma, especially when you can read between the lines, and see through the lies. Yani sadaka inaombwa kama nini mara ooh "Mungu atakubariki, Mjaribu mungu kwa kumtolea" halafu wanakula wao.
Anyway kusema ukweli naenda tu lakini nikiwa pale kanisani napata mental torture kubwa sana... Pamoja na simu kunisaidia kunidistract lakini bado haitoshi.
Anyways wacha niendelee bana kufuata ushauri wako, lakini kwa hii case sidhani kama watakuja kuelewa, maybe nikijitegemea ila as long niko hapa hawatawahi kuelewa.
So ni uko bored na ibada na sio km huamini Mungu hayupo?

Utamtafuta kwa Mwamposa sasa ama?
Omba Mungu sana akijalie hekima
Maadam ni msomaji basi akupe ufahamu kwenye vitabu
 
Huyo brainwashed ndiye kamzaa na kumpa hiyo degree , sasa huyu malezi ya mwanaye yatakuwaje, kama hayatakuwa ma'mpotompoto.
Kuwa brainwashed sio ugonjwa wala sio dhambi. Kila mtu duniani ni brainwashed kwa namna moja au nyingine.
Beleive that
 
Wewe huna akili , kabishane na vilaza wenzako , huelewi tunachoongea hapa , kakanyage mafuta ya mwamposa huko ,kabusu masanamu ya bikira Maria na kusugua kichwa kwenye sakafu
 
Hii iliwahi kunikuta mie, wakati nipo Advance, wazazi walikua wananipigia kelele sana kisa kutoenda kanisani, na kuacha kabisa kufuata misingi ya dini,

Mwanzoni nilikua nawasikiliza ila kanisani siendi, ikafika hatua wazazi wakawaita watu wazima wanikalishe chini huenda nna tatizo, wale watu walio tumwa niliwapa vipande vyao hadi wakasandaa, wakaenda kutoa majibu kwa wazazi, nashangaa wazazi wakaanza kuninunia na kunisusa fulaan hivi, sikuwa najari hata.

Baadae wakanipeleka kwa katekista azungumze na mie, yulee katekistaa alianzaa kunisema na kuhubiri anayoyajua, nkawa namsikiliza tyuuh, mara akaanza oooh sijui motoni mara jehanamu. Nlichoka kusikiliza uongo wake, nkampa swali

"hayo mambo ya motoni na jehanamu sijui akhera na mbinguni wee uthibitisho unao? Uliwahi kwenda kushuhudia? Ni marehemu gani aliyekufa na kuzikwa akarudi tena duniani kusema kuwa huko kuna mbingu na jehanamu? Sasa km yupo nikutanishe nizungumze nae, km hayupoo naomba uniache sina mda wa kusikiliza hizo ngonjera zako hapa, na ukawaambie wale waliokutuma kuwa kanisani siendi kamweee na sitaki nikiwepo wazungumzie masuala ya dini iwe mwanzo na mwisho"

Yule katekistaaa akapekeka ujumbe kwa wazazi, siku ya pili baba ananambia kuna kikao cha familia, nkasema sawa. Jion yake tukakaa sebulen, mara mama anaanza kulia "mwanangu umekumbwa na nn shetan gan kakushika hvyo, pepo chafu hilo likutoke" nkaona huyu ananiletea uchuro, nkawachana ukweli na nlisema msimamo wangu ni huu na haubadiliki.

"Kuanzia leo nitakapokaa au kuwepo mie naomba masuala ya dini yasiwepo na yakiwepo nisihusishwee, sikuzaliwa ili nije kuridhisha watu, nilizaliwa ili kufurahia na kuishi maisha ya hap duniani. Huko kanisani siendi na sitakwenda kwa matakwa ya mtu yeyote ila maamuzi yangu binafsi, sina pepo chafu, shetani wala ndugu zake, ila mie mwenyewe sitaki na sipendi kwenda kanisani. Siwezi kuishi kwa kuwaridhisha nyie, kingine ambacho hamkijui wazazi mie mwanenu niko real sana, huwa sina sababu ya kufake kitu, siwezi kuinyima haki nafsi yangu kisa nyie hapanaa siweziiii.ntafanya yale ambayo natakiwa kufanya kwenu km wazazi ila masuala yangu binafsi uzazi na utoto nauweka pembeni nasimama mie km mie. Nimemalizaaaaa.


Tangu siku ile had leo sisikii habari zao za dini wala nn, na tunaishi vizuri tyuuh, nakusihi hebu simamia msimamo wako acha kupelekeshwa, mzazi hawezi kukuingilia ktk masuala yako ya imani. Be you!!!

.............
Ngoja uzae ulee mwanakwetu
Mwanao utamfundisha imani gani huku wewe umeikana?
 
Wewe mtoto unashiriki mapenzi ya Jinsi Moja ( Usagaji) utakuwa nafsi yako inakuhukumu sana kwa kuamua kuwa kwenye kundi hilo la wasagaji siyo akili ya kawaida ya Mwanamke
 
Kula chakula cha mama yako huoni kama unalazimishwa, au kuingilia uhuru wako...

Kupelekwa shule na kulipiwa ada hukuona kama unalazimishwa na kuingiliwa uhuru wako...

Kununuliwa nguo za kusitiri uchi wako hukuona kama unalazimishwa kuvaa nguo na kuingiliwa uhuru wako...

Kulala kwenye kitanda na godoro usilochangia chochote huoni kama unalazimishwa na kuingiliwa uhuru wako...

Lakini suala la kiroho pekee yake ndio limekuwa nongwa kwako...
Your ability to reason is below kindergatten
 
Kuwa brainwashed sio ugonjwa wala sio dhambi. Kila mtu duniani ni brainwashed kwa namna moja au nyingine.
Beleive that
Mtii Mama Binti
Kakuweka vizuri maisha yanaenda hadi leo unauliza Mungu ni nani/hakuna Mungu

Maisha safari ndefu utajionea
Ila heri useme Mungu yupo na usimkute kuliko useme hayupo na uje umkute
 
Na wengi wao wanaomkana Muumba wao miongoni mwao ndio wanaofanya maovu na uzinzi na ufiraji na kulawitiwa
Wewe ni mpuuz hao mapadre wakikatoliki wanaoharibu watoto kwa kuwalawiti kesi ziko maelfu huko mpaka Pope anaona aibu ,masheikh wanalawiti watoto wa madrassa kila siku , .Huna akili mastaa
 
Back
Top Bottom