SAFII SANAA[emoji23][emoji23][emoji23].
Kataa kabisa, usikubali wakulazimishe mambo usiyoyataka,
Hao wazazi waambie serikali haina dini, hivyo hata raia wana haki ya kuishi kulingana na wanachokiamin bila kubugudhiwa na mtu yeyote yule, na wakiendelea kukushurutisha wafungulie page za Kitabu cha sheria na katiba ya nchi wajionee[emoji23][emoji23].
Wakishindwa kukuelewa hapo basi waambie Dini isingekuwepo wangeabudu nini?[emoji23] huyo Mungu wanaempigia makelele makanisani waambie wakuoneshe ni wapi alisema ktk biblia wakutane makanisan? Na je ni kanisa lipi? Na dhehebu lipi? Na siku ipi? Wakikujibu maswali haya kwa mujibu wa biblia, basi kubaliana nao, lkn kwakuwa wao wenyewe pamoja na wachungaji wao hawana uwezo wa kujibu maswali haya, basi achana nao, usifuate ushauri wao.
Ni bora mkosane lkn si kukuforce uamini kitu usichotaka, mimi pia muhanga wa hili tatizo, walitaka mpka kunitenga lkn sikujari, nilikaza fuvu, siwezi kumuabudu Mungu aliyeletwa na watu weupe kwa manyanyaso na mauwaji ya watu weusi, kwanza imani yenyewe yakibaguzi.
KAZA FUVU HAKUNA KURUDI NYUMA